mushairizi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 290
- 249
Kumbe hata wewe hujui Nyerere ndio mwenye wazo wengine wote walishindwa Magu akasema ni lazima tufanye waliompinga tunawajua sio lazima kutajwa. Walipoingia baada ya kifo chake wakaanza mpango vipa umbele kama sio Sukuma genge kulivalia njuga sasa hivi yangekuwa yanasemwa mengine. Hata hivo kipindi chake ni 45% sio habaJpm alianzisha tu na Wala hajaweka hela yeye hata 20% na asingeweza. Zote 80% zimejengwa na mama. Mama ndo anastahili sifa ila jpm ni mwanzilishi tu theoretically but the practical part of it ni mama samia
Wewe ni kichaa nini wewe unauliza meli itabeba niniLile Bwawa unless tuwe tunapata maji kutoka Ziwani kama ilivyo Mto Naili au mto Kongo, kwa Hali ya sasa umeme wa Maji ni hatari tupu, ni mzuri ni wa gharama ndogo ila wa hatari sana, angalia Zambia wanavyo teseka now,
Kwa mto kama Nile na Mto kongo kuna angalau uhakika wa maji wake wanatoa kwenye maziwa Victoria na Tanganyika.
Ile Meli itabeba mizigo ipi? Hilo ndio swali la.msingi
Raia Samia sio mjinga kama yule,alisema Kwa mfano tayari yalishakula kama til.14 Kwa pamoja ukiacha ni hasara mara 2 japo anafahamu kwamba ni hasara kuendelea nayo..Na mama Samiah alikuwa na mamlaka ya kuyaacha yale yote yaliyoanzishwa na mtangulizi wake ili ajipatie sifa kwa kile ambacho angekianzisha yeye lakini kwa sababu ya uzalendo na weledi wa utendaji kazi ameamua kuyamalizia yale yote yaliyoanzishwa na Kikwete pia hata yale yaliyoanzishwa na Magufuri.
Mkuu mto Rufiji unaujua au unausikia tu?Bado hesabu hazikupigwa vyema, Kwa speedi ya uharibifu wa mazingira nchii hii lile bwawa linaweza sababisha raia waka kufuru bure, Hydropower kwa sasa ni changamoto sana angalia South Africa, angalia Zambia kule na Bwawa lao la Kariba 1636 Megawhat wana mgao wa kutisha kabisa.
Ethiopia wanaweza kuwa na uhakika kwa sababu wanachukua maji ziwa Victoria kupitia Nile, ila kwa huku tunakotegemea mvua lile bwawa ni hasara.
Na kumbuka Serikali haijali swala la Uharibifu wa mazingira yaani ni kama haiwahusu kabisa
Sukuma gang watakwambia ni mambo ya kimama mama [emoji16][emoji16]kweli
Jiwe alishindwa hapa [emoji116]Mambo aliyoyafanya yanaonekana na ni kwa manufaa ya wengi.
Kwakua wezi hawana cha kuonesha basi hawaishi matusi kila siku.
Sisi hatujui tunachojua ni kazi tuu kama hivi [emoji116]Hizo loan za masharoti nafuu usha ona mikataba yake au una nyamba tu
Utasikia ni miradi ya JPM [emoji2957][emoji2957]Wewe unawaza hayo madarasa tu?
Sasa inakuja ya ukarabati wa miu dombinu ya umeme kwa tillioni moja hapo ndo utajua sasa.
Uko sahihi,tunaomba na takwimu za JiweUnajenga madarasa kwa hela ya mkopo si kituko hicho jamani
Saizi sitosema Nitakuwa nawaletea yaliyofangika na yanayofanyikaAcha kulinganisha viongozi... Hayati Magufuli na Mama hawafanani na Hawawezi kufanana.. kila mtu ana alama alio acha hapa..
SawaTuseme tu ukweli nchi hii ni tajiri ila kuna watu kila mradi wanasema hatuna hela hiyo ni miradi mikubwa ila akipita hivi unasekia 100b zimeibiwa mara simbioni 350b zimelipwa
Haya mambo yalimshinda Mwendazake.Kama tungekuwa na watu kama wewe as decision makers nchi hii ingekua imejaa mafukara mara mia tulivyo sasa.
Mambo haya yalimshinda Jiwe.Hakuawahi kushindwa, aliamua kuyaacha kabisa