15 February 2025
Ikwiriri, Rufiji
Tanzania
BWEGE : SAMIA SIO MUNGU / BABA MKWE WA MCHENGERWA ATALIPWA PENSHENI/ HAJAJENGA BARABARA
NI KODI ZETU
View: https://m.youtube.com/watch?v=XUXq98MwL5E
Kiongozi wa ACT Wazalendo mzee Selemani Saidi Ally Bungara almaarufu kwa jina, Bwege ametoa hotuba ya karne kwa wananchi wa Ikwiriri mkoa wa Pwani Tanzania
Maadui wetu ni maradhi, umasikini na ujinga.
Ujinga ni pamoja na kuichagua CCM, kwa kuwa imeshindwa kuleta maendeleo kwa kupiga vita umasikini na ujinga.
Bwege asema hatuhitaji kuisifia serikali kuwa imejenga shule, barabara n.k kwakuwa wenyewe viongozi wa serikali ya CCM walituomba tuwaajiri, sasa tangu lini mtu tuliyemuajiri tukamsifia wakati tunamlipa mshahara afanye kazi aliyoomba kwetu sisi matajiri wao ?
Mfano Mbunge wenu Mohamed Mchengerwa wa Rufiji mshahara na marupurupu:
12,500,000 kwa mwezi
360,000 posho ya siku Bungeni
Matibabu bure
.....
Ikwiriri, Rufiji
Tanzania
BWEGE : SAMIA SIO MUNGU / BABA MKWE WA MCHENGERWA ATALIPWA PENSHENI/ HAJAJENGA BARABARA
NI KODI ZETU
View: https://m.youtube.com/watch?v=XUXq98MwL5E
Kiongozi wa ACT Wazalendo mzee Selemani Saidi Ally Bungara almaarufu kwa jina, Bwege ametoa hotuba ya karne kwa wananchi wa Ikwiriri mkoa wa Pwani Tanzania
Maadui wetu ni maradhi, umasikini na ujinga.
Ujinga ni pamoja na kuichagua CCM, kwa kuwa imeshindwa kuleta maendeleo kwa kupiga vita umasikini na ujinga.
Bwege asema hatuhitaji kuisifia serikali kuwa imejenga shule, barabara n.k kwakuwa wenyewe viongozi wa serikali ya CCM walituomba tuwaajiri, sasa tangu lini mtu tuliyemuajiri tukamsifia wakati tunamlipa mshahara afanye kazi aliyoomba kwetu sisi matajiri wao ?
Mfano Mbunge wenu Mohamed Mchengerwa wa Rufiji mshahara na marupurupu:
12,500,000 kwa mwezi
360,000 posho ya siku Bungeni
Matibabu bure
.....