BYD wazindua magari yao maarufu matatu ya umeme (Dolphin, Seal na Atto 3) nchini Kenya

Bei zipoje
 
Sisi ndio kwanza tunaporutubisha mahusiano na wazalishaji na wamiliki wa visima vya mafuta. Ndio kwanza tunajenga vituo vya mafuta mpaka mitaa ya makazi. Maendeleo ya EV ni ndoto. Kuna vijana wa DIT waliwahi kuunda gari ya umeme japo finishing yake haikuwa ya kuvutia, ilikuwa inaletwa kwenye maonyesho, kila mwaka na mawaziri wanakuja wanaikagua inarudi Dar kwa miaka 2 mfululizo. Serikali ingewapa mtaji vijana hao na kuwaongezea watalaam leo tungekuwa mbali. Kenya wametumia technology ya nje. Uganda wametumia zaidi vijana wa ndani. Tanzania hatuna hata wazo zaidi ya kupandishiana bei ya mafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…