Bwawa la Nyerere ni uamuzi mgumu na wa kijasiri uliofanywa na Magufuli!

Bwawa la Nyerere ni uamuzi mgumu na wa kijasiri uliofanywa na Magufuli!

Huwa natafakari sana hili jambo!!Honestly simkubali Magufuli hata kidogo kwa mambo mengi aliyoyafanya ila nilikubaliana naye vitu viwili tu!!

Kwenye Covid na mradi wa Bwawa la Nyerere!!

Najiuliza alitoa wapi uthubutu wa kuamua kujenga bwawa la Nyerere?Hakuogopa mabeberu na makampuni ya solar ya dunia?

Hivi mnajua miradi kama hii inavyopigwa vita na wakubwa?Kuna nguvu kubwa sana ya kupinga hii miradi hususan kwa hao mabwana wakubwa wa dunia na vibaraka wao!!

Ethiopia wenyewe lile bwawa lao la Megawatts 7000 wamelijenga kwa kukomaa sana,maana lilipigwa vita sana na nchi za Misri na Sudan walitumiwa sana na kuna kipindi ilifika hadi Misri ikataka kwenda kulilipua lile Bwawa.Lakini wamepambana wamelijenga leo hii Ethiopia ndo nchi miongoni wenye umeme nafuu zaidi kule units bei yake ni chee mnoo yaani umeme wa jero ni units za kutosha

Halafu kuna wajinga wanathubutu kubeza mradi mtakatifu kama huu wa bwawa la Nyerere Magufuli sikumpenda ila kwa hili nilimuunga mkono kwa 100% na kwa hili tumpe maua yake tu.

Huu mradi ulipigwa Vita tokea kipindi cha Nyerere hakuna aliyethubutu kujenga wala kufungua file lake na kuchungulia kwasababu huko ni kutafuta ugomvi na wakuu wa dunia na wauza solar na majenereta Lakini jpm did...Kuamua kufanya maamuzi kama haya sio kazi rahisi ni kama kujiingiza katikati ya chui wakali tu

Tz bado tuna changamoto ya wahuni ni wengi, bado amini nawaambieni mimi Kimsboy kuna jambo nataka niliseme hapa na mlimark kabisa[emoji1313][emoji1313]

Ninapata hisia kuwa huenda huu mradi ukija kukamilika utahujumiwa tu!!Aidha ukikamilika uhujumiwe hadi uzalishe megawatts chache tu ili ipatikane sababu kuwa huu mradi ulitakiwa utoe megawatts 2200 lakini unazalisha megawatts kidogo sana tofauti na matarajio hivyo inabidi tutafute miradi mbadala (solar,mafuta na upepo)

Huenda huu mradi utakamilika lakini wahuni wakaanza kutengeneza matatizo ya mgao kwa kuzuia maji yasiende bwawani au kuyafungulia mimi simuamini Makamba kabisa kwa hili nalitamka wazi

Huu mradi hata hivyo haupo salama chini ya Makamba!!Huu mradi inabidi ukikamilika upate mtu mkali kidogo na asiecheka na wahuni watengeneza migao, hapo kuna watu washauandalia mahesabu kuwa watauhujumu vipi hii natoa kama indhari tu
Huo mradi unahitaji mda kama miak 5-10 kufanyia tathimini kama ilikua idea nzuri economically au economical experiment kwasbb wajuzi wanasema hydro power imepita na kati out dated technology na haina wakika wa costant supply kwa kiwango kumbwa inategemea maji ya mvua kujaza ma mbwawa mda, pia umeme unakua wa bei ya juu ila hayo yote tuyape mda tu.
 
Tunahitaji maendeleo
Na maendeleo ya muafrika kama kawaida kazoea fimbo shuleni na matusi kazini
Bila hayo hawezi kusonga mbele ndio maana Magu alikuwa anawaelewa mawaziri wake na kuwaita wengine Wapumbavu

Ushujaa na ubabe unahitajika kama unataka Taifa la wajinga liendelee
 
Huo mradi unahitaji mda kama miak 5-10 kufanyia tathimini kama ilikua idea nzuri economically au economical experiment kwasbb wajuzi wanasema hydro power imepita na kati out dated technology na haina wakika wa costant supply kwa kiwango kumbwa inategemea maji ya mvua kujaza ma mbwawa mda, pia umeme unakua wa bei ya juu ila hayo yote tuyape mda tu.
Hao wajuzi ni waongo...

Maji yatakauka Duniani miaka bilion 4 ijayo au mwisho wa Dunia.

Marekani ina mabwawa zaidi ya 10L na nusu yake inataka yawe Mabwawa ya Umeme
 
Huwa natafakari sana hili jambo!!Honestly simkubali Magufuli hata kidogo kwa mambo mengi aliyoyafanya ila nilikubaliana naye vitu viwili tu!!

Kwenye Covid na mradi wa Bwawa la Nyerere!!

Najiuliza alitoa wapi uthubutu wa kuamua kujenga bwawa la Nyerere?Hakuogopa mabeberu na makampuni ya solar ya dunia?

Hivi mnajua miradi kama hii inavyopigwa vita na wakubwa?Kuna nguvu kubwa sana ya kupinga hii miradi hususan kwa hao mabwana wakubwa wa dunia na vibaraka wao!!

Ethiopia wenyewe lile bwawa lao la Megawatts 7000 wamelijenga kwa kukomaa sana,maana lilipigwa vita sana na nchi za Misri na Sudan walitumiwa sana na kuna kipindi ilifika hadi Misri ikataka kwenda kulilipua lile Bwawa.Lakini wamepambana wamelijenga leo hii Ethiopia ndo nchi miongoni wenye umeme nafuu zaidi kule units bei yake ni chee mnoo yaani umeme wa jero ni units za kutosha

Halafu kuna wajinga wanathubutu kubeza mradi mtakatifu kama huu wa bwawa la Nyerere Magufuli sikumpenda ila kwa hili nilimuunga mkono kwa 100% na kwa hili tumpe maua yake tu.Kuna mambo yanahitaji utaifa na uzalendo huu mradi ukienda kama ilivyopangwa lazima utakua suluhisho la shida za umeme Tanzania

Huu mradi ulipigwa Vita tokea kipindi cha Nyerere hakuna aliyethubutu kujenga wala kufungua file lake na kuchungulia kwasababu huko ni kutafuta ugomvi na wakuu wa dunia na wauza solar na majenereta Lakini jpm did...Kuamua kufanya maamuzi kama haya sio kazi rahisi ni kama kujiingiza katikati ya chui wakali tu

Tz bado tuna changamoto ya wahuni ni wengi, bado amini nawaambieni mimi Kimsboy kuna jambo nataka niliseme hapa na mlimark kabisa[emoji1313][emoji1313]

Ninapata hisia kuwa huenda huu mradi ukija kukamilika utahujumiwa tu!!Aidha ukikamilika uhujumiwe hadi uzalishe megawatts chache tu ili ipatikane sababu kuwa huu mradi ulitakiwa utoe megawatts 2200 lakini unazalisha megawatts kidogo sana tofauti na matarajio hivyo inabidi tutafute miradi mbadala (solar,mafuta na upepo)

Huenda huu mradi utakamilika lakini wahuni wakaanza kutengeneza matatizo ya mgao kwa kuzuia maji yasiende bwawani au kuyafungulia mimi simuamini Makamba kabisa kwa hili nalitamka wazi

Huu mradi hata hivyo haupo salama chini ya Makamba!!
Makamba na Maharage sidhani kama ni watu sahihi wa kusimamia huu mradi yaani hata koti la uzalendo au la huu mradi ukiwavalisha haliwaivi kabisa yaani hawafananii kabisa kusimamia huu mradi na sijui kwanini siwezi kuwaamini hawa watu mimi Makamba na huu mradi naona ni kama maji na mafuta tu yaani haviendani kabisa sijui ilikuaje Mama akampa makamba hii wizara sijui na sidhani kama ni yeye alifanya haya maamuzi au ndo mambo ya "rimoti"?

Huu mradi inabidi ukikamilika upate mtu mkali kidogo na asiecheka na wahuni watengeneza migao, hapo kuna watu washauandalia mahesabu kuwa watauhujumu vipi hii natoa kama indhari tu

Mkuu huu uzi utakuwa unaupost kila mara kama uzi mpya?
 
Huwa natafakari sana hili jambo!!Honestly simkubali Magufuli hata kidogo kwa mambo mengi aliyoyafanya ila nilikubaliana naye vitu viwili tu!!

Kwenye Covid na mradi wa Bwawa la Nyerere!!

Najiuliza alitoa wapi uthubutu wa kuamua kujenga bwawa la Nyerere?Hakuogopa mabeberu na makampuni ya solar ya dunia?

Hivi mnajua miradi kama hii inavyopigwa vita na wakubwa?Kuna nguvu kubwa sana ya kupinga hii miradi hususan kwa hao mabwana wakubwa wa dunia na vibaraka wao!!

Ethiopia wenyewe lile bwawa lao la Megawatts 7000 wamelijenga kwa kukomaa sana,maana lilipigwa vita sana na nchi za Misri na Sudan walitumiwa sana na kuna kipindi ilifika hadi Misri ikataka kwenda kulilipua lile Bwawa.Lakini wamepambana wamelijenga leo hii Ethiopia ndo nchi miongoni wenye umeme nafuu zaidi kule units bei yake ni chee mnoo yaani umeme wa jero ni units za kutosha

Halafu kuna wajinga wanathubutu kubeza mradi mtakatifu kama huu wa bwawa la Nyerere Magufuli sikumpenda ila kwa hili nilimuunga mkono kwa 100% na kwa hili tumpe maua yake tu.Kuna mambo yanahitaji utaifa na uzalendo huu mradi ukienda kama ilivyopangwa lazima utakua suluhisho la shida za umeme Tanzania

Huu mradi ulipigwa Vita tokea kipindi cha Nyerere hakuna aliyethubutu kujenga wala kufungua file lake na kuchungulia kwasababu huko ni kutafuta ugomvi na wakuu wa dunia na wauza solar na majenereta Lakini jpm did...Kuamua kufanya maamuzi kama haya sio kazi rahisi ni kama kujiingiza katikati ya chui wakali tu

Tz bado tuna changamoto ya wahuni ni wengi, bado amini nawaambieni mimi Kimsboy kuna jambo nataka niliseme hapa na mlimark kabisa[emoji1313][emoji1313]

Ninapata hisia kuwa huenda huu mradi ukija kukamilika utahujumiwa tu!!Aidha ukikamilika uhujumiwe hadi uzalishe megawatts chache tu ili ipatikane sababu kuwa huu mradi ulitakiwa utoe megawatts 2200 lakini unazalisha megawatts kidogo sana tofauti na matarajio hivyo inabidi tutafute miradi mbadala (solar,mafuta na upepo)

Huenda huu mradi utakamilika lakini wahuni wakaanza kutengeneza matatizo ya mgao kwa kuzuia maji yasiende bwawani au kuyafungulia mimi simuamini Makamba kabisa kwa hili nalitamka wazi

Huu mradi hata hivyo haupo salama chini ya Makamba!!
Makamba na Maharage sidhani kama ni watu sahihi wa kusimamia huu mradi yaani hata koti la uzalendo au la huu mradi ukiwavalisha haliwaivi kabisa yaani hawafananii kabisa kusimamia huu mradi na sijui kwanini siwezi kuwaamini hawa watu mimi Makamba na huu mradi naona ni kama maji na mafuta tu yaani haviendani kabisa sijui ilikuaje Mama akampa makamba hii wizara sijui na sidhani kama ni yeye alifanya haya maamuzi au ndo mambo ya "rimoti"?

Huu mradi inabidi ukikamilika upate mtu mkali kidogo na asiecheka na wahuni watengeneza migao, hapo kuna watu washauandalia mahesabu kuwa watauhujumu vipi hii natoa kama indhari tu
Itabidi umkubali tu jumla ,yule alikuwa mtu na nusu, Ngoja nikwambie katika akili za waafrika basi yule alikuwani mmoja wa smartest Africans.
 
Moja ya kitu ambacho wazungu wametuweza ni kuhakikisha waafrica hatupo huru. Leo hii USA akiamua kujenga Hydro hakuna nchi yoyote ita comment, mambo ya ndani ya nchi yao hayaingiliwi.

Ila bongo au Africa mrad wowote mkubwa kwanza unaanzia kupingwa kutoka ndani. Ukimsikiliza Nape na Makamba kipindi hicho wakiuelezea mradi huu huwez kuamini kama walikua watanzania.
 
Mdomoni watu wanamnena watakavyo mara Mshamba, mara mlugaluga mara muuwaji lakini kivitendo wanamtukuza na kumkumbatia

Kwa sasa Wizara ya Nishati sifa Pekee wanayojitukuzia ni Bwawa la Nyerere la Umeme na Bungeni habari ilikuwa ni hiyo tu

Ndege ya Mizigo ambayo Shujaa Magufuli alidai alipata ushauri kwa Kagame ndio hiyo imepokelewa

Ikulu ya Chamwino ndio ile kivitendo kila mtu anaisifia

Jiwe walilolikataa mafisadi kumekuwa Jiwe kuu la Pembeni na 2025 kila Mwanaccm atalikumbatia ili asidondoke uchaguzini

Nawatakia Dominica Njema!
 
Back
Top Bottom