Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,242
- 5,345
Watasonga ugali.Sawa mtasonga mbele Vyura FC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watasonga ugali.Sawa mtasonga mbele Vyura FC
link jamani
Iko nyinginechini hapoMkuu link imeishia first half mbona
Mkuu mbona unateseka na Yanga?mchumba wenu aliyewachumBia amepigwa aggregate ya 7-1Ni kweli mkuu sisi tunafuzu makundi leo.
Yes washapigwa 2-0
Ushindi wa Yanga Leo ni kutokufungwa goli tano.
azam vp mbona hawaonyeshi
Sasa hv sio kupindua meza ila kuijadili SimbaSimba wangecheza na Pyramids sasa hivi tungekuwa tunahesabu goli la 6
Pindueni meza.. mwende makundi acheni porojoMkuu mbona unateseka na Yanga?mchumba wenu aliyewachumBia amepigwa aggregate ya 7-1
Kwa hiyo Yanga wameshawafunga Mkuu?Hawa mafarao wanacheza mpira wa kawaida sana.Nadhani tuliwa rate kwa ukubwa usio wao