Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo bwawa la maji litasaidia sana kilimoPia waweke free tap water for public use
Umeme unazalishwa kwa gharama kubwa sana alafu hauna aibu kutaja neno Bure katikati ya maandishi yako?bloody foolKwa sasa Tanganyika inatumia Takriban Megawatt 1,500 za umeme, ukijumlisha na zile Megawatt 100 wanazopewa bure wala urojo inakuwa MW 1,600.
Bwawa la Nyerere likikamilika litazalisha Megawatt 2,100, na kufanya jumla ya Megawatt kwenye Gridi ya Tanganyika kuwa 3,700.
Kwakuwa umeme unaozalishwa kwenye bwawa hauwezi kutunzwa kwenye battery kama za gari, inabidi utumike wote na kuisha, kufanikisha hili itabidi mambo kadhaa yatokee.
1.) Kushusha bei ya umeme ili viwamda na wananchi watumie umeme mwingi zaidi sababu ni wa bei nafuu AU
2.) Umeme ugawiwe bure kwa sekta maalum kama wanavyopewa bure wala urojo.
Sekta hizo ni
1.) Afya - Mahospitali, Zahanati na vituo vyote vya afya wapewe umeme bure kama Zanzibar.
2.) Elimu - Mashule yote ya kutwa na bweni wapewe umeme bure kama Zanzibar
3.)Barabara - Taa zote za barabarani zipewe umeme bure kama Zanzibar
Kinyume cha haya, itabidi tufungulie maji kwenye bwawa yamwagike bure (uchawi mtupu!) bila kuzalisha umeme, kama ilivyokuwa ikifanyika kipindi cha Jakaya Msoga ili kutengeneza uhaba feki na kupiga pesa za Richmond.
Sioni namna nyingine, labda waharibu mitambo kwa makusudi.
Hivyo sitegemei jiji letu la Dar liwe giza usiku, tunataka ling’ae kama Almasi ya Eden!
Umeme wa maji ni wa gharama ya chini sana by comparison, na kwakuwa maji yana flow yenyewe, ile nguvu yake ndio inazalisha umeme. Sasa sijasema bure as a first option, bali a option ni kushusha bei accordingly ili matumizi yaongezeke kuweza kumaliza 3700MW. Kama hawataki kushusha bei, badi itabidi wagawe bure, maana hakuna netri ya kuhifadhi umeme utakaozalishwa bwawani...Umeme unazalishwa kwa gharama kubwa sana alafu hauna aibu kutaja neno Bure katikati ya maandishi yako?bloody fool
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kama hauna matatizo ya akili basi utakua na shida ingine.Umeme wa maji ni wa gharama ya chini sana by comparison, na kwakuwa maji yana flow yenyewe, ile nguvu yake ndio inazalisha umeme. Sasa sijasema bure as a first option, bali a option ni kushusha bei accordingly ili matumizi yaongezeke kuweza kumaliza 3700MW. Kama hawataki kushusha bei, badi itabidi wagawe bure, maana hakuna netri ya kuhifadhi umeme utakaozalishwa bwawani...
Zitarudi kwa kuyaacha maji yamwagikie chini bila kuzalisha umeme? Au utawapa Tanesco betri za kuhifadhi umeme? Mbona unaongea kama mwendawazimu bila kugusa hoja niilizobainisha mwehu wewe..Kama hauna matatizo ya akili basi utakua na shida ingine.
Izo trill 7 zilizowekwa apo rufiji zinatakiwa zirudi usilete hadithi zako za ujinga
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Mr bure wait and seeZitarudi kwa kuyaacha maji yamwagikie chini bila kuzalisha umeme? Au utawapa Tanesco betri za kuhifadhi umeme? Mbona unaongea kama mwendawazimu bila kugusa hoja niilizobainisha mwehu wewe..
Arusha. Tengeru to Sakina double Road.Wewe ni hamnazo,nani atakuwa analioia bill za umeme? Mji upi hapa Tzn umeona wanatumia umeme wa Tanesco Kwa street lightening?
Barabara zinahitaji taaWewe ni hamnazo,nani atakuwa analioia bill za umeme? Mji upi hapa Tzn umeona wanatumia umeme wa Tanesco Kwa street lightening?
Wewe ni hamnazo,nani atakuwa analioia bill za umeme? Mji upi hapa Tzn umeona wanatumia umeme wa Tanesco Kwa street lightening?
Basi wataendelea kuminya hivyo ili watukamue wakalipie madeni ya mikataba mibovu waliotuingiza mkenge.Umeme wa maji unaweza kutunzwa. Badala ya kufungulia maji ya kuendesha turbines zote. Unaendesha zinazohitajika na hivyo kubakiza maji mengi bwawani. Wakati wa ukame unaongeza kufungulia.
Jibu hoja, utarudisha gharama za kujenga bwawa kwa kuyaacha maji yamwagike chini bila kuzalisha umeme? Au utayatumia maji yote kuzalisha umeme halafu huo umeme utauhifadhi kwenye battries?! Au utashusha Bei ili umeme wote utumike ili viwanda vitor ajira na wananchi wafaidike kwa pesa walizotumia kujenga bwawa lao? Au hilo bwawa kajenga mjomba wako kwa pesa zake?
Watueleza Megawatt 3700 zitatumika wapi bila kushusha bei? Au wataacha maji yamwagike bure bila kuzalisha umeme? Au wataharibu nitambo isifanye kazi kwenye bwawa?Wenye nchi washasema bei haitashuka!View attachment 2703172
Hizo pesa, ni mimi na wewe yaani serikali tumezilipa kufanya huo uwekezaji. Ili gharama ya nishati ishuke tuzalishe viwanda zaidi. Tz ya viwanda kumbuka?zo trill 7 zilizowekwa apo rufiji zinatakiwa zirudi usilete hadithi zako za ujinga