By 2015 Kigoma kuwa kama Dubai, Mwanza kuwa kama California

By 2015 Kigoma kuwa kama Dubai, Mwanza kuwa kama California

AHA NIPOKEE HOJA YA MIUNDOMBINU DEMOCRACY, JUDICIALLY, ELIMU etc
Hukohuko china Unakumbuka Tianjin Massacre wanafunzi walikuwa wanadai miundombinu democracy maana ilikuwa haipo.
Watu wanapotezwa Muundombinu amani haupo akiwemo PM aliyefia Kifungo cha ndani kisa tu anamawazo tofauti.
Hukohuko zingapole ilikuwa ni zaidi ya udikteta dunia nzima muundombinu Judicially ulikuwa mfukoni mwa Dicteta Lee Kuan yew lakini aliboresha miundombinu Elimu.
Tianjin Massacre hayakuwa mauaji ya wanachuo bali mauaji ya wamishionari wa Kikristu mwaka 1870.
Tienanmen Square Massacre ndiyo yalikuwa mauaji ya wanachuo kudai mabadiliko mwaka 1989.
Umeona jinsi mnavyokaririshwa mambo ya ajabu ajabu ndugu yangu ???

NB: Haya unajua nini kilitokea Uchina baada ya yale mauaji ya Tienanmen ???
 
Pesa zote za maendeleo zinatumika kudidimiza demokrasia
 
Jana nilimsikia Rais Magufuli akisema ndani ya miaka yake mitano ijayo endapo atashinda basi Tanzania kuwa kama Ulaya by 2025.

Hivi Watanzania turudi nyuma kidogo. JK alituambia Kigoma itakuwa kama Dubai by 2015, leo tupo 2020, je Kigoma imeshakuwa kama Dubai?

Watanzania wenzangu tusidanganyike na maneno ya Rais Magufuli. Kusema ukweli Tanzania kuwa kama Germany by 2025 hilo haliwezekani kabisa. Miaka mitano SGR Dar es Salaam mpaka Dodoma bado inawasumbua wataweza kujenga SGR Dodoma Mwanza/Kigoma ndani ya miaka mitano mingine?

Tusidanganyike. Halafu wanatuona hatuna akili kwa kutuahidi mambo matamu ambayo wanajua kabisa hawawezi timiza.

View attachment 1529719

Kigoma ndio Mkoa masikini kuliko yote TZ.

JPM ni Msanii tu ,miradi anayoifanya ni kwa mslahi yake ya kupiga 10% na kuweka kampuni zake kufanya hizo kazi....Makandarasi wanaopiga projects nyingi nchini nyuma ya pazia kuna umiliki wake au anakula cha juu.
 
Tianjin Massacre hayakuwa mauaji ya wanachuo bali mauaji ya wamishionari wa Kikristu mwaka 1870.
Tienanmen Square Massacre ndiyo yalikuwa mauaji ya wanachuo kudai mabadiliko mwaka 1989.
Umeona jinsi mnavyokaririshwa mambo ya ajabu ajabu ndugu yangu ???

NB: Haya unajua nini kilitokea Uchina baada ya yale mauaji ya Tienanmen ???
nimechanganya sio kukaririshwa.
Nimefuatilia andiko la PM Zhao (Prisoner of state) miaka kama mitano iliyopita mwenyewe sio kufundishwa popote hadi tuseme nimekaririshwa.
Utagundua Alichofanyiwa huyo jamaa kwenye hiyo ishu miundombinu siasa au haki haikuwa sababu ya china kuendelea wala Tanzania na JPM hawajakaribiwa wala kunusa ubovu wa muundombinu huo.

Ndio maana nilisisitiza miundombinu kwa maana rahisi gtu
 
Jana nilimsikia Rais Magufuli akisema ndani ya miaka yake mitano ijayo endapo atashinda basi Tanzania kuwa kama Ulaya by 2025.

Hivi Watanzania turudi nyuma kidogo. JK alituambia Kigoma itakuwa kama Dubai by 2015, leo tupo 2020, je Kigoma imeshakuwa kama Dubai?

Watanzania wenzangu tusidanganyike na maneno ya Rais Magufuli. Kusema ukweli Tanzania kuwa kama Germany by 2025 hilo haliwezekani kabisa. Miaka mitano SGR Dar es Salaam mpaka Dodoma bado inawasumbua wataweza kujenga SGR Dodoma Mwanza/Kigoma ndani ya miaka mitano mingine?

Tusidanganyike. Halafu wanatuona hatuna akili kwa kutuahidi mambo matamu ambayo wanajua kabisa hawawezi timiza.

View attachment 1529719
JK alikuwa msanii asiyejitambua,,,,usimlinganishe na huyu wa sasa. Si unaona wakati wa JK watu walikuwa hawafanyi kazi ila kila mwaka wanaongezewa mshahara. Vilaza walikuwa wengi serikalini, wauza unga ndiyo usiseme mpaka na Ridhiwani akawa naye kajiingiza akishirikiana na kina Kinjeketile na jamaa wa Clouds FM na hakuna hatua yeyote waliochukuliwa. Huyu rais tulienaye ni mchapakazi na ni mkweli ndiyo maana wasanii kama Lissu wamekimbia nchi bado Zitto tu, tunamsubiri na yeye ahame hivi karibuni.
 
JK alikuwa msanii asiyejitambua,,,,usimlinganishe na huyu wa sasa. Si unaona wakati wa JK watu walikuwa hawafanyi kazi ila kila mwaka wanaongezewa mshahara. Vilaza walikuwa wengi serikalini, wauza unga ndiyo usiseme mpaka na Ridhiwani akawa naye kajiingiza akishirikiana na kina Kinjeketile na jamaa wa Clouds FM na hakuna hatua yeyote waliochukuliwa. Huyu rais tulienaye ni mchapakazi na ni mkweli ndiyo maana wasanii kama Lissu wamekimbia nchi bado Zitto tu, tunamsubiri na yeye ahame hivi karibuni.
Kwa hiyo soon Tanzania kuwa kama Germany,sio?
 
Tuelewe maana ya Vision au dira ni matamanio. Anaposema iwe km Dubai kumbuka hiyo ni vision yake. Na ni utaratibu unaokubalika kwenye mipango.
 
Wapinzani wanakwamisha maendeleo soon watz wataanza kula milo sita kwa siku
 
Back
Top Bottom