Bwawa la kufua umeme la Nyerere ni dogo mno kulinganisha na uwezo wa maji katika bonde la mto Kilombero na Rufiji. Tulipaswa kutengeneza walau 6000MW!

Bwawa la kufua umeme la Nyerere ni dogo mno kulinganisha na uwezo wa maji katika bonde la mto Kilombero na Rufiji. Tulipaswa kutengeneza walau 6000MW!

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Kuanzia muonekano wa bwawa la Nyerere hadi kiasi cha umeme unaotengenezwa katika bwawa hilo ambao ni megawatt 2115 tu, kila kitu kimekuwa underplanned and underestimated (finyu). Tumepoteza nafasi adimu ya kutengeneza umeme wa kutosha kwa Taifa letu kwa miaka mingi ijayo kwa kutumia ka-sehemu kadogo tu ka uwezo wa mfumo wa maji katika bonde la mto Kilombero na Rufiji pengine kwa gharama zilezile.

Nafikiri upembuzi uliofanyika kabla ya ujenzi wa bwawa hili ulikuwa finyu sana na pia wakubwa wamekula mabilioni kupitia udanganyifu huu! Sasa tunakazana kupunguza maji kwenye bwawa kwa nguvu kubwa na kulazimika hata kuzima mashine moja tuliyokwisha kuiwasha!

UKIONA BWAWA LIMEJAA MIAKA MIWILI KABLA YA UBASHIRI WA WATAALAM MANAKE NI KWAMBA UPEMBUZI YAKINIFU HAUKUWA SAHIHI NA KUMEFANYIKA MAKADIRIO MADOGO MNO YA UWEZO KAMILI WA BWAWA LA NYERERE.

Waziri Makamba mwaka jana aliwaambia watanzania kuwa itachukua miaka miwili (hadi 2026) kwa bwawa kujaa maji ili tuweze kutengeneza umeme. Nlishangaa sana na niliandika hapa kuwa msimu huu hautaisha litajaa mpaka pomoni na ndivyo ilivyo. Na hata mpango wa Tanesco ulikuwa kuanza na mashine moja ifikapo July mwaka huu, lakini bwawa limeshajaa na kumwagika na mashine tayari iliwashwa tangu mwezi March mwaka huu! Hivi vyote ni viashiria vya misculculation kubwa.

Sijui wataalamu wetu wapo wapi na tunaliwa mno jamani! Wataalamu kutoka nje walijua fika kuwa potential ya Stigler's Gorge ni 6000MW plus lakini wametupatia vizuri mno kwa sisi kuwalipa matrilioni kwa wao kutengeneza kituo cha kuzalisha 2000MW kwa fedha ambazo pengine zingetosha kutengeneza kituo cha kuzalisha 6000MW!

KWA MARA NYINGINE TENA TUMEZALISHA GUNIA MOJA LA MAHINDI KWENYE HEKA MOJA NA TUNAWASIFU VIONGOZI WETU SANA KWA HILO!
 
Kujenga moja kubwa ni too risk hili Tu lenyewe limeanza kuleta maluwe luwe ni bora ujenge matatu madogo madogo kuliko moja kubwa kihivyo
Kweli wewe ni Slowly, haya.
 
Ni hatua nzuri lakini haitamaliza tatizo tatizo.

Kufikia 2026 pengine mahitaji ya umeme yatakuwa 4000MW

Nyerere dam 2000MW

Umeme wa gesi 1200MW

Jumla 3200MW.

Tatizo litabaki kuwa pale pale.
 
Kujenga moja kubwa ni too risk hili Tu lenyewe limeanza kuleta maluwe luwe ni bora ujenge matatu madogo madogo kuliko moja kubwa kihivyo
Grand Ethiopian Renaissance Dam la Ethiopia linajengwa moja, litazalisha Megawatts 6000 na litagharimu $ billioni 5!
 
Umechukua mawazo yangu kichwani na kuyaandika hapa JF

Changamoto kubwa ni janja janja ya viongozi wetu, wao wanajijali wao tu, wao wanajali upigaji tu.
 
Watanzania ukiwasikiliza kwa umakini ni kama wendawazimu, Ukiwasikiliza zaidi ni kama watumwa na hawajielewi! Ukiwasikiliza saana utagundua kabisa, hawa ni wajinga

Kwa mfano hapo bwana fazili sio ndo wewe uliyekuwa msitari wa mbele kupinga hata huo ujenzi wa bwawa?

Si ndo wewe ulikuwa mstari wa mbele kulaani ujenzi huo huku ukisema ni matumiza mabovu ya kodi,

Si ndo wewe uliyekuwa ukisema, mvua zitatoka wapi?

Inakuweje tena hili wazo lako leo? Si ndo ungemaliza matusi yote kukekejeri aliyekuwa Rais na jasiri aliyelijenga bwawa licha ya matusi yenu?
 
Watanzania ukiwasikiliza ni kama wanazoo! Ukiwasikiliza zaidi ni kama watumwa na hawajielewi! Ukiwasikiliza saana utagundua kabisa, hawa ni wajinga

Kwa mfano hapo bwana fazili sio ndo wewe uliyekuwa msitari wa mbele kupinga hata huo ujenzi wa bwawa?
Kweli
Si ndo wewe ulikuwa mstari wa mbele kulaani ujenzi huo huku ukisema ni matumiza mabovu ya kodi,
Kweli
Si ndo wewe uliyekuwa ukisema, mvua zitatoka wapi?
Uongo
Inakuweje tena hili wazo lako leo? Si ndo ungemaliza matusi yote kukekejeri aliyekuwa Rais na jasiri aliyelijenga bwawa licha ya matusi yenu?
Kwa vile huelewi mambo vizuri basi kama nilivyoeleza hapo juu ni kwamba gharama na ukubwa wa bwawa hauendani na bwawa lenyewe. Tunajua jinsi watu walivyopiga mabilioni hapo. Sipingani na uwepo wa bwawa, ila viwango, ufanisi na gharama zilizopindukia. Umeelewa?
 
Kuanzia muonekano wa bwawa la Nyerere hadi kiasi cha umeme unaotengenezwa katika bwawa hilo ambao ni megawatt 2115, kila kitu kimekuwa underplanned and underestimated (finyu). Tumepoteza nafasi adimu ya kutengeneza umeme wa kutosha kwa Taifa letu kwa miaka mingi ijayo kwa kutumia ka-sehemu kadogo tu ka uwezo wa mfumo wa maji katika bonde la mto Kilombero na Rufiji pengine kwa gharama zilezile.

Nafikiri upembuzi uliofanyika kabla ya ujenzi wa bwawa hili ulikuwa finyu sana na pia wakubwa wamekula matrilioni kupitia udanganyifu huu! Sasa tunakazana kupunguza maji kwenye bwawa kwa nguvu kubwa na kulazimika hata kuzima mashine moja tuliyokwisha kuiwasha!

UKIONA BWAWA LIMEJAA MIAKA MIWILI KABLA YA UBASHIRI WA WATAALAM MANAKE NI KWAMBA UPEMBUZI YAKINIFU HAUKUWA SAHIHI NA KUMEFANYIKA MAKADIRIO MADOGO MNO YA UWEZO KAMILI WA BWAWA LA NYERERE.

Waziri Makamba mwaka jana aliwaambia watanzania kuwa itachukua miaka miwili (hadi 2026) kwa bwawa kujaa maji ili tuweze kutengeneza umeme. Nlishangaa sana na niliandika hapa kuwa msimu huu hautaisha litajaa mpaka pomoni na ndivyo ilivyo. Na hata mpango wa Tanesco ulikuwa kuanza na mashine moja ifikapo July mwaka huu, lakini bwawa limeshajaa na kumwagika na mashine tayari iliwashwa tangu mwezi March mwaka huu! Hivi vyote ni viashiria vya misculculation kubwa.

Sijui wataalamu wetu wapo wapi na tunaliwa mno jamani! Wataalamu kutoka nje walijua fika kuwa potential ya Stigler's Gorge ni 6000MW plus lakini wametupatia vizuri mno kwa sisi kuwalipa matrilioni kwa wao kutengeneza kituo cha kuzalisha 2000MW kwa fedha ambazo pengine zingetosha kutengeneza kituo cha kuzalisha 6000MW!

KWA MARA NYINGINE TENA TUMEZALISHA GUNIA MOJA LA MAHINDI KWENYE HEKA MOJA NA TUNAWASIFU VIONGOZI WETU SANA KWA HILO!
Ni ukweli Taifa hata mtu binafsi kunatakiwa kuwa na benki ya takwimu/data . Labda zipo takwimu za ni cubic meter za Maji ngapi yanayopotelea baharini za mito ya Ruvuma,Rufiji,Pangani .Kazi ya kukusanya,kuchakata,kupanga na kutunza(benki)ni lazima zifanywe na watumishi waliosomea,je ukienda pale NBS utakuta watumishi watakwimu wa kutosha?na takwimu mbalimbali.?. Huwezi kuwa na dira,mwelekeo,mpango na bajeti na maamuzi sahihi kama huna takwimu za hakika na ukweli.
 
Kuanzia muonekano wa bwawa la Nyerere hadi kiasi cha umeme unaotengenezwa katika bwawa hilo ambao ni megawatt 2115, kila kitu kimekuwa underplanned and underestimated (finyu). Tumepoteza nafasi adimu ya kutengeneza umeme wa kutosha kwa Taifa letu kwa miaka mingi ijayo kwa kutumia ka-sehemu kadogo tu ka uwezo wa mfumo wa maji katika bonde la mto Kilombero na Rufiji pengine kwa gharama zilezile.

Nafikiri upembuzi uliofanyika kabla ya ujenzi wa bwawa hili ulikuwa finyu sana na pia wakubwa wamekula matrilioni kupitia udanganyifu huu! Sasa tunakazana kupunguza maji kwenye bwawa kwa nguvu kubwa na kulazimika hata kuzima mashine moja tuliyokwisha kuiwasha!

UKIONA BWAWA LIMEJAA MIAKA MIWILI KABLA YA UBASHIRI WA WATAALAM MANAKE NI KWAMBA UPEMBUZI YAKINIFU HAUKUWA SAHIHI NA KUMEFANYIKA MAKADIRIO MADOGO MNO YA UWEZO KAMILI WA BWAWA LA NYERERE.

Waziri Makamba mwaka jana aliwaambia watanzania kuwa itachukua miaka miwili (hadi 2026) kwa bwawa kujaa maji ili tuweze kutengeneza umeme. Nlishangaa sana na niliandika hapa kuwa msimu huu hautaisha litajaa mpaka pomoni na ndivyo ilivyo. Na hata mpango wa Tanesco ulikuwa kuanza na mashine moja ifikapo July mwaka huu, lakini bwawa limeshajaa na kumwagika na mashine tayari iliwashwa tangu mwezi March mwaka huu! Hivi vyote ni viashiria vya misculculation kubwa.

Sijui wataalamu wetu wapo wapi na tunaliwa mno jamani! Wataalamu kutoka nje walijua fika kuwa potential ya Stigler's Gorge ni 6000MW plus lakini wametupatia vizuri mno kwa sisi kuwalipa matrilioni kwa wao kutengeneza kituo cha kuzalisha 2000MW kwa fedha ambazo pengine zingetosha kutengeneza kituo cha kuzalisha 6000MW!

KWA MARA NYINGINE TENA TUMEZALISHA GUNIA MOJA LA MAHINDI KWENYE HEKA MOJA NA TUNAWASIFU VIONGOZI WETU SANA KWA HILO!
Kujenga hizo 2115 kuna watu mpaka leo hii wanabana makende na wengine vitumbua lisimalizike na wengine wanataka lijae livunje kingo wapate single za kuendea boomplay!
 
Back
Top Bottom