Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️Kocha wa Al ahly Hana tofauti na Nabi kwa kufanya sub
Imemlipa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️Kocha wa Al ahly Hana tofauti na Nabi kwa kufanya sub
Imemlipa sana
Asipate,tukalale mapemaWydad wakipata bao wataenda penati
Waliyarusha wenyewe Kwa Raha zaoFataki na moshi zimewagharimu wenyeweee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
💪💪💪💪💪💪💪💪Al Ahyldakika ya 89 Wydad 1-1 Al Ahly.
Agrigate Wydad 2-3 Al ahly.
Yaan waarabuu sijui wana akili gani khaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waliyarusha wenyewe Kwa Raha zao
It is 23:54Nilijisahau kunbe huko Bongo saizi ni usiku
Hawawezi kwenda penati moja kwa moja kabla ya kuongeza dakika zingine 30. Kama itaisha kwa matokeo sawa na first leg ndio wataenda penatiWydad wakipata bao wataenda penati
Ndo imetoka hiyo.Al ahly ndo bingwa. Wydad wameniangusha.Wydad wakipata bao wataenda penati
Hamna filimbi wacheze mpaka muda uishe.Huyu refa kiboko maaniinaa
Anapeta balaa
Ameamua kuwaacha waarabu wauane
Kaamua wauaneRefa apewe maua yake