CAF Yapendekeza Hersi Said apate posho ya Milioni 136.5 kwa mwaka kama Mwenyekiti wa Chama cha Vilabu vya Afrika

CAF Yapendekeza Hersi Said apate posho ya Milioni 136.5 kwa mwaka kama Mwenyekiti wa Chama cha Vilabu vya Afrika

Hivi mbona sijaona impact yeyote ya huo wadhifa?
Moja ya mapendekezo yaliyo fanyiwa kazi nipamoja na timu zinazo shiriki mashindano ya CAF atua za awali kupewa pesa za maandalizi.
Klabu zimeanza kufaidika kupitia nafasi iyo.
 
Back
Top Bottom