CAF Confederation: Kikosi cha Yanga imeshindwa kufurukuta mbele ya wapinzani wake Pyramids, yafungwa 3 kwa 0

Hawa mafarao wanacheza mpira wa kawaida sana.Nadhani tuliwa rate kwa ukubwa usio wao
 
Azam wameomba radhi kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao, na hivyo kushindwa kurusha hiyo mechi moja kwa moja. Wadau wanafuatilia kupitia mitandao mbalimbali.
 
Hawa waarabu wasingeifunga 5 simba pia maana simba kupigwa 5 ila kwa hawa waarabu hata simba na ubovu wao wote walionao wasingefungwa 5.
 
Azam tv wameweka uroho badala ya kurusha kupitia ZBC2 Wakataka kurusha kupitia Azam Spots2 wakidhani waarabu ni mafala wakachomoa betri. Wamekataa kuwapa haki ya kurusha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…