CAG afichua Serikali ya Magufuli ilivyoisababishia taifa hasara ya Sh 1.7 trilioni mradi wa SGR

CAG afichua Serikali ya Magufuli ilivyoisababishia taifa hasara ya Sh 1.7 trilioni mradi wa SGR

We ni lofa wa kifikra magufuli kazi aliyoiacha imeonekana siyo kitaifa Bali hata kimataifa na kamwe hamtoweza kuifuta labda mbomoe Kila alichokiacha hatukatai mapungufu hayakuwepo yalikuwepo ila ya kuokota sana pia kumbuka magufufuli kazi yake thabiti ilionekana tangu akiwa waziri na alipafomu vizuri sana hata alipokuwa akihutubia bungeni wapinzani walimpigia makofi hovyo hakuwa raisi wa mchongo ndo maana aliwanyoosha wapumbavu kama wewe ambao mnalishwa matango pori na wanasiasa uchwara ambao machoni wanamkaa ila moyoni naamini wanamkubali hakuna mpinzani nchi hii ila Kuna wafanya biashara TU Kwa kivuli Cha upinzani mfanya biashara siku zote huwa anabadilisha upepo wa biashara kutokana na msimu Kwa hyo nguvu inayotumika kumchafua magufuli ni kutaka kuja ni idadi gani ya watu wanamkubali wakigundua Kuna idadi ya watu wengi wanamkubali usishangae 2024 wakaja na ajenda ya kumsifia Sasa ukitaka kuja nchi hii ina manyumbu wengi ukiwamo na mtasahaulishwa wote Tena mtaanza kumsifia Kwa sababu wengi wenu mnaendeshwa na fikra za wanasiasa hamuongozwi na fikra zenu
Kazi kuonekana ndio inahalalisha wizi? Kwani saizi kazi Haionekani?
 
Hayupo ndio kubwa hasara aliyotupa haipo? Acha taarifa ziwekwe vizuri ili watu waone ule uzalendo uchwara tuliokuwa tunasema anao ufahamike. Huu ndio ukweli ambao aliuficha na kumuumiza kila aliyejaribu kuuweka wazi, huku akijivika uzalendo bandia.
Mtoto wa malaya ktk ubora wako,wewe ni zaidi ya panya Road,
 
Ndio nakwambia anayeweka standaiza wapi single source ifanyike ni ppra sio taasisi inayotaka kufanya ununuzi.

Single source pia haipo Kwa Ajili ya kutia hasara serikali Bali Kwa mazingira maalumu..

Mwisho yaani unapangiwa contractor na creditor Kwa Ajili ya nini hasa? Haya ndio madhara ya kudanganya ooh tunajenga Kwa pesa zetu matokeo yake ni commercial loans Zenye masharti ya kipumbavu kama haya na Jiwe hakuwa na options zaidi ya kunywea.
Jpm alitoka lot 3 ilisainiww ikulu na raisi saa100 sasa jpm anahusikaje kiongozi au alifufuka akaja kusaini akarudi kaburini
 
We ni lofa wa kifikra magufuli kazi aliyoiacha ingawa Kwa muda mfupi ni kubwa na imeonekana siyo kitaifa Bali hata kimataifa na kamwe hamtoweza kuifuta labda mbomoe Kila alichokiacha hatukatai mapungufu hayakuwepo yalikuwepo ila ya kuokota sana pia kumbuka magufufuli kazi yake thabiti ilionekana tangu akiwa waziri na alipafomu vizuri sana hata alipokuwa akihutubia bungeni wapinzani hawa hawa walimpigia makofi hivyo hakuwa raisi wa mchongo mchongo ndo maana aliwanyoosha wapumbavu kama wewe ambao mnalishwa matango pori na wanasiasa uchwara ambao machoni wanamkataa ila moyoni naamini wanamkubali hakuna mpinzani nchi hii ila Kuna wafanya biashara TU Kwa kivuli Cha upinzani mfanya biashara siku zote huwa anabadilisha upepo wa biashara kutokana na msimu Kwa hyo nguvu inayotumika kumchafua magufuli ni kutaka kujua ni idadi gani ya watu wanamkubali wakigundua Kuna idadi ya watu wengi wanamkubali usishangae 2024 2025 wakaja na ajenda ya kumsifia Sasa ukitaka kujua nchi hii ina manyumbu wengi ukiwamo na wewe mtasahaulishwa wote Tena mtaanza kumsifia na mfano mdogo ni Kwa lowassa Kwa sababu wengi wenu mnaendeshwa na fikra za wanasiasa hamuongozwi na fikra zenu nakuambia Tena 2024 2025 wanasiasa wako uchwara wanaomchafua magufuli wasipolitumia jina lake kuombea kura kama tukiwa hai niite mbwa nimekaa paleeee
JPM kazi aliyoiacha ni ya wizi
 
Hapa sio fb ambako watu hawana data!mchakato wa manunuzi wa vifaa vya lot 3,4,5 ulishaanza toka awamu ya tano.Hapa nani hana akili sasa??
Unanunua vifaa kama nani .seriakli inatangaza tenda ndo kazi yake na mchakato ni Kati ya miezi 3 hadi sita .sasa unapoosema mchakato wa kununua vifaa hufsnywa na serikali huko ni kkujitoa ufaham kulikozid
 
Uwe unaelewa mambo!!hizo kampuni mbili za kichina zinazojenga hiyo lot ya mwanza to isaka,zilipewa kazi hiyo baada ya wabunge kusema kama mshirika wa yap markez(mreno) amejitoa inakuwaje,atamaliza lini ndipo hao wachina wakapewa kazi.ila toka awamu ya tano hesabu yote ya ujezi wa lots kama 5 ulishatolewa ni kama trilioni 14.75(kama cjakosea)
Do jamaa ni muonga isee sijui kama Huna akiki hata theluthi ya wa mbwa wangu
 
Kwani waliwahi kunyang'amywa? Sana sana hizo lots za kuanzia tabora-isaka, fela-isaka, ndizo walisema wapewe wachina, kwani kazi itachelewa sana wakimtegemea huyu mmoja!! Na ki uhalisia wachina ndio walitakiwa kujenga reli yote, ndio hayo madudu yalifanyika(kulingana na ripoti ya CAG wakatoswa)mbunge mpina ndio alilishikia saba bango hilo suala hadi akataka iundwe kamati maalumu ya kufuatilia,kwani kuna sehemu km ndogo ,gharama kubwa,sehemu nyingine km kubwa gharama kidogo,akawa ana hisi kuna upigaji
Wabunge ndo hupanga tendaring proces ww jamaa ni Fala kweli
 
Utasikia Chuma hachafuki 🤣🤣🤣

Yule mtu na genge lake hawakuwa wanajali Wala kuheshimu Sheria ilimradi tuu wapate Chao.
Hawezi chafuka na taarifa za kubumba za uongo. Lot No. 3 na 4 zote zimesainiwa kwenye awamu hii ya sita. Sasa nyinyi mnaongopa tuu kila siku lakini watz wanajua ukweli halisi.
 
Mama na Kikundi chake ni Majizi, mmetia hasara Nchi hii, Ndani ya miaka miwili tu.


sasa mnatumia nguvu nyiiiingi sana kutaka kumfunika Wizi wa Mama na Kikundi chake, kwakutumia Mgongo wa JPM.
Wanarudia kukagua hesabu zilizokwisha kaguliwa baada ya kuchota pesa wakagawana halafu wanadai awamu ya tano wameiba kumbe ni wenyewe majizi ya awamu ya sita
 
JPM kazi aliyoiacha ni ya

JPM kazi aliyoiacha ni ya wizi
Sasa awamu yenu hii ya ovyo mbona mnaiba sana lakini Bado hatuoni jipya pesa za wizi mnapeleka wapi kama mnamtumu magu kaiba na kajenga miradi mikubwa ambao ndo Sasa hivi mnampambia mama yenu hivi hamuoni kama wizi wa magu ulikuwa ni WA akili kuliko awamu yenu hii mnaiba na pesa hazionekani mnakwama wapi Kwa mfano mzazi anayeiba na kuipelekea familia yake isife njaa na mzazi anayeiba na kutanua baa na Malaya familia yake ikifa njaa hapo ni mzazi yupi mwenye akili anayejielewa?
 
Wana spinning za kijinga sana wqmeona Bibi yao kachafuka matope mwili mzima wakaona wamgawie matope marehemu ili kumsafisha kiasi Bibi apate droo ya mizania ya ufanano
Wapumbavu sana hawa jamaa wanadhani watanzania wengi ni wajinga kama walivyokariri wakati Kila kitu magufufuli alikiweka wazi mbali na mapungufu machache hawa chawa wa mama upepo wao ni mdogo sana we subiri kampeni zikianza watarudi Kwa magufuful Ili kupata raia masnitch hawajifichi ndio maana wanajiita chawa
 
Sasa awamu yenu hii ya ovyo mbona mnaiba sana lakini Bado hatuoni jipya pesa za wizi mnapeleka wapi kama mnamtumu magu kaiba na kajenga miradi mikubwa ambao ndo Sasa hivi mnampambia mama yenu hivi hamuoni kama wizi wa magu ulikuwa ni WA akili kuliko awamu yenu hii mnaiba na pesa hazionekani mnakwama wapi Kwa mfano mzazi anayeiba na kuipelekea familia yake isife njaa na mzazi anayeiba na kutanua baa na Malaya familia yake ikifa njaa hapo ni mzazi yupi mwenye akili anayejielewa?
JPM aliacha misingi ya mawe tu, na nondo zimetupwatupwa, mama ndio amezikusanya na kuanza kujenga majengo yanayoonekana
 
JPM aliacha misingi ya mawe tu, na nondo zimetupwatupwa, mama ndio amezikusanya na kuanza kujenga majengo yanayoonekana
Kwa mbali nakuona kama unajitekenya mwenyewe halafu unajichekea mwenyewe ni hiyo ni dalili ya .................?
 
Naona kila kitu mnataka kumpin nacho JPM...JPM alihusika na kipande cha 1,2 na 5...hivyo vingine vyote vimesainiwa mbele ya awamu ya 6.

Mkataba ya Lot 3 ulisainiwa ikulu Dec 28 2021 miezi 9 tangu JPM afariki, Lot 4 ulisainiwa Ikulu July 2022 zaidi ya mwaka na nusu tangu afariki.
Hapo JPM anahusikaje, au alifufuka akaja kuongoza mchakato?

Huu Uongo mnaousambaza unawasidia nn? Kwann hamtaki kua responsible kwa makosa mnayoyafanya?itafika 2030 bado mtamlaumu JPM kwa ufisadi wa 2029.
Mkataba ulisainiwa kabla ya yepi kushinda tender au baada?? Naona team mwendakuzimu mnatetea legacy kinguvu
 
Back
Top Bottom