ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Eeeh mkuu si unajua maji ya bahari yana chumvi,samaki wenyewe maji ya kunywa wanatumia ya mtoni.😁😁😁😁 Samaki wakanywe😂😂
Hii nchi blah blah hazikaukiBwawa LA mwalimu nyerere limejaa kabisa mpaka kufikia ujazo wa MITA 185 kati ya mita 186 kutoka usawa wa Bahari.
Hivyo serikali kuanzia Muda wowote itaanza kumwaga maji au kufungulia maji Kwa lugha ya Magufuli, hili zoezi linafanyika kwakuwa mitambo ya uzalishaji umeme haijakamilika yote kama ilivyokusudiwa , maji yaliyopo ni mengi na mashine inayotembea ni moja tu, hivyo serikali itafungulia maji bure Ili yaende baharini samaki wakanywe.
Mradi ukikamilika unatarajia kuzungusha mashine 9
View attachment 2933349
Kwanini watu wasile vizuri?...Kwanini mradi haujakamilika Kwa wakati!!?
Hapo ndipo Huwa napata hasira hapa!!
Fedha walizokopa kwa ajili ujenzi ziko wapi!!?
Mungu ibariki Tanzania!!
Siku si nyingi watasema hawana fedha za kuendeshea machine zilizobakiaMradi ukikamilika unatarajia kuzungusha mashine 9
🤣🤣🤣😝Jamen bado tunasikilizia sambusa za ikulu tulizokula kwenye iftar🤣🤣ya bwawa na umeme,baadae yakhe
Pongezi kwa Samia na CCM kwa kujaza bwawa!Bwawa LA mwalimu nyerere limejaa kabisa mpaka kufikia ujazo wa MITA 185 kati ya mita 186 kutoka usawa wa Bahari.
Hivyo Serikali kuanzia Muda wowote itaanza kumwaga maji au kufungulia maji Kwa lugha ya Magufuli, hili zoezi linafanyika kwakuwa mitambo ya uzalishaji umeme haijakamilika yote kama ilivyokusudiwa, maji yaliyopo ni mengi na mashine inayotembea ni moja tu, hivyo Serikali itafungulia maji bure Ili yaende baharini samaki wakanywe.
Mradi ukikamilika unatarajia kuzungusha mashine 9
View attachment 2933349
Hiyo kazi ya kujaza maji si ndo ilichukuwa muda mrefu na mradi kuchelewa? Sasa yanamwagwa tena?Bwawa la mwalimu Nyerere limejaa kabisa mpaka kufikia ujazo wa MITA 185 kati ya mita 186 kutoka usawa wa Bahari.
Hivyo Serikali kuanzia Muda wowote itaanza kumwaga maji au kufungulia maji Kwa lugha ya Magufuli, hili zoezi linafanyika kwakuwa mitambo ya uzalishaji umeme haijakamilika yote kama ilivyokusudiwa, maji yaliyopo ni mengi na mashine inayotembea ni moja tu, hivyo Serikali itafungulia maji bure Ili yaende baharini samaki wakanywe.
Mradi ukikamilika unatarajia kuzungusha mashine 9
View attachment 2933349
Kwanini wafungulie kwani hakuna "overflow" kwenye design yake?Bwawa la mwalimu Nyerere limejaa kabisa mpaka kufikia ujazo wa MITA 185 kati ya mita 186 kutoka usawa wa Bahari.
Hivyo Serikali kuanzia Muda wowote itaanza kumwaga maji au kufungulia maji Kwa lugha ya Magufuli, hili zoezi linafanyika kwakuwa mitambo ya uzalishaji umeme haijakamilika yote kama ilivyokusudiwa, maji yaliyopo ni mengi na mashine inayotembea ni moja tu, hivyo Serikali itafungulia maji bure Ili yaende baharini samaki wakanywe.
Mradi ukikamilika unatarajia kuzungusha mashine 9
View attachment 2933349