Bwawa la Nyerere ni uamuzi mgumu na wa kijasiri uliofanywa na Magufuli!

Bwawa la Nyerere ni uamuzi mgumu na wa kijasiri uliofanywa na Magufuli!

sawa kwene mtaa wa wajinga jambo la akili linachukiwa
Umezoea kupelekeshwa kama punda, huna mawazo huru.
Unashabikia muuaji kwa sababu zako binafsi na unajiona mwenye akili, what a disgusting goon na ndiyo maana mlichekelea kuitwa wanyonge.
 
Hilo la kujenga nchi hatuna ubishi ingawa alipaparuka.
Ku enject trilions ktk miradi mikubwa at the same time ni kudumaza mzunguko wa hela.
Pesa nyingi wanachukua mabeberu kwa njia ya ununuzi wa malighafi, mitambo na kulipa expatriate,
Ila pia alifanya uamuzi mgumu ktk kuhitimisha maisha ya watu na kuiba hela za watu mabenki nk.
Bila kusahau plea burgain ya 50b ambazo hazikuingia serikalini
Watanzania wengi waliamini ugumu huu wamaisha utokanao na ujenzi wa miradi mikubwa nchini mwao wanaumia lakini wangekula matunda siku za usoni kwa ata nchi zinazotupa misaada leo hii nazo zilipitia vipindi vigumu kuliko ata siye.
 
kwa hiyo ben saanane alikuwa anaijuwa elimu ya jpm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata kama alihoji hakuwa na ushahidi wa kutosha kujuwa kama ni msomi au siyo msomi kwani ben alikuwa ninani hadi awe na taarifa za kutosha kuhusu elimu ya JPM
Issue ya BenWatch8,sijui tajiri Mo Energy ni mapicha picha km yaliyokuwa mapicha picha mengine.
Sema watu wanajua ni jiwe Ndo alihusika.
sinemare la Mo Energy character ni mwingine,sinema la Ben[emoji3497]8 character ni mwingine pia.
CHUMA kilikuwa na madhaifu kama binadam wengine ila Kuna baadhi ya matukio yalikuwa hayamuhusu kabisa,achana na Yale alikuwa anafanya Big Boots Kwa kivuli Cha CHUMA.
Wakati utasema.
R.i.p CHUMA
R.i.p [emoji3497]8 popote ulipo
R.i.p Lupaso
 
Hapo hujui nini sasa, hujui ben saanane aliuaw, huji lisu kilichompata, hujui azroy alipo, hujui mawazo alipo, hujui Mo alitekwa,
Hapo Kwa Mo ndipo umedhihirisha wazi kwamba na ww ni mtu wa hear say.
Kifupi huelewi hata watu wanaokutawala/kuongoza wanafanya vp kazi
Poor,poor,poor,poor kabisa
 
Ok JPM alikuwa anathubutu, lakini alikuwa hajali ipasavyo ushauri wa kitaalamu au kuwa na subira utafiti kamili utangulie ujenzi wa mradi.
WWF wana msemo " the true cost of a dam never shows up on a balance sheet". Aswan Dam huko Misri kmf uliongeza eneo la umwagiliaji maji kwa wakulima, lakini mimea iliyopandwa ilikuwa hafifu kwa kukosa virutubisho vilivyonaswa bwawani. Matumizi ya mbolea yakaongeza sana gharama. Huko kwenye delta ya mto Nile uzalishaji wa kamba (prawns) ulitoweka- $7 bilioni kwa mwaka zikapotea.
Nini tunajifunza toka mgao wa umeme uliopo sasa hivi wakati tuna mabwawa ya Kidatu, Kihansi, Pangani,Mtera nk?
Ukisubiria utafiti wa kitaalamu ndio uanze ujenz utashangaa miaka ya kukaa madarakani imeisha na majibu hayajapatikana au majibu yanalenga kukwamisha ujenzi.
 
Mkuu heb acha kukaririshwa.
Heb google hapo uangalie haya mabwawa mawili uone yamejengwa mwaka gani
1. Three Gorges Dam - 22,500MW - China
2. TalHige Dam - 6,000MW - Etheopia

Hivi vijisababu vya tabia inchi vipo Tanzania tu au ndo Elimu ya kukariri?huko kwa wenzetu wanaojenga hawana hizi tabia inchi tunazohubiriwa kwetu hazipo au wao wapo Sayari nyingine?
One thing hizo nchi mbili hapo juu they have in common uchumi wao umekua ukikua kwa 7%+ for the last 10yrs...and to be one of them lazima uinge mawili matatu kutoka kwao...Cheap Electricity, cheap production cost.
Soon the world will go green with electical cars and the likes, tabia inchi zitarudi km tupo in 1920's...au ulitaka tusubiri grean revolutions ndo tukurupuke kujenga hilo Dam?
Visionary are people who sees tomorrow, and JPM was one of them...unfortunately kwa ulichoandika hapa i dont see km u r among them.
Ni kweli tabia inchi ipo bt not to that extent Next time ukisikia kitu kifanyie research kuthibitisha, then changanya na zako, sio unatirika na pumba kwakua tu kuna watu fulani fulani wamesema hivyo.
Jaza kwanza hilo bwawa harafu ndio uje na hadithi za Abunwasi.
 
Kwa taarifa tu uchumi wa nchi unaporomoka kwa haraka
Tafuta tarifa za IFM na WB wakati wa Magufuli,kwa mda mfupi Tanzania ilijikuta kwenye Uchumi wa Kati tena kwenye kipindi kigumu cha Corona,ambapo nchi zote Uchumi wa nchi nyingi uliporomoka.
 
Tafuta tarifa za IFM na WB wakati wa Magufuli,kwa mda mfupi Tanzania ilijikuta kwenye Uchumi wa Kati tena kwenye kipindi kigumu cha Corona,ambapo nchi zote Uchumi wa nchi nyingi uliporomoka.
Kuna watu Huwa wanaongea Kwa mihemko sana,na wapo wengi mno.
Hapo ndio unagundua mitaala ya elimu yetu upo kuumiza kundi kubwa la watu na wachache ndio waweze ku-sustain
 
Magufuli alikuwa ni takataka japo kwenye bwawa na sgr nilimuunga mkono.
Ni sawa kwamba huwezi kupendwa na watu wote. Utakuta hata wewe katika familia yako ya watu 4 au 5 wapo wasiokupenda kwa hisia zao. Sasa fikiria unaongoza wa Tz million 60, kweli utakosa wasiokupenda? Hata Yesu au Masiah alikuwa ma wanafunzi 12 tu lakini Yuda alikuwa msaliti akamuuza kwa maadui kwa vipande 30 vya fedha.
 
Kwani mawazo ya baba wa taifa ni ya mungu??
Tuyafanyie kazi mawazo yako kuliko mawazo ya vikao halali vya serikali? Makao makuu ya Serikali kuwa Dodoma hayakuwa mawazo binafsi ya baba wa taifa.
 
Huwa natafakari sana hili jambo!!Honestly simkubali Magufuli hata kidogo kwa mambo mengi aliyoyafanya ila nilikubaliana naye vitu viwili tu!!

Kwenye Covid na mradi wa Bwawa la Nyerere!!

Najiuliza alitoa wapi uthubutu wa kuamua kujenga bwawa la Nyerere?Hakuogopa mabeberu na makampuni ya solar ya dunia?

Hivi mnajua miradi kama hii inavyopigwa vita na wakubwa?Kuna nguvu kubwa sana ya kupinga hii miradi hususan kwa hao mabwana wakubwa wa dunia na vibaraka wao!!

Ethiopia wenyewe lile bwawa lao la Megawatts 7000 wamelijenga kwa kukomaa sana,maana lilipigwa vita sana na nchi za Misri na Sudan walitumiwa sana na kuna kipindi ilifika hadi Misri ikataka kwenda kulilipua lile Bwawa.Lakini wamepambana wamelijenga leo hii Ethiopia ndo nchi miongoni wenye umeme nafuu zaidi kule units bei yake ni chee mnoo yaani umeme wa jero ni units za kutosha

Halafu kuna wajinga wanathubutu kubeza mradi mtakatifu kama huu wa bwawa la Nyerere Magufuli sikumpenda ila kwa hili nilimuunga mkono kwa 100% na kwa hili tumpe maua yake tu.Kuna mambo yanahitaji utaifa na uzalendo huu mradi ukienda kama ilivyopangwa lazima utakua suluhisho la shida za umeme Tanzania

Huu mradi ulipigwa Vita tokea kipindi cha Nyerere hakuna aliyethubutu kujenga wala kufungua file lake na kuchungulia kwasababu huko ni kutafuta ugomvi na wakuu wa dunia na wauza solar na majenereta Lakini jpm did...Kuamua kufanya maamuzi kama haya sio kazi rahisi ni kama kujiingiza katikati ya chui wakali tu

Tz bado tuna changamoto ya wahuni ni wengi, bado amini nawaambieni mimi Kimsboy kuna jambo nataka niliseme hapa na mlimark kabisa[emoji1313][emoji1313]

Ninapata hisia kuwa huenda huu mradi ukija kukamilika utahujumiwa tu!!Aidha ukikamilika uhujumiwe hadi uzalishe megawatts chache tu ili ipatikane sababu kuwa huu mradi ulitakiwa utoe megawatts 2200 lakini unazalisha megawatts kidogo sana tofauti na matarajio hivyo inabidi tutafute miradi mbadala (solar,mafuta na upepo)

Huenda huu mradi utakamilika lakini wahuni wakaanza kutengeneza matatizo ya mgao kwa kuzuia maji yasiende bwawani au kuyafungulia mimi simuamini Makamba kabisa kwa hili nalitamka wazi

Huu mradi hata hivyo haupo salama chini ya Makamba!!
Makamba na Maharage sidhani kama ni watu sahihi wa kusimamia huu mradi yaani hata koti la uzalendo au la huu mradi ukiwavalisha haliwaivi kabisa yaani hawafananii kabisa kusimamia huu mradi na sijui kwanini siwezi kuwaamini hawa watu mimi Makamba na huu mradi naona ni kama maji na mafuta tu yaani haviendani kabisa sijui ilikuaje Mama akampa makamba hii wizara sijui na sidhani kama ni yeye alifanya haya maamuzi au ndo mambo ya "rimoti"?

Huu mradi inabidi ukikamilika upate mtu mkali kidogo na asiecheka na wahuni watengeneza migao, hapo kuna watu washauandalia mahesabu kuwa watauhujumu vipi hii natoa kama indhari tu
 
Umeandika vema ila umemalizia vibaya

Mradi kama umeweza kutoboa mpaka sasa

hakuna wa kuuzuia tena,, otherwise huyo mtu atakutana na gadhabu za wananchi au mamlaka ya uteuzi italizimika kudeal nae ipasavyo
 
Back
Top Bottom