Bye bye iPhone.... Hutamsahau Mchina

Bye bye iPhone.... Hutamsahau Mchina

Jf bana huwa kuna muda inanichekesha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sijui kwanini mara nyingi huwa naona thread za Watumiaji wa tecno wakiziponda I phone
 
Sio mimi muuzaji, nitakutafutia contact zake usijali

Mshana huwa nakuamini lakini kwa huu uzi umechemsha!!! Mimi natumia IPhone 6s Plus!! Huwezi linganisha IPhone na Simu za hovyo kama Huawei!!!! Ni vizuri utuombe msamaha watumiaji wote wa IPhone hapa JF!! Na usirudi tena na uzi Kama huu usiokuwa na kichwa wana miguu!! Hopeless Thread!!!
 
Mkuu wewe ni wakala wa Huawei hapa Tanganyika , maana hilo promosheni sio la kitoto.
 
Balaaa

Oppo Find X - Full phone specifications
images.jpeg
 
Kuna kitu inaitwa OPPO F9 mchina,icheki uone kama huyo iPhone atatia mguu hapo
Haha jikaze ununue Iphone...hatred hazikusaidii kitu zaid ya kukupa moyo.

Zitakuja simu za kichina za bei mbali mbali ila Hadhi ya Iphone au Samsung haitakuja kuondolewa na mchina
 
Dafrau maana yake nn?
Ukisikia vita ya ya kibiashara ndio hii... Mchina kamuua iPhone, kampuni la kimarekani lililokuwa linauza simu za bei mbaya duniani kote... Simu za iPhone
Mchina baada ya kuona brand zake kubwa zinasuasua hasa Huawei huku iPhone zikibamba soko la China na kwingineko duniani, mchina akaja na fitina mbaya kabisa, chafu na ya kukarahisha....
Kwanza akaipromote simu yake ya Huawei, ikawa ni kampeni nchi nzima viongozi na matajiri wa china watumie Huawei kwakuwa ndio simu zinazowafaa watu wenye hadhi na nafasi katika jamii kama wao.... Taratibu sumu hii wakalishwa na wachina wengine kuwa ulitaka kuonekana wa maana basi tumia Huawei
Baada ya hapo ikaanza kampeni ya delete iPhone china... Kampeni hii iliambatana na kashfa ya kuwa iPhone ni simu za malaya na machangudoa... Hivyo yeyote anayetumia hizo simu kama hana hizo tabia basi ana vinasaba.. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji24][emoji23][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilikuwa ni kama kimbunga kikali sasa hivi iPhone 6 unaipata mpaka laki 5 wakati Huawei p10 si chini ya laki 7.... Tulio kwenye magroup ya biashara tunaona... Huawei kamfanya kitu mbaya sana iPhone....
Hasira ya mmarekani mzee wa kulipa visasi bado anatafakari dafrau hili
 
MTOA MADA NI MWANAFUNZI MSAMEHENI HAJUI IPHONE HESHIMA YAKE KITU CHOCHOTE CHA MAREKANI PRODUCT ZAKE HAKUNA SEHEMU YOYOTE UTAKAYOIPATA UIMARA NA UZURI UTAWADANGANYA WASIOTEMBEA WASIOJUA SEMA KUNA IPHONE FEKI ZINATENGENEZWA CHINA KAMA HIYO KWENYE PICHA GOOGLE HALAFU ULIZIA IPHONE FAKE ZIKO VIPI UTAONYESHWA i phone 6 huwezi kuipata bila kuwa na mill 2 na kitu ukioona tz i phone inauzwa million1 feki au million 1 ,5 jiulize mara mbili watakwambia orginal wafanya biashara lakini feki

sema huu mwandiko wa i-Tel. Nashindwa ku justify authenticity of your comment
 
sasa mtoa mada yeye kosa lake nini?yeye sio mchina ni mtz,tena mpare,,kama iphone zote za bongo ni feki,basi balaa kubwa hili,inawezekana iphone dunia nzima ni feki,isipokuwa za marekani tu...tuhuma zako ni nzito na ngumu kuthibitisha,uagize iphone kupitia tigoshop au vodashop alafu zote ziwe feki,si hatari hiyo....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtz tena mpare....!!!!
 
Back
Top Bottom