ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mambo haya yalimshinda Jiwe ,hapa Kuna Bil.950 kutoka bil.290Tena ujinga wa hali ya juu! Ni kama wewe ukope kujenga choo!
Jiwe Mwendazake alishindwa kuleta hata investor mmja.Uwanja wa Ndege alimalizia na madaraja kibao!
Sukuma gang watakwambia ni mambo ya kimama mama [emoji16][emoji16]
Na hii hapa ni vision ya nani? Baba Yako?Ujenzi wa gati na ujenzi ulikuwa ushaanza zaidi ya 20% huyo bibiako anatumia vision ya Magufuli! Ni mweupe sana kichwani!
We unaamini kabisa Samia tofauti na kazi za kike za madarasa aanaweza kuwa na project kubwa kama Nyerere Hydro,Busisi,SGR,Tanzanite,na flyover ,Meli nk?
Yule alikosa pesa hata ya condom angemaliza vipi bwawa?Angekuwa ye bwawa la umeme ungekuwa umeisha
Shukrani,ufafanuzi mzuri aliye na masikio na asikie.Jamani vijana tujaribu kuwa smart taifa inatutegemea sisi, kitendo cha kukamilika kwa miradi hayo haikupi 100% kwamba mwenda zake alikuwa mwema kwa taifa au laa!
Mtu mwema kwa taifa uweka mfumo mzuri utakao dumu vizazi na vizazi kwa maslahi mapana ya taifa. Uwezi jipambanua kama mzalendo wakati huo unaogopa uwazi katika serikali yako
Huwezi jipambanua kama mzalendo wakati huo unaogopa kukosolewa na watu hao hao walio kuweka madarakani, uwezi kuwa mzalendo wa nchi hii wakati huo unajiwekea kinga yakutokushtakiwa wewe na watu wako wa karibu
Uwezi kuwa mzalendo wakati huo unakanyaga haki ya watu wako, sasa ni uzalendo au uharamia? Sisi tunakubali kupokea hayo miradi iliyokamilishwa na Mama kwa mikono miwili, mwenda alishatembea zake wanao muongelea nahisi wana ajenda yao ya siri, tujifunze kuwa wazalendo wa kweli ok
Kamwambie mkeo huu ujinga atakuelewaAnayeanzisha ndiye anayejua zitatoka wapi. Anayeendeleza ashawekewa mezani zilizokusanywa. Jpm bado kinara wa maendeleo
Watajenga kitu gani hawa wezi? Wanafikiri wanaweza kuiba na kujenga kwa wakati mmoja. Walafi wakubwa hawa lazima waadhirike. Siku ikifika wanapigwa mawe wote. Tuombe tu uzima.Yaani waziri wa pesa anadai madarasa ya tril 1.3 yamejengwa lakini ukizunguka hapa nchini unakuta watoto wanakaa chini.
Bwawa la Nyerere linakamailika, Mv Nyerere imekamilika. Hii yote ni sababu ya hayati JPM kusimama kidete.
NB: Mimi siko genge lolote.
2024 Kuna uchaguzi!,fedha kibao inahitajika,ccm,samia na genge lake lazima waibe na kupiga pesa nyingi kwa miradi hewa,Yaani waziri wa pesa anadai madarasa ya tril 1.3 yamejengwa lakini ukizunguka hapa nchini unakuta watoto wanakaa chini.
Bwawa la Nyerere linakamailika, Mv Nyerere imekamilika. Hii yote ni sababu ya hayati JPM kusimama kidete.
NB: Mimi siko genge lolote.
Kinara wa ujambazi na ukabila.Anayeanzisha ndiye anayejua zitatoka wapi. Anayeendeleza ashawekewa mezani zilizokusanywa. Jpm bado kinara wa maendeleo
Pesa aliwachangisha Jiwe,Samia hajawahi mchangisha mtu,wewe ukichangishwa wapi? Weka risiti hapaIssue ya madarasa inaboa sana, wanajinasibu wamepata matrilioni ya pesa kujenga madarasa lakini wananchi wanachangishwa pesa kujenga madarasa, hii mbona siielewi? Mliosoma Cuba mnisaidie
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]Kinara wa mauaji na ukabila
Mda huu keshaliwa na funza kitambo sana na mkifa na nyie Wafuasi wake ndio kabisaa biashara yake imekataYule hafi nenda uangalie bwawa la nyerere
Ukweli unauma [emoji16][emoji16]Una matundu kichwani yako wazi
Enzi za Jiwe hapo angekuja mwenyewe kuzindua [emoji2957][emoji2957]Yule hafi nenda uangalie bwawa la nyerere
Bwashee makasiriko ya nini?Watajenga kitu gani hawa wezi? Wanafikiri wanaweza kuiba na kujenga kwa wakati mmoja. Walafi wakubwa hawa lazima waadhirike. Siku ikifika wanapigwa mawe wote. Tuombe tu uzima.
Da akili mgando nyingi sanaYule alikosa pesa hata ya condom angemaliza vipi bwawa?
Miaka 3 unajenga 30% ,miaka 2 bwawa ni 82%
Wenye vision Huwa wanafanya hivi [emoji116]