CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

Kwa maelezo yako yapi ni mashindano yenye hadhi zaidi?
 
Simba ataazia robo tena kwenye AFL

Aaaahaaa
 
Huko juu ulisema zichukuliwe timu zenye rank za juu ndio zipambane maanake kwa hilo wazo lako timu zisingezidi 10+
Yes Nmesema hvy ila pia nikasema na vinginevyo watakavyoona, yn iwepo hy option yangu pamoja na nyngn watakavyoona
 
lazima waweke utaratibu wa kudrop out so itabid mtu apambane ili asidrop
 
Kwa mtazamo wangu hii AFL ndo itakuwa ligi kubwa lakn bingwa wa ligi ndo atashiriki huko na wale wa pili wataenda CAFCL
 
Kwa mtazamo wangu hii AFL ndo itakuwa ligi kubwa lakn bingwa wa ligi ndo atashiriki huko na wale wa pili wataenda CAFCL
Sasa kwa kufanya hivyo si itakuwa ni sawasawa na CAFCL na CAFCC ila wamebadilisha majina ya mashindano?
Maana kawaida bingwa wa ligi kuu hucheza CAFCL na wale wanaoshika nafasi ya pili hushiriki CAFCC
 
Sasa kwa kufanya hivyo si itakuwa ni sawasawa na CAFCL na CAFCC ila wamebadilisha majina ya mashindano?
Maana kawaida bingwa wa ligi kuu hucheza CAFCL na wale wanaoshika nafasi ya pili hushiriki CAFCC
bahati mbaya unaweza shinda ligi ila usishiriki AFL...... imagine azam ashinde nbc pl, hawezi shiriki AFL


kiukweli CAF ya Motsepe inalenga kuua ligi za ndani, ndio mana ulaya walikataa hii kitu, hili shindano la AFL litakufa ndani ya miaka 5 ijayo! vilabu vingi vitapiga kelele.......

soka la afrika kwa sasa ni kama linaongozwa na Infantino, ndiye mwenye hamu sana na AFL
 
Waafrika ni bure tu, ni bora tuendelee copy and pastekutoka Ulaya vile vile, kuanzia kujifanya tuna mipango na fikra ndiipo tunapoharibu kabisa
 
Hu
Hiyo wala sio bahati mbaya ndio utaratibu wa AFL.

Mfano mzuri AS Far Rabat ya Morocco wanaongoza ligi na wapo na asilimia kubwa kuchukua ubingwa wa Morocco msimu huu ila hata hivyo hawatashiriki AFL badala yake ni Wydad Casablanca na RS Berkane ndio wenye points za kutosha Caf kushiriki AFL.

Kumbuka Wydad msimu huu walikuwa hawawezi hata kumaliza kwenye timu 2 za juu kwenye msimamo.
 
... 🚨 π™Šπ™π™π™„π˜Ύπ™„π˜Όπ™‡ & π˜Ύπ™Šπ™‰π™π™„π™π™ˆπ™€π˜Ώ

Michuano ya CAF Confederations cup iliyoanzishwa rasmi mwaka 2003 imefutwa rasmi na Shirikisho la soka Barani Afrika kuanzia msimu ujao 2024/25.

Kutakuwa na mashindano mawili.

β—‰ CAF champions league.
β—‰ African Football League.

African Football League itajumuisha timu (24) ambazo zimekidhi vigezo kwa kuwa na alama nyingi kwenye Ranks za (CAF).

Michuano ya CAF champions league itaendelea kama kawaida ambapo kila Nchi mwanachama itatoa timu mbili.

 
Kwa mtazamo wangu hii AFL ndo itakuwa ligi kubwa lakn bingwa wa ligi ndo atashiriki huko na wale wa pili wataenda CAFCL
Kwa hiyo mshimdi wa tatu ndiyo ataitwa Bingwa na kwenda kushiriki Ligi ya Mabingwa?

Sasa hapo Bingwa atakuwa nani?
 
Hapa umeeleweka, so mshindi wa tatu na FA sasa hivi hawana Chao tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…