FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kwa sasa Tanganyika inatumia Takriban Megawatt 1,500 za umeme, ukijumlisha na zile Megawatt 100 wanazopewa bure wala urojo inakuwa MW 1,600.
Bwawa la Nyerere likikamilika litazalisha Megawatt 2,100, na kufanya jumla ya Megawatt kwenye Gridi ya Tanganyika kuwa 3,700.
Kwakuwa umeme unaozalishwa kwenye bwawa hauwezi kutunzwa kwenye battery kama za gari, inabidi utumike wote na kuisha, kufanikisha hili itabidi mambo kadhaa yatokee.
1.) Kushusha bei ya umeme ili viwamda na wananchi watumie umeme mwingi zaidi sababu ni wa bei nafuu AU
2.) Umeme ugawiwe bure kwa sekta maalum kama wanavyopewa bure wala urojo.
Sekta hizo ni
1.) Afya - Mahospitali, Zahanati na vituo vyote vya afya wapewe umeme bure kama Zanzibar.
2.) Elimu - Mashule yote ya kutwa na bweni wapewe umeme bure kama Zanzibar
3.)Barabara - Taa zote za barabarani zipewe umeme bure kama Zanzibar
Kinyume cha haya, itabidi tufungulie maji kwenye bwawa yamwagike bure (uchawi mtupu!) bila kuzalisha umeme, kama ilivyokuwa ikifanyika kipindi cha Jakaya Msoga ili kutengeneza uhaba feki na kupiga pesa za Richmond.
Sioni namna nyingine, labda waharibu mitambo kwa makusudi.
Hivyo sitegemei jiji letu la Dar liwe giza usiku, tunataka ling’ae kama Almasi ya Eden!
========================
Bwawa la Nyerere likikamilika litazalisha Megawatt 2,100, na kufanya jumla ya Megawatt kwenye Gridi ya Tanganyika kuwa 3,700.
Kwakuwa umeme unaozalishwa kwenye bwawa hauwezi kutunzwa kwenye battery kama za gari, inabidi utumike wote na kuisha, kufanikisha hili itabidi mambo kadhaa yatokee.
1.) Kushusha bei ya umeme ili viwamda na wananchi watumie umeme mwingi zaidi sababu ni wa bei nafuu AU
2.) Umeme ugawiwe bure kwa sekta maalum kama wanavyopewa bure wala urojo.
Sekta hizo ni
1.) Afya - Mahospitali, Zahanati na vituo vyote vya afya wapewe umeme bure kama Zanzibar.
2.) Elimu - Mashule yote ya kutwa na bweni wapewe umeme bure kama Zanzibar
3.)Barabara - Taa zote za barabarani zipewe umeme bure kama Zanzibar
Kinyume cha haya, itabidi tufungulie maji kwenye bwawa yamwagike bure (uchawi mtupu!) bila kuzalisha umeme, kama ilivyokuwa ikifanyika kipindi cha Jakaya Msoga ili kutengeneza uhaba feki na kupiga pesa za Richmond.
Sioni namna nyingine, labda waharibu mitambo kwa makusudi.
Hivyo sitegemei jiji letu la Dar liwe giza usiku, tunataka ling’ae kama Almasi ya Eden!
========================