Inasaidia nini kama bado nchi ipo gizaBwawa la mwalimu Nyerere limejaa kabisa mpaka kufikia ujazo wa MITA 185 kati ya mita 186 kutoka usawa wa Bahari.
Hivyo Serikali kuanzia Muda wowote itaanza kumwaga maji au kufungulia maji Kwa lugha ya Magufuli, hili zoezi linafanyika kwakuwa mitambo ya uzalishaji umeme haijakamilika yote kama ilivyokusudiwa, maji yaliyopo ni mengi na mashine inayotembea ni moja tu, hivyo Serikali itafungulia maji bure Ili yaende baharini samaki wakanywe.
Mradi ukikamilika unatarajia kuzungusha mashine 9.
... kutoka usawa wa bahari! Reference ya ujazo wa hilo bwawa ni bahari? That's extremely huge volume!Bwawa la mwalimu Nyerere limejaa kabisa mpaka kufikia ujazo wa MITA 185 kati ya mita 186 kutoka usawa wa Bahari.
Hivyo Serikali kuanzia Muda wowote itaanza kumwaga maji au kufungulia maji Kwa lugha ya Magufuli, hili zoezi linafanyika kwakuwa mitambo ya uzalishaji umeme haijakamilika yote kama ilivyokusudiwa, maji yaliyopo ni mengi na mashine inayotembea ni moja tu, hivyo Serikali itafungulia maji bure Ili yaende baharini samaki wakanywe.
Mradi ukikamilika unatarajia kuzungusha mashine 9.
Kina Cha mwalimu nyerere reference yake ni usawa wa Bahari, Kwa maana ya level ya bahari ndo MITA 0, kwakuwa rufiji bwawa lipo juu, hivyo Kwa pale bwawani hiyo zero MITA haionekani.... kutoka usawa wa bahari! Reference ya ujazo wa hilo bwawa ni bahari? That's extremely huge volume!
The correct statement would be "limejaa kuzidi uwezo wake" au kwa kiwango cha ujazo wake na sio kutoka "usawa wa bahari".
Seems topic ya reference point huko mashuleni walimu wanafundisha ujinga!
Muulize waziri mhusikaKwanini mradi haujakamilika Kwa wakati!!?
Hapo ndipo Huwa napata hasira hapa!!
Fedha walizokopa kwa ajili ujenzi ziko wapi!!?
Mungu ibariki Tanzania!!
Ni kudra za mwenyezi Mungu kujaza maji kabla ya muda wake hivi tunapaswa kujipongezaHii ni balaa
Kwa hiyo unatuambia height kutoka baharini hadi max. point ya bwawa kujaa ni 185/186 metres?Kina Cha mwalimu nyerere reference yake ni usawa wa Bahari, Kwa maana ya level ya bahari ndo MITA 0, kwakuwa rufiji bwawa lipo juu, hivyo Kwa pale bwawani hiyo zero MITA haionekani.
Kingine, Kwa data za lile bwawa , Kila MITA Ina correspond na ujazo flani interm of cubic billion metres, Kwa mfano at 186m kutoka usawa wa bahari hii ni equivalent na cubic 34 billion MITA za ujazo.
Asante kiongozi
Exactly ndo hivyoKwa hiyo unatuambia height kutoka baharini hadi max. point ya bwawa kujaa ni 185/186 metres?
Kuna mamba Mkuu, ooohhh shauri yako.Kama wameshindwa kulitumia Kama ilivyotarajiwa turuhusiwe tukaogeleee
Kama ukomo ni 186 basi bado halijafikia ukomo.Bwawa la mwalimu Nyerere limejaa kabisa mpaka kufikia ujazo wa MITA 185 kati ya mita 186 kutoka usawa wa Bahari.
Hivyo Serikali kuanzia Muda wowote itaanza kumwaga maji au kufungulia maji Kwa lugha ya Magufuli, hili zoezi linafanyika kwakuwa mitambo ya uzalishaji umeme haijakamilika yote kama ilivyokusudiwa, maji yaliyopo ni mengi na mashine inayotembea ni moja tu, hivyo Serikali itafungulia maji bure Ili yaende baharini samaki wakanywe.
Mradi ukikamilika unatarajia kuzungusha mashine 9.
Mkandarasi mwenyewe misri na hajawahi jenga hata josho la kuogeshea mifugo, zoezi litakalofuata ni kugawa magodoro rufijiKwenye Kingo za bwawa kutakuwa na sensor za kupima stress inayosababishwa na nguvu ya maji , sasa kuna vipimo vyake vya kuelekeza maji yafunguliwe au la kupunguza stress katika kingo za bwawa.
Na kufunguliwa sio yanafunguliwa yote Hapana , yanapunguzwa kidogo kidogo lakini bwawa linakuwa limejaa kuna li mlango la chuma Kama li geti linapanda juu maji yanapita ndiyo hio overflow au spillway.
Na wataalamu wakaamini na wanasiasa wakaamini wakaleta mtambo mmoja namba 9? Maji yamewafanyia surprise? Yanawalazimisha kufunga mitambo mingine kinyume na matarajio? Walitaka tatizo liendelee mpaka siku walizo kadiria za kimchongo?Chadema walisema halitajaa kwa sababu miti imekatwa
Turudishe ngombe ihefu wanywe maji, mbona simple ecolojiaKama wameshindwa kulitumia Kama ilivyotarajiwa turuhusiwe tukaogeleee
Lishajaa na kupita hiyo MITA moja, hii taarifa ya muda kidogo , Hali Sasa ni tofautiKama ukomo ni 186 basi bado halijafikia ukomo.
Mita moja hapo ni maji mengi sana kuliko unavyofikiria.
Hakuna tatizo, maji yamefunguliwa na kina kitashuka.Lishajaa na kupita hiyo MITA moja, hii taarifa ya muda kidogo , Hali Sasa ni tofautiView attachment 2957132