Bwawa la umeme la JNHP lingekamilika mapema hizi athari za vita vya Ukraine visingetuathiri kwa kiasi kikubwa. Uzembe wa January Makamba unatugharimu

Wenzetu wanaojielewa๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘
Mapaka yaliyopora chaguzi๐Ÿ‘‡๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’
Your browser is not able to display this video.
 
Hoja iliyopo mezani ni athari za vita ya Ukraine kwenye uchumi wetu. Athari zingepungua sana kama umeme ungepungua bei baada ya kukamilika JNHP.
Sasa lingekamilika vipi kama kampuni iliyopewa kwa bei ya mchongo haina uwezo wa kukamilisha kazi kwa wakati?? Hili tatizo lilijulikana hata kabla Mwendazake hajaondoka ila hakuwa na option nyingine ya kumbadili maana alijua alichofanya. Ndio maana huo mradi umekuwa nyuma ya wakati siku nyingi tu. Achaneni na porojo za vijiweni January na Samia hawakufanya lolote la kuchelewesha huo mradi. Infact Mama amekuwa akijitahidi sana kutoa fedha kwa wakati. Mlitaka afanye nini sasa Ili ukamilike kwa wakati?
 
Hii ndiyo faida ya kuanzisha miradi mikubwa kwa kukurupuka...January ndiye anayetoa pesa mfukoni kwake.

Yawezekana priority ya sasa si hilo bwawa lenu la kufugia samaki who knows.
 
..mradi wa LNG usingesimamishwa na Magufuli sasa hivi Tanzania ingekuwa inafaidika kwa kuuza gesi kwa nchi zilizoiwekea vikwazo Urusi.
Hv Tanzania mna gesi ya kuuza nje ya nchi? Sisi wenyewe tunaagiza baadhi Sasa hiyo ya kuuza ikowapi
 
Mwambieni wajenzi wa bwawa la Nyerere wanatudai kwa sababu ya ukaidi wake, mara mnanionea wivu nk.

Kukatika katika kwa umeme bila jambo la msingi, alipe deni hilo siyo aje amsingizie marehemu ๐Ÿ˜.
 
..mradi wa LNG usingesimamishwa na Magufuli sasa hivi Tanzania ingekuwa inafaidika kwa kuuza gesi kwa nchi zilizoiwekea vikwazo Urusi.
Gas Yenu sasa ? Waache kufaidika wenye 10% yao ....!
 
Acha ujinga ww kampuni ya Arab contract ni kampuni sio kubwa misri tu Bali Africa na Dunia
 
tatizo hapa nivikwazo tulivowekewa mwanzo kuhusu ujengaji bwawa la umeme kwenye reserve nadhani UNESCO wamekamatia pahala ujuavyo magufuli alikua wakukopa sio kusubiria pesa za virus virus
 
Sijakuelewa kabisa hapa!Ujumbe unaotaka kutuma hapa ni kwamba subsidization ni kitu ambacho hakina msaada katika kupambana na matatizo ya kiuchumi katika Taifa?!
Labda hujui huo ni ulaji tu anatafutwa..

Ndio maana nimekuuliza baada ya hiyo subsidy bei zikoje??
 
Baadhi ya kazi kama zipi Mkuu hebu tuambie!
 
Acha ujinga ww kampuni ya Arab contract ni kampuni sio kubwa misri tu Bali Africa na Dunia
Wapi nimesema kama ni kampuni ndogo? Wewe unajua kule JKNHP kuna kampuni ngapi na kila moja inafanya nini? Usikariri. Kule kuna zaidi ya Arab contractors. Check your fact well.
 
..mradi wa LNG usingesimamishwa na Magufuli sasa hivi Tanzania ingekuwa inafaidika kwa kuuza gesi kwa nchi zilizoiwekea vikwazo Urusi.
Kweli ?, Kwenye gesi yenyewe inasemekana hatuna chetu hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ