CAG afichua Serikali ya Magufuli ilivyoisababishia taifa hasara ya Sh 1.7 trilioni mradi wa SGR

Kazi kuonekana ndio inahalalisha wizi? Kwani saizi kazi Haionekani?
 
Hayupo ndio kubwa hasara aliyotupa haipo? Acha taarifa ziwekwe vizuri ili watu waone ule uzalendo uchwara tuliokuwa tunasema anao ufahamike. Huu ndio ukweli ambao aliuficha na kumuumiza kila aliyejaribu kuuweka wazi, huku akijivika uzalendo bandia.
Mtoto wa malaya ktk ubora wako,wewe ni zaidi ya panya Road,
 
Jpm alitoka lot 3 ilisainiww ikulu na raisi saa100 sasa jpm anahusikaje kiongozi au alifufuka akaja kusaini akarudi kaburini
 
JPM kazi aliyoiacha ni ya wizi
 
Hapa sio fb ambako watu hawana data!mchakato wa manunuzi wa vifaa vya lot 3,4,5 ulishaanza toka awamu ya tano.Hapa nani hana akili sasa??
Unanunua vifaa kama nani .seriakli inatangaza tenda ndo kazi yake na mchakato ni Kati ya miezi 3 hadi sita .sasa unapoosema mchakato wa kununua vifaa hufsnywa na serikali huko ni kkujitoa ufaham kulikozid
 
Do jamaa ni muonga isee sijui kama Huna akiki hata theluthi ya wa mbwa wangu
 
Wabunge ndo hupanga tendaring proces ww jamaa ni Fala kweli
 
Utasikia Chuma hachafuki 🤣🤣🤣

Yule mtu na genge lake hawakuwa wanajali Wala kuheshimu Sheria ilimradi tuu wapate Chao.
Hawezi chafuka na taarifa za kubumba za uongo. Lot No. 3 na 4 zote zimesainiwa kwenye awamu hii ya sita. Sasa nyinyi mnaongopa tuu kila siku lakini watz wanajua ukweli halisi.
 
Mama na Kikundi chake ni Majizi, mmetia hasara Nchi hii, Ndani ya miaka miwili tu.


sasa mnatumia nguvu nyiiiingi sana kutaka kumfunika Wizi wa Mama na Kikundi chake, kwakutumia Mgongo wa JPM.
Wanarudia kukagua hesabu zilizokwisha kaguliwa baada ya kuchota pesa wakagawana halafu wanadai awamu ya tano wameiba kumbe ni wenyewe majizi ya awamu ya sita
 
JPM kazi aliyoiacha ni ya

JPM kazi aliyoiacha ni ya wizi
Sasa awamu yenu hii ya ovyo mbona mnaiba sana lakini Bado hatuoni jipya pesa za wizi mnapeleka wapi kama mnamtumu magu kaiba na kajenga miradi mikubwa ambao ndo Sasa hivi mnampambia mama yenu hivi hamuoni kama wizi wa magu ulikuwa ni WA akili kuliko awamu yenu hii mnaiba na pesa hazionekani mnakwama wapi Kwa mfano mzazi anayeiba na kuipelekea familia yake isife njaa na mzazi anayeiba na kutanua baa na Malaya familia yake ikifa njaa hapo ni mzazi yupi mwenye akili anayejielewa?
 
Wana spinning za kijinga sana wqmeona Bibi yao kachafuka matope mwili mzima wakaona wamgawie matope marehemu ili kumsafisha kiasi Bibi apate droo ya mizania ya ufanano
Wapumbavu sana hawa jamaa wanadhani watanzania wengi ni wajinga kama walivyokariri wakati Kila kitu magufufuli alikiweka wazi mbali na mapungufu machache hawa chawa wa mama upepo wao ni mdogo sana we subiri kampeni zikianza watarudi Kwa magufuful Ili kupata raia masnitch hawajifichi ndio maana wanajiita chawa
 
JPM aliacha misingi ya mawe tu, na nondo zimetupwatupwa, mama ndio amezikusanya na kuanza kujenga majengo yanayoonekana
 
JPM aliacha misingi ya mawe tu, na nondo zimetupwatupwa, mama ndio amezikusanya na kuanza kujenga majengo yanayoonekana
Kwa mbali nakuona kama unajitekenya mwenyewe halafu unajichekea mwenyewe ni hiyo ni dalili ya .................?
 
Mkataba ulisainiwa kabla ya yepi kushinda tender au baada?? Naona team mwendakuzimu mnatetea legacy kinguvu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…