CAF hawawezi kukubali Taifa stars kufuzu Afcon

Ila wewe jamaa wa yanga bhana,acha stress man mkataa kwao ni mtumwa
 
Dua hii ipate yanga makundi!
 
Wewe nani kakwambia stars hawajapata sare, Afcon iliyopita tulipata sare na wazambia then tukatoa sare na DRC Congo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…