Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apigwe mara ngpRaja apigwe
AnapigwaRaja apigwe
Ile Kadi ya mwanzo ilifutwa coz ilitolewa baada ya tukio lililosababisha penaltyKuna mchezaji wa raja amepewa kadi za njano mara 2 alafu refa kasahau kumpa red najamaa aliyepigwa kadi kauchuna tu....huyu refa kituko mpaka watangazaji wameshangaa
Ilifutwa, ilichezwa baada ya faulu ya penatiHuyo jamaa wa Raja black kapewa kadi mbili za njano ila eti refa amesahau kumpa nyekundu au amesahau alishampa ya kwanza ya njano.
Nenda kajaribu uone kama hauishii robo finallyNi kweli hata kule shirikisho ni zile timu mbovu mbovu
Orlando pirates walikubandua wapi?Hakuna timu mbovu Robo fainal kama unazani utani paleka yako ya shirikisho
Naona wamerudiKwanini game ya Esparance na JS Kabylie inekuwa Aborted?
Mbona inaendeleaKwanini game ya Esparance na JS Kabylie inekuwa Aborted?
Kabylie walipata goli likakataliwa fujo zikaanzia hapo hadi kupelekea game kusimamishwaKwanini game ya Esparance na JS Kabylie inekuwa Aborted?
Sawa, lakini timu mbovu zote zimeshatoka elewa hivyoZilizo zidi sana ubovu zilitupwa shirikisho
Mara zoteApigwe mara ngp
Hapana hawa raja ni wazuri sana. Vibonde ni wale wydad,Timu za Morocco ni vibonde, ni kelele za mashabiki ndizo zinawatia hofu wapinzani wao.
Akili huna wewe,Timu za Morocco ni vibonde, ni kelele za mashabiki ndizo zinawatia hofu wapinzani wao.