Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye Kingo za bwawa kutakuwa na sensor za kupima stress inayosababishwa na nguvu ya maji , sasa kuna vipimo vyake vya kuelekeza maji yafunguliwe au la kupunguza stress katika kingo za bwawa.Kwanini wafungulie kwani hakuna "overflow" kwenye design yake?
Magufuli alisema pale chini ya bwawa kutakuwa na kilimo cha umwagiliaji, mpunga utakao limwa pale utaweza lisha dar yote, sasa sijui kama hilo lita fanyika maana mwenye wazo lake hayupo tena.
Siyo CHADEMA. Kama una uchawa ndani basi unakufa ukiwa mnafiki na katika uzee wako utakuwa mchawi. NAPE ndiye aliyekuwa akisema Bwawa halitajaa maana Serikali inakata mamilioni ya miti. Nape tangu lini amekuwa CCM?Chadema walisema bwawa halitajaa kisa imekatwa miti milioni 3
.
Magufuli anawaaibisha wajinga nyie
Watasema yamwagwe ili ujenzi uendeleeMambo mengi sana aisee! Tunapigwa chenga za kila aina.
Lete jina ulilotumiaHili bwawa hata google earth halipo
Makusudi.Bwawa la mwalimu Nyerere limejaa kabisa mpaka kufikia ujazo wa MITA 185 kati ya mita 186 kutoka usawa wa Bahari.
Hivyo Serikali kuanzia Muda wowote itaanza kumwaga maji au kufungulia maji Kwa lugha ya Magufuli, hili zoezi linafanyika kwakuwa mitambo ya uzalishaji umeme haijakamilika yote kama ilivyokusudiwa, maji yaliyopo ni mengi na mashine inayotembea ni moja tu, hivyo Serikali itafungulia maji bure Ili yaende baharini samaki wakanywe.
Mradi ukikamilika unatarajia kuzungusha mashine 9.
Bwawa hewa labdaHili bwawa hata google earth halipo
Hawa watu tunatakiwa kuwawajibisha!! Tuwaunge Chadema mkono tundamane nchi nzima kupinga huu ujinga. Wanatuona watoto sana hawa ccm. Tundamane hadi kieleweke watupatie umeme wa uhakika,gharama za maisha zishuke chini.Kwahio sio kwamba maji ndio kikwazo (ukame) bali ni uzembe (AKA Ukame wa Juhudi)
Nenda Google map satellite andika Nyerere hydropower project, mabwawa yote yanaonekana kasoro la stiglers, labda gugo hawaja updateLete jina ulilotumia
Inasikitisha sanaJamen bado tunasikilizia sambusa za ikulu tulizokula kwenye iftar[emoji1787][emoji1787]ya bwawa na umeme,baadae yakhe
NakaziaILA UMEME KUKATIKA KUPO PALE PALE
Nchi iuzwe hii tugawane pesaNakazia
Nenda kachote maji anna, we kwenu si kuna shida ya maji ya kuogea na kuoshea vyombo..Watasema yamwagwe ili ujenzi uendelee
Magufuli alisema lita toa ajira kwa wavuvi, pia kilimo cha umwagiliaji kwa kule chini after maji kutoka,...ni maoni yangu wapeleke vifaranga vya sato na sangara pale ili wawe wana vuliwa pale na kuletwa dar kwa bei rahisi.Hili bwawa sio Michezo lipo Kama ziwa ( lake ) !
Panaweza kuwa sehemu ya kivutio cha utalii ingawa kutakuwa na mi mamba ya kutosha!
Haaa! Nape sio CCM?Siyo CHADEMA. Kama una uchawa ndani basi unakufa ukiwa mnafiki na katika uzee wako utakuwa mchawi. NAPE ndiye aliyekuwa akisema Bwawa halitajaa maana Serikali inakata mamilioni ya miti. Nape tangu lini amekuwa CCM?
Hujapiga kachabari muda!?Kwahiyo hayo maji ya Bwawa yanatoka Bahari ya Wahindi?