CAF watoa Kongole kwa Simba SC, Yanga wajibu kuwa CAF wamefanya upendeleo na ubaguzi

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Shirikisho la soka barani Afrika CAF, kupitia ukurasa wake wa Twitter wameipongeza Simba SC na kuongeza kuwa klabu hiyo inaenda hatua nyingine ya kuwa Vigogo wa soka Afrika.

"Hongera Simba SC Tanzania, hii hatua nyingine sasa mnaenda kuwa vigogo wa Afrika hongereni sana".
 
Hiyo labda CAF YA TANDALE... caf hawanaga ujinga wa kusifia sifia upuuzi... Huku bongo si mnapenda kusifiana.. Ccm wanapenda kusifiasifia.. Mo nae jana anaanza magufuli hoyeee utadhani yuko kwenye mkutano wa siasa...
 
Iko kiingereza cha kijiji gani Tanzania, utawadanganya ma poyoyo .
 
Kiongozi, kweli unaamini hao ni CAF na hiyo broken English? Dah!
 
Hahahahahahahahahahaahahahahahahahahahahaahhahahahahahahahaha


Nmecheka kifala snaa [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…