Bye bye iPhone.... Hutamsahau Mchina

Bye bye iPhone.... Hutamsahau Mchina

Ukisikia vita ya ya kibiashara ndio hii... Mchina kamuua iPhone, kampuni la kimarekani lililokuwa linauza simu za bei mbaya duniani kote... Simu za iPhone
Mchina baada ya kuona brand zake kubwa zinasuasua hasa Huawei huku iPhone zikibamba soko la China na kwingineko duniani, mchina akaja na fitina mbaya kabisa, chafu na ya kukarahisha....
Kwanza akaipromote simu yake ya Huawei, ikawa ni kampeni nchi nzima viongozi na matajiri wa china watumie Huawei kwakuwa ndio simu zinazowafaa watu wenye hadhi na nafasi katika jamii kama wao.... Taratibu sumu hii wakalishwa na wachina wengine kuwa ulitaka kuonekana wa maana basi tumia Huawei
Baada ya hapo ikaanza kampeni ya delete iPhone china... Kampeni hii iliambatana na kashfa ya kuwa iPhone ni simu za malaya na machangudoa... Hivyo yeyote anayetumia hizo simu kama hana hizo tabia basi ana vinasaba.. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji24][emoji23][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilikuwa ni kama kimbunga kikali sasa hivi iPhone 6 unaipata mpaka laki 5 wakati Huawei p10 si chini ya laki 7.... Tulio kwenye magroup ya biashara tunaona... Huawei kamfanya kitu mbaya sana iPhone....
Hasira ya mmarekani mzee wa kulipa visasi bado anatafakari dafrau hili
Ukweli utabaki pale pale iPhone ni simu bora!sio bora simu
 
Hakuna simu ya kuzifananisha na iphone zote ni ushubwada tu ila kuusu fitna za wachina sikatai lakini kiubora wa simu IPHONE CHEZA NAYO MBALI AISEE
 
Hakuna simu ya kuzifananisha na iphone zote ni ushubwada tu ila kuusu fitna za wachina sikatai lakini kiubora wa simu IPHONE CHEZA NAYO MBALI AISEE
Kwahiyo unataka kusema kuwa samsung galaxy note 9 ukiiweka na iPhone Xs max..bado hakuna ulinganifu hapo??
 
Kwahiyo unataka kusema kuwa samsung galaxy note 9 ukiiweka na iPhone Xs max..bado hakuna ulinganifu hapo??
Note 9 ilinganishe na Xs mkuu Max moto mwengine usiangalie namba za ram angalia simu ubora wake mkuu hahaha iphone bado itasumbua sana yan
 
Ukisikia vita ya ya kibiashara ndio hii... Mchina kamuua iPhone, kampuni la kimarekani lililokuwa linauza simu za bei mbaya duniani kote... Simu za iPhone
Mchina baada ya kuona brand zake kubwa zinasuasua hasa Huawei huku iPhone zikibamba soko la China na kwingineko duniani, mchina akaja na fitina mbaya kabisa, chafu na ya kukarahisha....
Kwanza akaipromote simu yake ya Huawei, ikawa ni kampeni nchi nzima viongozi na matajiri wa china watumie Huawei kwakuwa ndio simu zinazowafaa watu wenye hadhi na nafasi katika jamii kama wao.... Taratibu sumu hii wakalishwa na wachina wengine kuwa ulitaka kuonekana wa maana basi tumia Huawei
Baada ya hapo ikaanza kampeni ya delete iPhone china... Kampeni hii iliambatana na kashfa ya kuwa iPhone ni simu za malaya na machangudoa... Hivyo yeyote anayetumia hizo simu kama hana hizo tabia basi ana vinasaba.. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji24][emoji23][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilikuwa ni kama kimbunga kikali sasa hivi iPhone 6 unaipata mpaka laki 5 wakati Huawei p10 si chini ya laki 7.... Tulio kwenye magroup ya biashara tunaona... Huawei kamfanya kitu mbaya sana iPhone....
Hasira ya mmarekani mzee wa kulipa visasi bado anatafakari dafrau hili
nachojua hata iphone inatengenezwa china,
"Apple designs the iPhone, but the components that, when put together, make something called an iPhone are manufactured all over the world. It is assembled mostly in China "
 
siku hizi hizo iphone 6 bei imeporomoka kweli....ndio watu wanakuja kuturingishia huku mtaani
Ni mambo ya class nyie mabwege....nyie mnaongelea iphone feki......iPhone ina watu wake haiwezi kushuka hata siku moja....ni sawa na kusema eti Mac ishindane na Dell...au Mercedez Benz ishindane na Subaru? ...Huwezi kusema eti DSTV inakufa sababu ya kuwepo Azam TV, Star Times.....ni classes tofauti kabisa...nenda Mbagala au Buguruni kama utakuta mtu ana DSTV nyumbani kwake...hamjiongezi tu?
 
Swali nje ya mada
Kwanini watumiaji wa Samsung huwa wanajiona wao ndio wanamiliki simu kali zaidi jambo ambalo si kweli.je zina mionzi inayowaathiri kisaikolojia au ni nini?
 
Ni mambo ya class nyie mabwege....nyie mnaongelea iphone feki......iPhone ina watu wake haiwezi kushuka hata siku moja....ni sawa na kusema eti Mac ishindane na Dell...au Mercedez Benz ishindane na Subaru? ...Huwezi kusema eti DSTV inakufa sababu ya kuwepo Azam TV, Star Times.....ni classes tofauti kabisa...nenda Mbagala au Buguruni kama utakuta mtu ana DSTV nyumbani kwake...hamjiongezi tu?
umesoma vizuri nilichokisema???
kimbilio lako matusi tu sababu huna hoja & hujielewi vilevile...

kwa kumheshimu bro Mshana Jr sitojibu lugha isiyo na staha kwenye uzi wake
 
Swali nje ya mada
Kwanini watumiaji wa Samsung huwa wanajiona wao ndio wanamiliki simu kali zaidi jambo ambalo si kweli.je zina mionzi inayowaathiri kisaikolojia au ni nini?
Brainwashed people
 
Back
Top Bottom