EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Yeah atakepita hapa kati ya raja na alhaly ataingia fainalikule Esperance Vs JS Kabyile bilabila.
kiukweli wababe wa Africa wengi awana makali yao kama ya zamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah atakepita hapa kati ya raja na alhaly ataingia fainalikule Esperance Vs JS Kabyile bilabila.
kiukweli wababe wa Africa wengi awana makali yao kama ya zamani.
Kweli kabisa, mpira wetu hauna speedIla kiukweli kwa uchezaji wetu ule wa jana wa slowslow namna ile simba tusingetoboa nusu aisee
Ndo janjajanja na ujinga wanaotumia sn waarabuIla kukweli hawa waarabu wanajua kufosi aisee, zingine timu zeru izi simba yangu sidhani kama refa angegasiwa kiasi cha kulazimika kwenda kwenye VAR
Na utashangaa wanampiga 1 huyu dakika za mwisho.Al ahly kama Real Madrid wakivuka makundi tu wanakuwa hatari
kabisaIla kiukweli kwa uchezaji wetu ule wa jana wa slowslow namna ile simba tusingetoboa nusu aisee
Ni kweli hata kule shirikisho ni zile timu mbovu mbovuNusu fainali hawaendi kizembe lazima ukaze timu mbovu zote zimetoka
Hakuna timu mbovu Robo fainal kama unazani utani paleka yako ya shirikishoNusu fainali hawaendi kizembe lazima ukaze timu mbovu zote zimetoka
Timu mbovu ndio maana zinatokaHakuna timu mbovu Robo fainal kama unazani utani paleka yako ya shirikisho
Zilizo zidi sana ubovu zilitupwa shirikishoTimu mbovu ndio maana zinatoka
Refa anawenge kelele zimediaHuyo jamaa wa Raja black kapewa kadi mbili za njano ila eti refa amesahau kumpa nyekundu au amesahau alishampa ya kwanza ya njano.
Ulitaka ziende zote nane robo mzee kama ukiangalia game ya Dar ya Simba na Jana kule Morocco utagundua wanaume hawa wote bora kama unaangalia Raja na Al ahly unagundua kitu hapaTimu mbovu ndio maana zinatoka