Bwawa la Nyerere ni uamuzi mgumu na wa kijasiri uliofanywa na Magufuli!

Bwawa la Nyerere ni uamuzi mgumu na wa kijasiri uliofanywa na Magufuli!

View attachment 2388796
View attachment 2388797

Tunaposema Hayati Magufuli alikuwa mtu na nusu hasa kwenye mambo yaliyohusu kuamliwa kijasiri bila kujali faida na hasara zake hakika John yake ilikuwa namba moja.

Mfano ni uamuzi wa kujenga hilo bwawa hapo juu ( Bwawa la Nyerere) ki-ukweli ili ujenzi wake uanze ilihitaji mtu jasiri na asiyeyumbishwa kama Magufuli. Kelele, vitisho, hujuma na hata usaliti vilimea kwa kasi lakini mwamba hakujali na alisimamia kile alichokiamini!

R.I.P JPM.
hata namna alivyotuvusha kwenye janga la CORONA inaonesha ni jinsi gani alikuwa ni Raisi mwenye maono na uthubutu...wimbi la watu waliokufa kufa kabla ya kifo chake ulikuwa kama mchezo wa kuigiza na ndio sababu baada ya March 17 vifo vyote vikakoma. Hayati JP Magufuli angetufikisha nchi ya ahadi.
 
Hakuna project iliyohitaji maamuzi magumu na uthubutu wa ajabu kama project ya serikali kuhamia Dodoma. Inashangaza nchi kubwa kama hii viongozi wa aina ya Magufuli wanatokea nadra sana.
Unafaidika nini kwa serikali kuhamia Dodoma? Mitanzania huwa ina ujinga sana!
 
Magufuli amejenga uchumi wa nchi hii. Mungu amlaze pema mbinguni.
Hilo la kujenga nchi hatuna ubishi ingawa alipaparuka.
Ku enject trilions ktk miradi mikubwa at the same time ni kudumaza mzunguko wa hela.
Pesa nyingi wanachukua mabeberu kwa njia ya ununuzi wa malighafi, mitambo na kulipa expatriate,
Ila pia alifanya uamuzi mgumu ktk kuhitimisha maisha ya watu na kuiba hela za watu mabenki nk.
Bila kusahau plea burgain ya 50b ambazo hazikuingia serikalini
 
View attachment 2388796
View attachment 2388797

Tunaposema Hayati Magufuli alikuwa mtu na nusu hasa kwenye mambo yaliyohusu kuamliwa kijasiri bila kujali faida na hasara zake hakika John yake ilikuwa namba moja.

Mfano ni uamuzi wa kujenga hilo bwawa hapo juu ( Bwawa la Nyerere) ki-ukweli ili ujenzi wake uanze ilihitaji mtu jasiri na asiyeyumbishwa kama Magufuli. Kelele, vitisho, hujuma na hata usaliti vilimea kwa kasi lakini mwamba hakujali na alisimamia kile alichokiamini!

R.I.P JPM.
Hivi hili bwawa likikamilika, litajazwa maji kwa muda gani ili lianze kazi?Kwa mvua hizi na zama hizi za MABADILIKO YA TABIA NCHI.🤔
 
View attachment 2388796
View attachment 2388797

Tunaposema Hayati Magufuli alikuwa mtu na nusu hasa kwenye mambo yaliyohusu kuamliwa kijasiri bila kujali faida na hasara zake hakika John yake ilikuwa namba moja.

Mfano ni uamuzi wa kujenga hilo bwawa hapo juu ( Bwawa la Nyerere) ki-ukweli ili ujenzi wake uanze ilihitaji mtu jasiri na asiyeyumbishwa kama Magufuli. Kelele, vitisho, hujuma na hata usaliti vilimea kwa kasi lakini mwamba hakujali na alisimamia kile alichokiamini!

R.I.P JPM.
Waliyofanya hao wengine kila rais anaweza kufanya, hata Samia anafanya.

Kujenga bwawa la umeme , kufufua ATCL na kujenga SGR ya umeme bora kabisa Afrika siyo kila mtu anaweza kuthubutu.

Nape alipinga ujenzi wa bwawa
 
View attachment 2388796
View attachment 2388797

Tunaposema Hayati Magufuli alikuwa mtu na nusu hasa kwenye mambo yaliyohusu kuamliwa kijasiri bila kujali faida na hasara zake hakika John yake ilikuwa namba moja.

Mfano ni uamuzi wa kujenga hilo bwawa hapo juu ( Bwawa la Nyerere) ki-ukweli ili ujenzi wake uanze ilihitaji mtu jasiri na asiyeyumbishwa kama Magufuli. Kelele, vitisho, hujuma na hata usaliti vilimea kwa kasi lakini mwamba hakujali na alisimamia kile alichokiamini!

R.I.P JPM.
Unaweza ukafanya uamzi mgumu na ukawa wa kipuuzi vilevile..

Kwanza angekuwepo Mwendazake hilo Bwawa lingemalisika 2040 maana hakuwa na pesa..

Baada ya mwaka na nusu ujenzi uko zaidi ya 70% kutoka 30% ya miaka 2 ya kujengwa na Mwendazake,zaidi ya mara 2.
 
kwa hiyo ben saanane alikuwa anaijuwa elimu ya jpm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata kama alihoji hakuwa na ushahidi wa kutosha kujuwa kama ni msomi au siyo msomi kwani ben alikuwa ninani hadi awe na taarifa za kutosha kuhusu elimu ya jpm
Chengeyabandu
 
View attachment 2388796
View attachment 2388797

Tunaposema Hayati Magufuli alikuwa mtu na nusu hasa kwenye mambo yaliyohusu kuamliwa kijasiri bila kujali faida na hasara zake hakika John yake ilikuwa namba moja.

Mfano ni uamuzi wa kujenga hilo bwawa hapo juu ( Bwawa la Nyerere) ki-ukweli ili ujenzi wake uanze ilihitaji mtu jasiri na asiyeyumbishwa kama Magufuli. Kelele, vitisho, hujuma na hata usaliti vilimea kwa kasi lakini mwamba hakujali na alisimamia kile alichokiamini!

R.I.P JPM.
Sina uwezo wa kujua uhakika wa hiyo "R.I.P". Mwenye mamlaka makubwa juu ya hilo anajuwa mwenyewe.

Ila nikubaliane na wewe, kuna maamuzi ambayo aliyafanya Magufuli, katika hali ya kawaida angestahili heshima zote zinazowezekana ndani ya nchi hii.
Binafsi nitaongezea na uamzi wa kwenda Dodoma, na mengine kadhaa wa kadhaa.

Lakini nisichojuwa kingine ni jinsi akili yake ilivyokuwa ikifanya kazi; kiasi kwamba hayo mazuri yakichanganywa na yale ya hovyo kabisa, mazuri yote yanaonekana yana uchafu mkubwa sana.
 
kwa hiyo ben saanane alikuwa anaijuwa elimu ya jpm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata kama alihoji hakuwa na ushahidi wa kutosha kujuwa kama ni msomi au siyo msomi kwani ben alikuwa ninani hadi awe na taarifa za kutosha kuhusu elimu ya jpm
Kwani yeye jpm ni nani hadi ampoteze Bennsaa8?
Warejeshe mwili wake uzikwe,ahifadhiwe na familia yake
 
Unaweza ukafanya uamzi mgumu na ukawa wa kipuuzi vilevile..

Kwanza angekuwepo Mwendazake hilo Bwawa lingemalisika 2040 maana hakuwa na pesa..

Baada ya mwaka na nusu ujenzi uko zaidi ya 70% kutoka 30% ya miaka 2 ya kujengwa na Mwendazake,zaidi ya mara 2.
Wewe utakuwa ni Makamba mwenyewe.
 
Kuna mtu atakuja hapa ili abishe tu
Utawala wa JPM umenipa funzo

ili Mfanikiwe mnahitaji Viongozi Jasiri kama Magufuli lakini pia Wananchi Jasiri wa kumuunga Mkono Rais Jasiri

China walipata Mao wakapata Raia Jasiri sie Wananchi tulikuwa vigeu geu sana na hatukumuunga mkono vya kutosha na ndio sababu Jamaa wakafanikisha waliyofanikisha
 
Ku enject
Ndio nini hiki umeandika wewe ngumbaru!

Ila pia alifanya uamuzi mgumu ktk kuhitimisha maisha ya watu na kuiba hela za watu mabenki nk.
Alikuibia shingapi? Tuwekee uthibitisho.

Pesa nyingi wanachukua mabeberu kwa njia ya ununuzi wa malighafi, mitambo na kulipa expatriate,
Ni awamu ipi ama nchi gani ambayo hainunui malighafi kwa mabeberu?

Bila kusahau plea burgain ya 50b ambazo hazikuingia serikalini
Tuthibitishie.

Hii nchi tatizo la elimu ni kubwa sana aisee.
 
Back
Top Bottom