CAF hawawezi kukubali Taifa stars kufuzu Afcon

CAF hawawezi kukubali Taifa stars kufuzu Afcon

Mpira ni biashara
Timu letu Bado ni bovu
Stars umeenda Afcon mara mbili mfululizo ila haijawahi kushinda wala kutoa sare
Timu letu kila likienda linapigwa na kututia aibu
Me Mtanganyika ila sitaki timu letu lifuzu
Yaani tumeikosa Ghana, tena tuikose Guinea, iyo Afcon itakuwa kama ndondo cup
Timu letu linapewa hamasa
Likishinda Kuna watu wanajipa hati miliki Bora lifungwe ili wote tunune

Kibiashara Taifa stars haitazamwi kama Guinea
Guinea ina professional wengi wanaocheza Europe

Yaani CAF waipitishe timu lililojaza wachezaji wa KMC, Mashujaa na Dodoma Jiji

Me nasimama na timu Baltasary Engonga, Guinea
Ila wewe jamaa wa yanga bhana,acha stress man mkataa kwao ni mtumwa
 
Mpira ni biashara
Timu letu Bado ni bovu
Stars umeenda Afcon mara mbili mfululizo ila haijawahi kushinda wala kutoa sare
Timu letu kila likienda linapigwa na kututia aibu
Me Mtanganyika ila sitaki timu letu lifuzu
Yaani tumeikosa Ghana, tena tuikose Guinea, iyo Afcon itakuwa kama ndondo cup
Timu letu linapewa hamasa
Likishinda Kuna watu wanajipa hati miliki Bora lifungwe ili wote tunune

Kibiashara Taifa stars haitazamwi kama Guinea
Guinea ina professional wengi wanaocheza Europe

Yaani CAF waipitishe timu lililojaza wachezaji wa KMC, Mashujaa na Dodoma Jiji

Me nasimama na timu Baltasary Engonga, Guinea
Dua hii ipate yanga makundi!
 
Mpira ni biashara
Timu letu Bado ni bovu
Stars umeenda Afcon mara mbili mfululizo ila haijawahi kushinda wala kutoa sare
Timu letu kila likienda linapigwa na kututia aibu
Me Mtanganyika ila sitaki timu letu lifuzu
Yaani tumeikosa Ghana, tena tuikose Guinea, iyo Afcon itakuwa kama ndondo cup
Timu letu linapewa hamasa
Likishinda Kuna watu wanajipa hati miliki Bora lifungwe ili wote tunune

Kibiashara Taifa stars haitazamwi kama Guinea
Guinea ina professional wengi wanaocheza Europe

Yaani CAF waipitishe timu lililojaza wachezaji wa KMC, Mashujaa na Dodoma Jiji

Me nasimama na timu Baltasary Engonga, Guinea
Wewe nani kakwambia stars hawajapata sare, Afcon iliyopita tulipata sare na wazambia then tukatoa sare na DRC Congo
 
Back
Top Bottom