Bwana wangu anaendesha bodaboda, nifanyaje?

Bwana wangu anaendesha bodaboda, nifanyaje?

Mzee zomboko alisema kula chuma iko sema ajari kazini ridhiki ya mtu iko miguuni mwa kila mtu sasa wewe sema umependa degree yake au huwezi kueshimu kazi anayoifanya ili kuwafanya kusogeza Maisha
Aisee
 
Hata asipo muoa bado ile u-bibi ya bibi yake ni yake, mpaka pale bibi ataikabidhi kwa bwana mingine
 
Mimi nawajua mabodaboda waliojenga na wanaendesha famili tu kwa kazi ya boda. Tena mijini kabisa kama Kibaha.

Kikubwa ni mtu kujitambua na kuishi ndani ya kipato chako. Maana unaweza kuolewa na mwenye mshahara wa million 10 lakini ni mfujaji na bado mkalala njaa ndani hela hamna na mwenye nyumba anabisha hodi anataka chake.

Kipato cha mtu kina matter lakini akili ndio ya msingi zaidi.
 
Mimi nawajua mabodaboda waliojenga na wanaendesha famili tu kwa kazi ya boda. Tena mijini kabisa kama Kibaha.

Kikubwa ni mtu kujitambua na kuishi ndani ya kipato chako. Maana unaweza kuolewa na mwenye mshahara wa million 10 lakini ni mfujaji na bado mkalala njaa ndani hela hamna na mwenye nyumba anabisha hodi anataka chake.

Kipato cha mtu kina matter lakini akili ndio ya msingi zaidi.
 
Bint au mwanamke anatakiwa kudangwanywa tu daima ndio utawapata mm huwa nasema. Nafanya kazi katk kampuni ya minara ya simu kama mhandisi nawadak wengi mno Kuna wengine walijuwa ukweli wnaniacha wengine hata wakijuwa ukweli Bado wanaendelea kuwa na mm Kwanza wengi wnanimbia mm Ni jasiri mno mnk wakt mwingine nawahitaji hotelini Kali Kali kupiga nao vinywaji kumbe Sina ramani
 
Bint au mwanamke anatakiwa kudangwanywa tu daima ndio utawapata mm huwa nasema. Nafanya kazi katk kampuni ya minara ya simu kama mhandisi nawadak wengi mno Kuna wengine walijuwa ukweli wnaniacha wengine hata wakijuwa ukweli Bado wanaendelea kuwa na mm Kwanza wengi wnanimbia mm Ni jasiri mno mnk wakt mwingine nawahitaji hotelini Kali Kali kupiga nao vinywaji kumbe Sina ramani
Kumbe na mwana ulimkamata😂😂😂
 
Mascammer yapo mpaka JF, huyu ndie mlokole sasa, na wajinga wanashauri mtu anaetoa visa vya kutunga
Screenshot_20230824-001653.jpg
 
Bint au mwanamke anatakiwa kudangwanywa tu daima ndio utawapata mm huwa nasema. Nafanya kazi katk kampuni ya minara ya simu kama mhandisi nawadak wengi mno Kuna wengine walijuwa ukweli wnaniacha wengine hata wakijuwa ukweli Bado wanaendelea kuwa na mm Kwanza wengi wnanimbia mm Ni jasiri mno mnk wakt mwingine nawahitaji hotelini Kali Kali kupiga nao vinywaji kumbe Sina ramani
Hii poor mindset ndio maana wanaume mnatanguliaga kaburini kwanza
 
Back
Top Bottom