0-0 hadi sasaupdates vip?
Azam 2 magumashi tu. Wapi live program
Kipa wa yanga kaumiaLete taarifa 7ve
mkuu mbona haionyeshi?Timu ya Al Ahly ya Misri inawaalika Yanga ya Tanzania katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo kwenye mchezo wa kwanza uliofanyika Dar Es Salaam walitoka sare ya 1-1.
Yanga ili isonge mbele inahitaji ushindi wowote ule au sare ya 2-2 na kuendelea kinyume na hapo itayaaga mashindano hayo.
Mechi hii itaonyeshwa live na kituo cha Azam Tv kupitia chaneli yake ya Azam two kuanzia saa 2:30 usiku kwa saa za hapa nyumbani.
Tukutane hapahapa kwenye ukumbi wetu wa JF tupeane updates kinachojiri kabla, wakati na baada ya mchezo.