Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaanngalia wapiLimekataliwaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23]Ndio maana sheria ya fainali mbili naona ni halali kabisa
Kwa Afrika timu kupata goli la ugenini kunakuwa na kazi yani hata ukutane na timu mbovu ila ikiwa kwake shughuli inakuwa nzito
Timu zote huwa zinakuwa ngumu Isipokuwa Rivers na Marumo ile ya uzaramuni
Ha ha haaaaSi watoe drop Hawa mbwa,niamke na ela ya kuchoma nyama kesho
Kabisa yaniKumekuchaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!
Al ahly bingwaaaaaaaaa.
Ahaaaaaaa,Zamu yao sasa kukaa chini