adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Trust me bro ,Yanga kwa sasa sio level za kuwazia Afrika.Mmefikia hatua ya kuwaza kuifunga Madrid, licha ya kushindwa kutoboa playoffs?
Mental health should be an issue, I see. [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trust me bro ,Yanga kwa sasa sio level za kuwazia Afrika.Mmefikia hatua ya kuwaza kuifunga Madrid, licha ya kushindwa kutoboa playoffs?
Mental health should be an issue, I see. [emoji23][emoji23]
Mashabiki wa simba akili sjui mmepeleka wap? Dah! Mungu awasaidieAliu dieng sijaona anamzidi Nini mzamiru Yasin labda mshahara na mwili lakin sio kiwango.
True wafute final 2..na goal la ugeniniHapana bora abebe Wydad ili hawa Al Ahly wapate uchungu wakawashinikize CAF kufuta goli la ugenini. Al Ahly wana nguvu kubwa pale Caf. Misri walisimika mizizi Caf kitambo.
Walionipa vyeti vya elimu yangu kubwa wataninyang'anya endapo nitakuwa mjinga kiasi cha kuamini mambo yasiwezekana, eti kwaku uto mmoja kasema NIAMINI.Trust me bro ,Yanga kwa sasa sio level za kuwazia Afrika.
Wewe timu yako ipo wapi?Hivi uto si alikuwa kwenye haya mashindano sijui alipotelea wapi
Beki kibwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Yaani mchezaji aliewahi kutakiwa na Man United wanamfananisha na kiungo pundaMashabiki wa simba akili sjui mmepeleka wap? Dah! Mungu awasaidie
Wewe timu yako ipo wapi?
Kabsa yani! Nahisi ubongo wao upo kwenye makalioYaani mchezaji aliewahi kutakiwa na Man United wanamfananisha na kiungo punda
Jina la Mbumbumbuu wanastahili kabisa
Huyo jamaa Galatasaly walitoa B4 Al Ahly wakakataa offer usimchukulie poaAliu dieng sijaona anamzidi Nini mzamiru Yasin labda mshahara na mwili lakin sio kiwango.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]USM ALGER
Si nimechukua ubingwa UTO Vp kumbukumbu huna
Wejamaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi uto si alikuwa kwenye haya mashindano sijui alipotelea wapi
Beki kibwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]