CAF yailima Yanga faini ya takribani Tshs. milioni 80

CAF yailima Yanga faini ya takribani Tshs. milioni 80

Happycuit

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2013
Posts
646
Reaction score
542
Kamati ya nidhamu ya CAF imeipiga faini klabu ya Yanga ya jumla ya dola za Kimarekani elfu 35 ($35,000) kiasi kama milioni 80.5 za Kitanzania kwa makosa makubwa 2.

1. Matumizi ya fataki kwenye mchezo dhidi ya Rivers United ya Nigeria dola 10,000

2. Tukio la basi la timu kuvamiwa kuibiwa pesa ($5,200) na harufu mbaya inayosemekana kuwa na sumu, dola 25,000.

Aidha Yanga kwakuwa kwao kwenye nusu fainali ya CAFCC wanapaswa kuhakikisha usalama wa timu pinzani (Marumo Gallants) wakati wa mchezo kwakuwa kiwanja cha Benjamin Mkapa kimekuwa kikiripotiwa kwa matukio ya namna hii.

BIN KAZUMARI MTIPA ( The voice of the voiceless)
 

Attachments

  • jemedarisaid-20230507-0002.jpg
    jemedarisaid-20230507-0002.jpg
    81.6 KB · Views: 4
  • jemedarisaid-20230507-0001.jpg
    jemedarisaid-20230507-0001.jpg
    93.8 KB · Views: 4
Hakuna shida ,wale wa south wakija tunawapiga nje ndani ,mama akitupa pesa yetu tunawalipa maana sasa hivi goli moja ni milioni moja
 
Utopolo hawajawahi kushinda kwa haki hata wacheze na mbuni fc wao ni bahasha,kuwamwagia watu maji ya chooni,kuwawekea sumu na kuiba pesa za watu huku wakijinasibisha ni matajiri mbele ya umma...

Rudisheni fedha za watu mlizoiba [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kamati ya nidhamu ya CAF imeipiga faini klabu ya Yanga ya jumla ya dola za Kimarekani elfu 35 ($35,000) kiasi kama milioni 80.5 za Kitanzania kwa makosa makubwa 2.

1. Matumizi ya fataki kwenye mchezo dhidi ya Rivers United ya Nigeria dola 10,000

2. Tukio la basi la timu kuvamiwa kuibiwa pesa ($5,200) na harufu mbaya inayosemekana kuwa na sumu, dola 25,000.

Aidha Yanga kwakuwa kwao kwenye nusu fainali ya CAFCC wanapaswa kuhakikisha usalama wa timu pinzani (Marumo Gallants) wakati wa mchezo kwakuwa kiwanja cha Benjamin Mkapa kimekuwa kikiripotiwa kwa matukio ya namna hii.

BIN KAZUMARI MTIPA ( The voice of the voiceless)
Vibaka fc
 
Utopolo hawajawahi kushinda kwa haki hata wacheze na mbuni fc wao ni bahasha,kuwamwagia watu maji ya chooni,kuwawekea sumu na kuiba pesa za watu huku wakijinasibisha ni matajiri mbele ya umma...

Rudisheni fedha za watu mlizoiba [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani wanaolia na bahasha ni wakina nani,, na ukishasema kuna bahasha basi pesa ipo..... Endeleeni kulamba kamasi
 
Ile kashfa ya Simba kupulizia sumu timu ngeni imehamia upande WA pili sijui watasemaje huko
 
Zile fataki nilijua tu fine inakuja. Kuna ile walivamia uwanja mechi na TP Mazembe wakishangilia goli, sijawahi kuona timu professional inashangilia vile kwa kuvamia uwanja. Nayo wangeweza kabisa kupigwa fine.
 
Utopolo hawajawahi kushinda kwa haki hata wacheze na mbuni fc wao ni bahasha,kuwamwagia watu maji ya chooni,kuwawekea sumu na kuiba pesa za watu huku wakijinasibisha ni matajiri mbele ya umma...

Rudisheni fedha za watu mlizoiba [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanini asa hawajapokonywa ushindi kama hawakushinda ndani ya uwanja kihalali?
 
Kwanini asa hawajapokonywa ushindi kama hawakushinda ndani ya uwanja kihalali?
Ndio maana wakapigwa faini kwasababu ya kuiba pesa,kuweka harufu ya ushuzi katika basi la rivers united
 
Zile fataki nilijua tu fine inakuja. Kuna ile walivamia uwanja mechi na TP Mazembe wakishangilia goli, sijawahi kuona timu professional inashangilia vile kwa kuvamia uwanja. Nayo wangeweza kabisa kupigwa fine.
Timu yangu ya Utopolo kweli kabisa naamini maneno ya Haji.
Hivi timu imeshashinda 2 bila ugenini kuna haja gani ya kufanya upuuzi kama huo?
Ndio maana walikaa kimyaaaaaaa walipolalamiwa.
Adhabu ni ndogo sana hii sijapenda hata kidogo. Ilikuwa wafungiwe hata miaka miwili wasishiriki mashindano ya CAF akili iwakae sawa.
 
Kamati ya nidhamu ya CAF imeipiga faini klabu ya Yanga ya jumla ya dola za Kimarekani elfu 35 ($35,000) kiasi kama milioni 80.5 za Kitanzania kwa makosa makubwa 2.

1. Matumizi ya fataki kwenye mchezo dhidi ya Rivers United ya Nigeria dola 10,000

2. Tukio la basi la timu kuvamiwa kuibiwa pesa ($5,200) na harufu mbaya inayosemekana kuwa na sumu, dola 25,000.

Aidha Yanga kwakuwa kwao kwenye nusu fainali ya CAFCC wanapaswa kuhakikisha usalama wa timu pinzani (Marumo Gallants) wakati wa mchezo kwakuwa kiwanja cha Benjamin Mkapa kimekuwa kikiripotiwa kwa matukio ya namna hii.

BIN KAZUMARI MTIPA ( The voice of the voiceless)
Simba fursa hiyo ubayaubaya tu mpaka waseme po.
 
Zile fataki nilijua tu fine inakuja. Kuna ile walivamia uwanja mechi na TP Mazembe wakishangilia goli, sijawahi kuona timu professional inashangilia vile kwa kuvamia uwanja. Nayo wangeweza kabisa kupigwa fine.
Hujawai kuona timu au mashabiki kuvamia uwanja baada ya mechi kuisha ??
 
Timu yangu ya Utopolo kweli kabisa naamini maneno ya Haji.
Hivi timu imeshashinda 2 bila ugenini kuna haja gani ya kufanya upuuzi kama huo?
Ndio maana walikaa kimyaaaaaaa walipolalamiwa.
Adhabu ni ndogo sana hii sijapenda hata kidogo. Ilikuwa wafungiwe hata miaka miwili wasishiriki mashindano ya CAF akili iwakae sawa.
Haya mambo yalifanywa na nyie MAKOLO lakini hamna shida mradi mnateseka sisi ndo furaha yetu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
 
Back
Top Bottom