CAG afichua Serikali ya Magufuli ilivyoisababishia taifa hasara ya Sh 1.7 trilioni mradi wa SGR

Mikataba iliyosainiwa Dec 2021 na July 2022 kwa Lot 3 na 4 inahusikaje na awamu ya 5? Heb tuelezee huo uzalendo uliwezaje kuvuka mipaka mpaka dec 2021 while awamu ya 6 ilianza March 2021.?

Mchakato ulianza toka enzi ya awamu ya mwendazake ambapo bodi kadhaa za wakurugenzi wa TRC walisimamia

Bodi ya Wakurugenzi TRC tarehe 17 February 2023 chini ya mwenyekiti Prof. John Wajanga
Kondoro waliotambulishwa ni Bw. Benjamini Adam Mbimbi, Bw. Kondo Abdalah Kibugula, Bw. Joseph Elias Salema, Bw. Juma Samhando Kijavara na Bw. Peter Mayunga Noni.

Wajumbe waliomaliza muda wao ni Bw. Wolfgang Ephraim Salia, Bi. Consolata Chrisostom Ngimbwa, Bw. Karim Godfrey Mattaka, Bw. Rogatus Hussein Mativila na Bw. Mahamud Mashaka Mabuyu.

Wajumbe wanaoendelea na nafasi zao ni pamoja na Bw. Jabir Bakari na Bi Lilian Ngilangwa. Baadhi ya wajumbe waliomaliza muda wao walipata fursa ya kutoa neno kwa menejimenti ya Shirika na kupongeza jitihada kubwa zilizofanywa kuhakikisha watumishi wanafanya kazi kwa weledi na kuleta tija katika utendaji wa Shirika.

Sources : TRC RELI TV / Mwanzo | TRC
 
JPM alikuwa mwizi sana, nadhani Afrika mashariki na kati ndiye Rais aliyeongoza kwa wizi
 
Kwa nini andiko kama hili wahusika wa JF wasilipandishe na kuwekwa chini ya mada husika; ili kila anayemaliza kusoma andiko la gazeti, asome chini yake haya aliyoweka mkuu 'Gobole' hapa!
 
Inabidi majaliwa na mpango pamoja na Samia wapishe maana ni sehemu ya serikali iliyosababisha hasara
 
Mzalendo na Rais wa wanyonge, kwa mlango wa nyuma alikuwa anatunyonga huku tukishangilia. Serikali iitishe wito wa kimataifa haya matrilinloni yarejeshwe kama vile ilivyofanywa kwa Sani AbachaView attachment 2582428
Mnataka kuamija ajenda ee hapa hakuna Cha Magufuli Wala nini mliorithi ndo mtuambie. Mbona mazuri yake mnasema yenu hata mabaya yachukueni
 
Mnataka kuamija ajenda ee hapa hakuna Cha Magufuli Wala nini mliorithi ndo mtuambie. Mbona mazuri yake mnasema yenu hata mabaya yachukueni
Mwakani tunafumua ununuzi wa ndege moja baada ya nyingine, na mlikoficha Hela za kickback
 
Mama na Kikundi chake ni Majizi, mmetia hasara Nchi hii, Ndani ya miaka miwili tu.


sasa mnatumia nguvu nyiiiingi sana kutaka kumfunika Wizi wa Mama na Kikundi chake, kwakutumia Mgongo wa JPM.
Kwa hiyo wewe ulikuwa kikundi kipi usichopenda kisemwe kilivyopiga, kikundi cha JPM au cha mama. Prof. Asad alikiambia cha JPM kilipiga 1.5T, na huyu CAG ameibua 1.7T.

Wewe unapendezwa na kipi cha kwako, kile au hiki?😎
 
Watapeliwa wanaelewa nn kuhusu ripoti huko lindi au namtumbo
 
Mzalendo na Rais wa wanyonge, kwa mlango wa nyuma alikuwa anatunyonga huku tukishangilia. Serikali iitishe wito wa kimataifa haya matrilinloni yarejeshwe kama vile ilivyofanywa kwa Sani AbachaView attachment 2582428
Daah! Huyu mtu huyu sijui tukalifanye nn kaburi lake. Anyway! Ndiyo maana mwaka huu kumbukizi yake tumeidogosha sana
 


Makamu wake wa Rais bado yupo so anaweza kuwa na majibu
 
Mmetumwa na majizi original kutupigia kelele Magufuli alikuwa fisadi ili yenyewe yaendelee kupiga bila kelele yaani mafisadi yamemfanya Magufuli kuwa kichaka cha kuficha ufisadi wao wanaoufanya sasahivi na nyie wanaolipwa kuja kutuanzia uzi wa kinafiki
 
Kwa nn report ya CAG haikuongelea hayo mambo Mwaka 2021 ,2022 ,?Mwaka wa pili mama anasherekea Urais ndio mnatuletea mambo ya Magufuli?Ambaye hayupo zaid ya miaka miwili?Acheni ujinga na upumbufu.Watanzania tuna akili na tunaelewa.
 
Kama kipande cha tatu ,nne na sita vilisainiwa na JPM mm ni mbwaaaaaaaaaa.
 
Magufuli alisaini 1,2 na 5 na hiyo 3 na 4 alisaini Samia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…