Bwawa la Nyerere ni uamuzi mgumu na wa kijasiri uliofanywa na Magufuli!

Bwawa la Nyerere ni uamuzi mgumu na wa kijasiri uliofanywa na Magufuli!

Ndio nini hiki umeandika wewe ngumbaru!


Alikuibia shingapi? Tuwekee uthibitisho.


Ni awamu ipi ama nchi gani ambayo hainunui malighafi kwa mabeberu?


Tuthibitishie.

Hii nchi tatizo la elimu ni kubwa sana aisee.
Hapo hujui nini sasa, hujui ben saanane aliuaw, huji lisu kilichompata, hujui azroy alipo, hujui mawazo alipo, hujui Mo alitekwa, hujui benk pesa zilichotwa, hujui plea bargain ya zaidi ya 50b zilienda wapi.
Hujui ukilipa sana manunuzi toka nje kwa fedha nyingi kwa wakati mmoja uchumi wa ndani unazorota na mzunguko wa fedha.
Kama kweli hujui.
Nakusamehe
 
Hapo hujui nini sasa, hujui ben saanane aliuaw, huji lisu kilichompata, hujui azroy alipo, hujui mawazo alipo, hujui Mo alitekwa, hujui benk pesa zilichotwa, hujui plea bargain ya zaidi ya 50b zilienda wapi.
Hujui ukilipa sana manunuzi toka nje kwa fedha nyingi kwa wakati mmoja uchumi wa ndani unazorota na mzunguko wa fedha.
Kama kweli hujui.
Nakusamehe
Ndio uthibitisho huu?
 
kwa hiyo ben saanane alikuwa anaijuwa elimu ya jpm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata kama alihoji hakuwa na ushahidi wa kutosha kujuwa kama ni msomi au siyo msomi kwani ben alikuwa ninani hadi awe na taarifa za kutosha kuhusu elimu ya jpm
Kama hakuwa na ushahidi kwanini alim-eliminate? Si angeamuru tu apelekwe mahakani atoe ushahidi akishindwa afunguliwe mashtaka.
 
Alipeleka wapi miti iliyokatwa kwenye eneo hilo? Au ndio katika hayo hayo ya kutokujali watakaohoji?
Ilifanyika Kama mbao za madawati ya watoto masikini....au ulidhani ameila miti na familia yake.....????

It's stpd question
 
kwa hiyo ben saanane alikuwa anaijuwa elimu ya jpm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata kama alihoji hakuwa na ushahidi wa kutosha kujuwa kama ni msomi au siyo msomi kwani ben alikuwa ninani hadi awe na taarifa za kutosha kuhusu elimu ya jpm
Pia nmeshangaa Sana jamaa analeta hoja nyepesi kwa vitu za msingi
 
Chuki zenu dhidi ya JPM ni humu jf tu...
Huko mtaani wanampenda kinomanoma.
Mtaani kwetu hapendwi kabisa labda mtaani kwenu, hawa hawa wa JF wanaomchukia ni watu mitaani kwao na walimchukia kwa matendo yake yaliyakuwa yamejaa uovu mwingi.
 
Alipeleka ufipa na mingine ubeligiji.
.
JamiiForums-664480837.jpg
 
Mtaani kwetu hapendwi kabisa labda mtaani kwenu, hawa hawa wa JF wanaomchukia ni watu mitaani kwao na walimchukia kwa matendo yake yaliyakuwa yamejaa uovu mwingi.
sawa kwene mtaa wa wajinga jambo la akili linachukiwa
 
Back
Top Bottom