ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kazi kuonekana ndio inahalalisha wizi? Kwani saizi kazi Haionekani?We ni lofa wa kifikra magufuli kazi aliyoiacha imeonekana siyo kitaifa Bali hata kimataifa na kamwe hamtoweza kuifuta labda mbomoe Kila alichokiacha hatukatai mapungufu hayakuwepo yalikuwepo ila ya kuokota sana pia kumbuka magufufuli kazi yake thabiti ilionekana tangu akiwa waziri na alipafomu vizuri sana hata alipokuwa akihutubia bungeni wapinzani walimpigia makofi hovyo hakuwa raisi wa mchongo ndo maana aliwanyoosha wapumbavu kama wewe ambao mnalishwa matango pori na wanasiasa uchwara ambao machoni wanamkaa ila moyoni naamini wanamkubali hakuna mpinzani nchi hii ila Kuna wafanya biashara TU Kwa kivuli Cha upinzani mfanya biashara siku zote huwa anabadilisha upepo wa biashara kutokana na msimu Kwa hyo nguvu inayotumika kumchafua magufuli ni kutaka kuja ni idadi gani ya watu wanamkubali wakigundua Kuna idadi ya watu wengi wanamkubali usishangae 2024 wakaja na ajenda ya kumsifia Sasa ukitaka kuja nchi hii ina manyumbu wengi ukiwamo na mtasahaulishwa wote Tena mtaanza kumsifia Kwa sababu wengi wenu mnaendeshwa na fikra za wanasiasa hamuongozwi na fikra zenu