CAG afichua Serikali ya Magufuli ilivyoisababishia taifa hasara ya Sh 1.7 trilioni mradi wa SGR

CAG afichua Serikali ya Magufuli ilivyoisababishia taifa hasara ya Sh 1.7 trilioni mradi wa SGR

Mbona kama lot 3 na 4 aliyesaini ni Samia.
Yaan ,huyu mama na wezi wake wote wanataka tuanze kumjadili Magufuli ambaye hayupo miaka miwili.Kwa hiyo hata baada ya miaka kumi wapigaji wakiiba tunasingizia Magufuli.Huu ni ujinga na upumbavu.
 
Yaan ,huyu mama na wezi wake wote wanataka tuanze kumjadili Magufuli ambaye hayupo miaka miwili.Kwa hiyo hata baada ya miaka kumi wapigaji wakiiba tunasingizia Magufuli.Huu ni ujinga na upumbavu.
Magufuli alikuwa mwizi
 
Magufuli is no more we have to look out another alternative.

Hayupo ndio kubwa hasara aliyotupa haipo? Acha taarifa ziwekwe vizuri ili watu waone ule uzalendo uchwara tuliokuwa tunasema anao ufahamike. Huu ndio ukweli ambao aliuficha na kumuumiza kila aliyejaribu kuuweka wazi, huku akijivika uzalendo bandia.
 
Samia akiendelea kusikiliza takataka kama hizi atapata tabu sana
Tabu ya nini? Kama dhalimu alikupata ww na kumuamini hiyo ni juu yako, huu ndio ukweli dhidi ya dhalimu. Jitahidi kuvumilia ukweli wakati legacy ya mabavu ikianikwa.
 
Mnataka kuamija ajenda ee hapa hakuna Cha Magufuli Wala nini mliorithi ndo mtuambie. Mbona mazuri yake mnasema yenu hata mabaya yachukueni

Mazuri ya kuteka watu?
 
Mimi nina maswali kwako.

1. Kwahiyo hadi sasa hasara za wakati huu magufuri anahusishwa, yaani report ya CAG ya mwaka 2023 inamuongelea magufuri ambaye alifariki baada ya kuwa kiongozi kwa muhula m'moja tu wa urais wake?

2. Nataka kufahamu hayo masharti ya kutotangaza zabuni yalitoka wapi na yaliandikwa wapi?! Kama usiri ni tatizo mbona hatuoni uwazi mikataba ya sasa inayosainiwa kila kukicha. Mbona mnalaumu jambo ambalo hata sasa linatokea na hamlisemi hamuoni ndio mwanzo wa kuonekana wanafiki?

3. Haya madudu ya sasa hivi yanahusiana vipi na mkataba ulioutaja maana pesa za wakati huo na sasa zimepita kwa bajeti tofauti.

Hebu acha kujitafutia nuksi na mikosi isiyo na ulazima katika maisha yako.

Katika jambo utafanya na la laana ni kumsingizia tena kwa makusudi mtu ambaye hawezi jitetea mfano ni masikini/fukara,mtoto, bubu, kiziwi, mzee kikongwe, mlemavu wa akili na marehemu.

Huyu unaemsemea vibaya hayupo hapa kujitetea ila bado mnakazana kusema uongo juu yake na kumsingizia. Inawezekana kulikuwa hakuna taarifa sahihi au zilizonyooka juu ya matumizi ya pesa ila mbona pamoja na wizi mnaosema alikuwa anafanya ila ndani ya miaka yake mitano amefanya vitu vingi ambavyo sisi tunajionea yaani kwa ushahidi sio kwa maneno ya kuhadithiwa.

Hivi wewe una wazazi kwanza nikikuuliza? Mama yako awe anamponda baba yako kuwa hana msaada kwako tokea utotoni ni yeye kakupambania bila msaada wa baba yako. Ila ukitumia kumbukumbu zako sawa unaona kabisa baba alikuwa anaondoka asubuhi kurejea usiku na alikuwa anarejea na vifurushi mama tulikuwa ndani muda wote. Ila maneno yake ukiyapa uzito utahisi baba yako hakuna alichofanya.

Sasa hata sasa naona ndio kitu hicho hicho, wanaume wenye tabia za kike kuongea maneno ya uongo. Na ndio maana hata huyu raisi wa sasa kipindi akiwa makamo aliyasema haya, kuwa siku hizi wanaume wamekuwa ni wambea, wafitini na wanafiki kuwashinda wanawake.

Haya nimeyasadiki kwa tabia hizi za kike za kutunga na kutengeza taarifa ili kumchafua mtu ambaye hayupo nasi tena. Wewe mleta uzi na wenzako wengi tu mnachofanya si sahihi hata kidogo na ni tabia za kike hizi ambazo hazitakiwi eneo la kiumeni kama serikalini. Wanawake wanawashinda wanapiga kazi hawaongei ongei nyie kazi kuchonga midogo kupiga umbea na kufuatilia maneno maneno ujinga na upuuzi.

Acha hizi tabia za kike wewe. Sijaona wanawake walete hizi story hata wanasiasa wa kike wametulia sana hawazungumzii vibaya hayati magufuri kama ninyi wa kiume kila kukicha ni maneno utadhani ni wanawake alikuwa anawatafuna sasa amewaacha bila mafao ndio mnamsema.

Hivi unajisikiaje kumsema kidume ambaye aliutikisa ulimwengu wa siasa kwa muda mfupi na hakukuwa na mwenye jeuri ya kupingana nae. Eeeen huo ndio ukweli, yule mzee waliwashika pazuri na hakuna aliyeweza kusema wala kufanya lolote na kila alichokitaka kifanyike kilifanyike, huo ndio UANAUME na ndio maana wanawake walikaa kimya wakajua mwanaume yupo kazini hadi sasa wakikumbuka jina lake wanasema yule alikuwa mwanaume kweli kweli.

Ila ninyi sasa ambao mnajiona wanaume kumbe ndani ya damu mnavinasaba vya uanaumke kutwa ni kulalamika na kusema maneno maneno, wanaume tumenyamaza maana tunaelewa kazi ya kiume aliyofanya yule mzee ninyi kazi kulalamika na kumuongelea as if mnataka arudi awale mate na awapige upumbu. Mnakera Kis*ng*[emoji2959] aiseee.


Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Naona kila kitu mnataka kumpin nacho JPM...JPM alihusika na kipande cha 1,2 na 5...hivyo vingine vyote vimesainiwa mbele ya awamu ya 6.

Mkataba ya Lot 3 ulisainiwa ikulu Dec 28 2021 miezi 9 tangu JPM afariki, Lot 4 ulisainiwa Ikulu July 2022 zaidi ya mwaka na nusu tangu afariki.
Hapo JPM anahusikaje, au alifufuka akaja kuongoza mchakato?

Huu Uongo mnaousambaza unawasidia nn? Kwann hamtaki kua responsible kwa makosa mnayoyafanya?itafika 2030 bado mtamlaumu JPM kwa ufisadi wa 2029.
Unajua hawa ndio wale alisema samia kuwa kuna Wanaume wamekuwa ni wambea,mahasidi, wanafiki na wafitini kuwashinda hata wanawake humo serikalini. Kazi kupiga domo badala ya kazi ndio huyu mojawapo.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Wana spinning za kijinga sana wqmeona Bibi yao kachafuka matope mwili mzima wakaona wamgawie matope marehemu ili kumsafisha kiasi Bibi apate droo ya mizania ya ufanano
 
Bunge lililopita lilitoa tenda ya ujenzi kwa njia hiihii tena mwigulu akiwa waziri na rais Samia tena watu walilalamika kwa tenda kubwa tayari ikiwa imeshatajwa kiasi kitakachotumika kutolewa kwa mtindo wa single source kwa hiyo watueleze tatizo ni nini na sio kusingizia mtu mmoja
 
Baelezee wanatafuta kichaka kila wakiligoroga
Mimi nina maswali kwako.

1. Kwahiyo hadi sasa hasara za wakati huu magufuri anahusishwa, yaani report ya CAG ya mwaka 2023 inamuongelea magufuri ambaye alifariki baada ya kuwa kiongozi kwa muhula m'moja tu wa urais wake?

2. Nataka kufahamu hayo masharti ya kutotangaza zabuni yalitoka wapi na yaliandikwa wapi?! Kama usiri ni tatizo mbona hatuoni uwazi mikataba ya sasa inayosainiwa kila kukicha. Mbona mnalaumu jambo ambalo hata sasa linatokea na hamlisemi hamuoni ndio mwanzo wa kuonekana wanafiki?

3. Haya madudu ya sasa hivi yanahusiana vipi na mkataba ulioutaja maana pesa za wakati huo na sasa zimepita kwa bajeti tofauti.

Hebu acha kujitafutia nuksi na mikosi isiyo na ulazima katika maisha yako.

Katika jambo utafanya na la laana ni kumsingizia tena kwa makusudi mtu ambaye hawezi jitetea mfano ni masikini/fukara,mtoto, bubu, kiziwi, mzee kikongwe, mlemavu wa akili na marehemu.

Huyu unaemsemea vibaya hayupo hapa kujitetea ila bado mnakazana kusema uongo juu yake na kumsingizia. Inawezekana kulikuwa hakuna taarifa sahihi au zilizonyooka juu ya matumizi ya pesa ila mbona pamoja na wizi mnaosema alikuwa anafanya ila ndani ya miaka yake mitano amefanya vitu vingi ambavyo sisi tunajionea yaani kwa ushahidi sio kwa maneno ya kuhadithiwa.

Hivi wewe una wazazi kwanza nikikuuliza? Mama yako awe anamponda baba yako kuwa hana msaada kwako tokea utotoni ni yeye kakupambania bila msaada wa baba yako. Ila ukitumia kumbukumbu zako sawa unaona kabisa baba alikuwa anaondoka asubuhi kurejea usiku na alikuwa anarejea na vifurushi mama tulikuwa ndani muda wote. Ila maneno yake ukiyapa uzito utahisi baba yako hakuna alichofanya.

Sasa hata sasa naona ndio kitu hicho hicho, wanaume wenye tabia za kike kuongea maneno ya uongo. Na ndio maana hata huyu raisi wa sasa kipindi akiwa makamo aliyasema haya, kuwa siku hizi wanaume wamekuwa ni wambea, wafitini na wanafiki kuwashinda wanawake.

Haya nimeyasadiki kwa tabia hizi za kike za kutunga na kutengeza taarifa ili kumchafua mtu ambaye hayupo nasi tena. Wewe mleta uzi na wenzako wengi tu mnachofanya si sahihi hata kidogo na ni tabia za kike hizi ambazo hazitakiwi eneo la kiumeni kama serikalini. Wanawake wanawashinda wanapiga kazi hawaongei ongei nyie kazi kuchonga midogo kupiga umbea na kufuatilia maneno maneno ujinga na upuuzi.

Acha hizi tabia za kike wewe. Sijaona wanawake walete hizi story hata wanasiasa wa kike wametulia sana hawazungumzii vibaya hayati magufuri kama ninyi wa kiume kila kukicha ni maneno utadhani ni wanawake alikuwa anawatafuna sasa amewaacha bila mafao ndio mnamsema.

Hivi unajisikiaje kumsema kidume ambaye aliutikisa ulimwengu wa siasa kwa muda mfupi na hakukuwa na mwenye jeuri ya kupingana nae. Eeeen huo ndio ukweli, yule mzee waliwashika pazuri na hakuna aliyeweza kusema wala kufanya lolote na kila alichokitaka kifanyike kilifanyike, huo ndio UANAUME na ndio maana wanawake walikaa kimya wakajua mwanaume yupo kazini hadi sasa wakikumbuka jina lake wanasema yule alikuwa mwanaume kweli kweli.

Ila ninyi sasa ambao mnajiona wanaume kumbe ndani ya damu mnavinasaba vya uanaumke kutwa ni kulalamika na kusema maneno maneno, wanaume tumenyamaza maana tunaelewa kazi ya kiume aliyofanya yule mzee ninyi kazi kulalamika na kumuongelea as if mnataka arudi awale mate na awapige upumbu. Mnakera Kis*ng*[emoji2959] aiseee.


Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Magufuri alifariki miaka 2 iliyopita,kwani taarifa ya CAG ni mwaka upi wa kifedha na kwa nini hayo yasingelipotiwa mwaka husika kama sio kuchafuana tu na kujikuza kisiasa kwa mlengo wa chaguzi ijayo,hili taifa aibu tupu.
 
Ndio Hayati alituingiza huku ila alikua akitekeleza ilani ya chama cha CCM! Hivi ni chama gani kipo Madarakani kwasasa ? TLP ?
 
Acha upumbavu wewe,kwani hapo kioichoandikwa ni kweli au sio kweli?

Pili Samia sio kama yule aliyekuwa analinda Ufisadi ukifichua unafukuzwa au kupotezwa.

CAG sema ukweli wote,Nchi ilifiliaika sana awamu ya 5 na wanufaika mpo ndio maana mnatokwa na mapovu sana.
We ni lofa wa kifikra magufuli kazi aliyoiacha imeonekana siyo kitaifa Bali hata kimataifa na kamwe hamtoweza kuifuta labda mbomoe Kila alichokiacha hatukatai mapungufu hayakuwepo yalikuwepo ila ya kuokota sana pia kumbuka magufufuli kazi yake thabiti ilionekana tangu akiwa waziri na alipafomu vizuri sana hata alipokuwa akihutubia bungeni wapinzani walimpigia makofi hovyo hakuwa raisi wa mchongo ndo maana aliwanyoosha wapumbavu kama wewe ambao mnalishwa matango pori na wanasiasa uchwara ambao machoni wanamkaa ila moyoni naamini wanamkubali hakuna mpinzani nchi hii ila Kuna wafanya biashara TU Kwa kivuli Cha upinzani mfanya biashara siku zote huwa anabadilisha upepo wa biashara kutokana na msimu Kwa hyo nguvu inayotumika kumchafua magufuli ni kutaka kuja ni idadi gani ya watu wanamkubali wakigundua Kuna idadi ya watu wengi wanamkubali usishangae 2024 wakaja na ajenda ya kumsifia Sasa ukitaka kuja nchi hii ina manyumbu wengi ukiwamo na mtasahaulishwa wote Tena mtaanza kumsifia Kwa sababu wengi wenu mnaendeshwa na fikra za wanasiasa hamuongozwi na fikra zenu
 
Unajua serikali imetaificha trilioni ngapi za JPM? Unadhani china kina Hela za pkea bargaining tu? Unajua uturuki waliopewa tenda ya SGR wamemtunzia mabilioni mangapi huko? Unajua Misri ana trilioni ngapi kwa sababu ya mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere.?

Unajua kwa nini Kila mradi lazima Mfugale awepo? Ndio alikuwa ana negotiate 10 pasenti na kuitunza, mara hee, JPM kafa, Mfugale bado ana matrilinloni katika akaunti, watu wakayafunga, wakamuweka mtu kati, akaamua kufa.

Hisa zake Songoro Marine unazijua? Ilifikia walikiona hata mfereji wa maji wa mtu anakojoa wanataka kujenga pantoni ili kampuni yake ipate Hela.

Nyanza Road, Mayanga? Majumba Kila Mkoa? Tena maghorofa?
Sasa wewe kama unazijua si uzitaje? Usituletee porojo, unauliza maswali sisi tukujibu vipi wakati tunajua lengo ni kuimplicate tu, huna ushahidi
 
Acha upumbavu wewe,kwani hapo kioichoandikwa ni kweli au sio kweli?

Pili Samia sio kama yule aliyekuwa analinda Ufisadi ukifichua unafukuzwa au kupotezwa.

CAG sema ukweli wote,Nchi ilifiliaika sana awamu ya 5 na wanufaika mpo ndio maana mnatokwa na mapovu sana.
We ni lofa wa kifikra magufuli kazi aliyoiacha ingawa Kwa muda mfupi ni kubwa na imeonekana siyo kitaifa Bali hata kimataifa na kamwe hamtoweza kuifuta labda mbomoe Kila alichokiacha hatukatai mapungufu hayakuwepo yalikuwepo ila ya kuokota sana pia kumbuka magufufuli kazi yake thabiti ilionekana tangu akiwa waziri na alipafomu vizuri sana hata alipokuwa akihutubia bungeni wapinzani hawa hawa walimpigia makofi hivyo hakuwa raisi wa mchongo mchongo ndo maana aliwanyoosha wapumbavu kama wewe ambao mnalishwa matango pori na wanasiasa uchwara ambao machoni wanamkataa ila moyoni naamini wanamkubali hakuna mpinzani nchi hii ila Kuna wafanya biashara TU Kwa kivuli Cha upinzani mfanya biashara siku zote huwa anabadilisha upepo wa biashara kutokana na msimu Kwa hyo nguvu inayotumika kumchafua magufuli ni kutaka kujua ni idadi gani ya watu wanamkubali wakigundua Kuna idadi ya watu wengi wanamkubali usishangae 2024 2025 wakaja na ajenda ya kumsifia Sasa ukitaka kujua nchi hii ina manyumbu wengi ukiwamo na wewe mtasahaulishwa wote Tena mtaanza kumsifia na mfano mdogo ni Kwa lowassa Kwa sababu wengi wenu mnaendeshwa na fikra za wanasiasa hamuongozwi na fikra zenu nakuambia Tena 2024 2025 wanasiasa wako uchwara wanaomchafua magufuli wasipolitumia jina lake kuombea kura kama tukiwa hai niite mbwa nimekaa paleeee
 
Back
Top Bottom