Haiwezekani taifa likaendelea bila kufanya biashara ya kimataifa, kuuza bidhaa na huduma nje pamoja na kuruhusu uwekezaji. Chanzo kikubwa cha utajiri wa Uchina na Marekani ni biashara za kimataifa na siyo maneno matupu. Marekani ameanza kuwa taifa tajiri kipindi cha The Gilded Age 1870 ambapo alifanya sana biashara za kimataifa na mataifa ya Ulaya. Mwaka 1945 yeye akawa ndiyo The Leading Exporter of Merchandise akawa anamiliki nusu nzima ya GDP ya dunia kwasababu ya kuuza silaha za vita na kutoa mikopo huko Ulaya.
Uchina amefika hapo alipo kwasababu Deng-Xiaoping aliachana na The Concept of Centralized Economy and Arrested Development. Halafu Uchina ilikuwa na miondombinu mizuri sana iliyoachwa na serikali ya Chian-Kai Shek lakini Mao-Zedong aliamua kuivuruga kupitia sera yake ya The Great Leap Forward na Cultural Revolution, au unataka kujitoa ufahamu kwamba alichofanya Mao Uchina ni sawa na alichofanya Mugabe kule Zimbabwe. Ukumbuke miondombinu waliyorithi wakina Mao ndiyo hiyo iliyotumika kuwasaidia wakina Chian-Kai Shek kushinda vita ya pili ya dunia ambayo naye alilirithi kutoka Qing-Dynasty (Ufalme uliotawala Uchina tokea 1644-1912)
Singapore ya Lee-Kuan Yew inategemea mfereji wa Malacca na Bandari ambapo asilimia 50% ya bidhaa za dunia hii zinapita pale na kuelekea Ulaya na Mashariki ya Mbali. Hivyo wawanakusanya kodi sana kuruhusu uwekezaji kupitia Economic Exclusive Zones (EEZ). Sisi watanzania tunauza nini nje ya nchi ambacho kitatufanya tuendelee kwa kasi kama Singapore wakati Raisi hataki wawekezaji na anachukia kuona watanzania wakitajirika ???
Nikisema umepengukiwa Hekima tafadhali usichukie. Uchina ya Mao-Zedong na Deng-Xiaoping ndiyo ileile ambayo ilikuwa tajiri na ikasainishwa mikataba ya hovyo kama The Treaty of Nanjin 1842. Mikataba iliyosainiwa miaka 200 iliyopita imeibana Uchina mpaka leo hii. Hong-Kong ilichukuliwa miaka zaidi ya 200 na ikarudishwa mwaka 1996. Hivyo miondombinu ya barabara, bandari, reli, vyuo na mengineyo iliyoachwa na wafalme wa Uchina kipindi cha The Opium Wars, The Concessions na The Koumintang ndiyo iliwasiaidia wakina Deng-Xioaping kufanya harakati zao za kiuchumi na kisiasa hadi kufika hapa walipo.
Hizi Misri na Mali za leo hii hazina muendelezo wowote ule kiutawala kwasababu mataifa haya yalishaanguka na kupotea. Lakini Uchina ya leo ndiyo ileile ya The Ming Dynasty and Qing-Dynasty (1644-1912) ambazo ndizo zilisaini mikataba na mataifa ya Ulaya miaka 1800's ambayo inawabana wachina mpaka leo. Au huyaoni ya Hong-Kong mzee ???
MKIAMBIWA MMEPUNGUKIWA HEKIMA MSICHUKIE, MAANA NDIYO UKWELI WENYEWE HUO. (WAPUMBAVU)
YOU PEOPLE ARE SIMPLY MORALLY DEPRAVED AND SPIRITUALLY BANKRUPT
NB: Mtu yoyote mwenye kuipenda Tanzania toka moyoni kamwe hawezi shabikia anachofanya Raisi Magufuli....