CAF watoa Kongole kwa Simba SC, Yanga wajibu kuwa CAF wamefanya upendeleo na ubaguzi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Usisingizie umeme kukatika tu
Hahaaa. Tatizo mechi ni jumamosi na Weekend nakuwa busy na mambo mengine Dada. Wajua tena. 😜😜

Hapa ntatokea jumanne mana jumatatu nayo ni Holiday. Labda mambo yasibane ndio mtaniona hapa japo kama nawaona mtakavyokuwa busy kufuatilia timu ya Wananchi. Huku mkisema Shadee kakimbia. πŸ˜…πŸ˜…
 
Isije kuwa msemaji caf kasindikiza wageni mtoto wake kachukua simu na kupost [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahah ebu acha visingizio vyako bwana kesho tuwe wote hapa
 
Iliterate and idiot threads! !
 
Yanga wanapitia kipindi kigumu.. Ukata umetawala lkn wanajikaza kiume....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…