CAF ya wapi?CAF waandike kiingereza cha mtaani eti boyz.Hamjui hata kufoji.Shirikisho la soka barani Afrika CAF, kupitia ukurasa wake wa Twitter wameipongeza Simba SC na kuongeza kuwa klabu hiyo inaenda hatua nyingine ya kuwa Vigogo wa soka Afrika.
"Hongera Simba SC Tanzania, hii hatua nyingine sasa mnaenda kuwa vigogo wa Afrika hongereni sana".View attachment 1174577
Hahahhaa big blundereti your going kimalika cha wapi hicho? Kimeandikwa na Manula nini?
Afadhali umeliona. Lakini wana was Rage wanameza kila kitu.Iko kiingereza cha kijiji gani Tanzania, utawadanganya ma poyoyo .
Halafu wandike next levels badala ya level!CAF ya wapi?CAF waandike kiingereza cha mtaani eti boyz.Hamjui hata kufoji.
mbona twits zote 2 ni kama feki?Shirikisho la soka barani Afrika CAF, kupitia ukurasa wake wa Twitter wameipongeza Simba SC na kuongeza kuwa klabu hiyo inaenda hatua nyingine ya kuwa Vigogo wa soka Afrika.
"Hongera Simba SC Tanzania, hii hatua nyingine sasa mnaenda kuwa vigogo wa Afrika hongereni sana".View attachment 1174577
Unashangaa kiingereza cha hao 'mbumbumbu fc'.Iko kiingereza cha kijiji gani Tanzania, utawadanganya ma poyoyo .
Nimecheka kifala...... mrekebishaji naye hajui kiinglishHalafu wandike next levels badala ya level!
Kimalika ndio nini mkuu?eti your going kimalika cha wapi hicho? Kimeandikwa na Manula nini?
HABARI YA KUEDIT HIYO HAINA UKWELI WOWOTEMbona hiyo account ya CAF ni verified