CAF Champions League: Al Ahly vs Yanga 20/04/16

CAF Champions League: Al Ahly vs Yanga 20/04/16

Ila wana simba wenzangu, pamoja na kwamba leo yanga anaweza tolewa, TUKUBALI tu yanga katuzidi kila idara. Wanamatch na timu nyingi za Afrika kimpira.
Mpaka sasa yanga hawawaogopi hawa jamaa, ni ngoma droo. Kwa kipindi hiki tukubali tu wametuzidi.
 
Duh waarabu wanakimbiza mwanzo mwisho
 
Jana Azam alibana kipindi cha kwanza! Kipindi cha pili balaa likamwangukia.
 
Dah!
Hawa Al Ahly kocha wao kumbe ndo yule wa Spurs wa zamani? Martin Jol, duh!
 
Sasa hii ndio mechi. Tusubiri maoni ya wanaodai Yanga inabebwa
 
Dida yupo chini baada ya kupata dhoruba...

Al Ahly walipiga kona na wakati Dida akiokoa akakutana na mwarabu...

Dk 30

Al Ahly 0 - 0 Yanga
 
Timu ya Al Ahly ya Misri inawaalika Yanga ya Tanzania katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo kwenye mchezo wa kwanza uliofanyika Dar Es Salaam walitoka sare ya 1-1.
Al-Ahly-vs-Yanga.jpg

Yanga ili isonge mbele inahitaji ushindi wowote ule au sare ya 2-2 na kuendelea kinyume na hapo itayaaga mashindano hayo.
-2444-b87b4.jpg

Mechi hii itaonyeshwa live na kituo cha Azam Tv kupitia chaneli yake ya Azam two kuanzia saa 2:30 usiku kwa saa za hapa nyumbani.

Tukutane hapahapa kwenye ukumbi wetu wa JF tupeane updates kinachojiri kabla, wakati na baada ya mchezo.
mkuu mbona haionyeshi?
 
Hawa jamaa watatufunga kwa mtindo wetu wa kucheza kurudisha nyuma.
Maana badala ya mchezaji kuangalia tapenyaje,basi yeye mbio anarudisha nyuma,hasa msuva
 
Hawa jamaa Mbona wanaishambulia yanga mpaka aibu.....!??
 
Back
Top Bottom