CAF watoa Kongole kwa Simba SC, Yanga wajibu kuwa CAF wamefanya upendeleo na ubaguzi

CAF watoa Kongole kwa Simba SC, Yanga wajibu kuwa CAF wamefanya upendeleo na ubaguzi

Shirikisho la soka barani Afrika CAF, kupitia ukurasa wake wa Twitter wameipongeza Simba SC na kuongeza kuwa klabu hiyo inaenda hatua nyingine ya kuwa Vigogo wa soka Afrika.

"Hongera Simba SC Tanzania, hii hatua nyingine sasa mnaenda kuwa vigogo wa Afrika hongereni sana".View attachment 1174577
CAF ya wapi?CAF waandike kiingereza cha mtaani eti boyz.Hamjui hata kufoji.
 
Fake ID.. mnajitekenya na kucheka wenyewe, ndio maana mkaitwa mbumbumbu fc
 
Yani hawa mbumbumbu wana mihemko ya kidwanzi sana
Na huo ujinga waliuamini hadi kuuanzishia uzi??
 
Ipo siku tuendelee kuzifanyia kazi ndoto tulizoota vyura ndio kwanza hawajaanza hata kuota Simba 💪
 
Shirikisho la soka barani Afrika CAF, kupitia ukurasa wake wa Twitter wameipongeza Simba SC na kuongeza kuwa klabu hiyo inaenda hatua nyingine ya kuwa Vigogo wa soka Afrika.

"Hongera Simba SC Tanzania, hii hatua nyingine sasa mnaenda kuwa vigogo wa Afrika hongereni sana".View attachment 1174577
mbona twits zote 2 ni kama feki?
ya "kuwapongeza" mbumbumbu fc na ile ya "kuponda" kutoka kwa vyura fc... zote ni kama feki fulani!!
 
Mbona kama povu? Ulitaka CAF wakukumbuke kwa lipi wewe Chura [emoji196]?
Yani hawa mbumbumbu wana mihemko ya kidwanzi sana
Na huo ujinga waliuamini hadi kuuanzishia uzi??
 
kweli simba fc ni kusanyiko la mambulula na vibaka, yaani adi huruma!
 
Back
Top Bottom