Bwana wangu anaendesha bodaboda, nifanyaje?

Walau yeye ana boda boda.
Nawe ungekuwa nayo mngekuwa na mbili.
Iwapo unaweza, hilo gari ulinunue wewe.
 
We pumbavu kweli ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
But am different,don't you trust me๐Ÿ˜๐Ÿค”
Mambo hayo wanaume wenzio wanasema
Degree holder anaendesha bodaboda
Badala ya kuajiri watu awe meneja WA kampuni yake?!
Huko chuoni alifundishwa akaendeshe bodaboda??
 
Walau yeye ana boda boda.
Nawe ungekuwa nayo mngekuwa na mbili.
Iwapo unaweza, hilo gari ulinunue wewe.
Alisoma degree kwa mkopo WA serikali ili aje aendeshe bodaboda au aajiri watu awe meneja WA kampuni yake??
Woi ๐Ÿšถ๐Ÿšถ
 
sa si tutajuaje?

dah kitambo sana naona umerudi tena. haya bana, mungu ni mwema. karibu tena.
Alisoma degree kwa mkopo WA serikali ili aje aendeshe bodaboda au aajiri watu awe meneja WA kampuni yake??
Woi ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐ŸŽ‰
 
Alisoma degree kwa mkopo WA serikali ili aje aendeshe bodaboda au aajiri watu awe meneja WA kampuni yake??
Woi ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐ŸŽ‰
 
Sasa, huyu jamaa alisoma degree kwa mkopo WA serikali ili aje aendeshe bodaboda au aajiri watu awe meneja WA kampuni yake??
Woi ๐Ÿšถ๐Ÿšถ
Sijui watoto mtakua lini?!
 
Mbona maneno mengi namsema muhusika au!!!??
Embu jistretch akili yako basi

Nikuulize?! Ivi huyu jamaa alisoma degree kwa mkopo WA serikali ili aje aendeshe bodaboda au aajiri watu awe meneja WA kampuni yake??
Woi ๐Ÿšถ๐Ÿšถ
Sijui watoto mtakua lini?!
 
Maisha ya wanaoamua hayo wayaishi.. mwanamke lazima asimamie asitegemee pesa ya mwanaume ili aishi hata chupa ya maji ya kunywa njiani anunuliwe au kubaki na kiu..
Nikuulize?! Ivi huyu jamaa alisoma degree kwa mkopo WA serikali ili aje aendeshe bodaboda au aajiri watu awe meneja WA kampuni yake??
Woi ๐Ÿšถ๐Ÿšถ
Sijui watoto mtakua lini?!
 
Nikuulize?! Ivi huyu jamaa alisoma degree kwa mkopo WA serikali ili aje aendeshe bodaboda au aajiri watu awe meneja WA kampuni yake??
Woi ๐Ÿšถ๐Ÿšถ
Sijui watoto mtakua lini?!
 
Kwani ww umeamuje
Nikuulize?! Ivi huyu jamaa alisoma degree kwa mkopo WA serikali ili aje aendeshe bodaboda au aajiri watu awe meneja WA kampuni yake??
Woi ๐Ÿšถ๐Ÿšถ
Sijui watoto mtakua lini?!
 
Amkubali asione aibu, asipende kuishi maisha ya kuangalia wengine.
Nikuulize?! Ivi huyu jamaa alisoma degree kwa mkopo WA serikali ili aje aendeshe bodaboda au aajiri watu awe meneja WA kampuni yake??
Woi ๐Ÿšถ๐Ÿšถ
Sijui watoto mtakua lini?!
 
Bodaboda tunaingiza hadi laki 9 kwa siku, wait you will see that of a firewood spitter (subiri utaona cha mtemakuni)
Nikuulize?! Ivi huyu jamaa alisoma degree kwa mkopo WA serikali ili aje aendeshe bodaboda au aajiri watu awe meneja WA kampuni yake??
Woi ๐Ÿšถ๐Ÿšถ
Sijui watoto mtakua lini?!
 
Njoo pm moneypenny mi nakuoa faster, usipuuzie, ila mimi na makanisa mbalimbali
Unioe unipeleke kuzimu
Wakati mume wangu anasali usiku na mchana tufike Mbinguni?!
Woi ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ
 
Mwenyewe unajiona umeandika pooooint kumbe pumba Tu

Nikuulize?! Ivi huyu jamaa alisoma degree kwa mkopo WA serikali ili aje aendeshe bodaboda au aajiri watu awe meneja WA kampuni yake??
Woi ๐Ÿšถ๐Ÿšถ
Sijui watoto mtakua lini?!
 
Mambo hayo wanaume wenzio wanasema
Degree holder anaendesha bodaboda
Badala ya kuajiri watu awe meneja WA kampuni yake?!
Huko chuoni alifundishwa akaendeshe bodaboda??
Maisha hayana kanuni kikubwa anatengeza pesa hakuna shida wakati wake ukifika atapata
 
Maisha hayana kanuni kikubwa anatengeza pesa hakuna shida wakati wake ukifika atapata
Ulisoma ili uwe mtumwa?!
What's with the formula?!
Ndio maana serikali sahivi inatoa mikopo Kwa watu waliopata division 1 Tu, wanaoweza kufikiri maisha baada ya shule
Kha!
Hambebeki watz jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ