The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Tukimalizana na Kigwangala tutaendelea na hayo, usitutoe kwenye mood
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwangalieni huyu! Sasa huyo Mkuu ndie Mkurugenzi wa Bandari?!
Jibu ni kwamba NDIYO, aliwekwa kumlinda Mkuu na mihamala yake inayopitishwa Ikulu bila hata kujadiliwa Bungeni!!
Jibu ni kwamba NDIYO, aliwekwa kumlinda Mkuu ili aendelee kuficha manunuzi mabovu kama yale ya ndege za ATCL ambazo CAG aliyepita alianza kunusanusa na kusema wazi kwamba ameshindwa kupata data!!
Jibu ni NDIYO, amewekwa kumlinda Mkuu ili tenda za kujuana kama zile za ujenzi wa Chato International Airport aliyopewa swahibu wake Mkuu watu wasifahamu mengi!!
Ni vibaya sana kumhukumu mtu, wakati PAC na bunge hawajajibu hiyo hoja ya CAG. Tuwe na subira ili kupata majibu ya uhakika. Isije ikawa kama stori za tril 1.5 na mwenyekiti wa PAC, Naghenjwa Kaboyoka (Chadema M.p) alikuja kusema ukweli.Kwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.
Sasa kuna manunuzi ya Tsh 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.
Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.View attachment 1413440
CAG anajitambua, anajuwa kuwa kuna maisha baada ya Awamu ya 5. Kwa hiyo yeye anayaandika na kuyabwaga, wasipotekeleza shauri yao. Hongera KICHEERE
Doho tabu...CAG anapofanya ukaguzi usidhani yale yote aliyoyaibua kwenye ukaguzi ni ya kweli. Unapokaguliwa kunatakiwa pia mrejesho/majibu kutoka kwa mkaguliwa na hivyo majibu yakiishatolewa yanaweza kumridhisha CAG. Kumhukumu Meneja Mkuu wa TPA bado ni mapema sana. Bwana Kakoko ni mfanyakazi bora na wa kuigwa.
Huyu ni mpigaji sana wachunguze upigaji wa bandari ya Kigoma. na wachunguze washauri au wapigaji walio karibu naye Mr. Tony aliyekuwa TAFFA na wengineKwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.
Sasa kuna manunuzi ya Tsh 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.
Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.View attachment 1413440
Hajasema yote mengine kafanya siriKwa hiyo jamani huyu CAG si mlisema amewekwa kumlinda mkuu, inakuwaje amemgeuka na kuanza kuibua madudu,
? siwaelewi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeumbuliwa?
Wewe tetea wakwapuaji kama nayo sifaEng.Kakoko ni mtumishi aliyetukuka amejenga miradi mingi ya bandari/Gati karibu sehemu zote muhimu za maziwa yetu ambako usafirishaji wa abiria na Huduma ulikuwa katika hali mbaya sana.
Shida ni "Hamisi".Hamisi wana m target sana kisiasa. Sio mbaya hivyo. Kuna watu wabaya zaidi. Shida ya Hamisi ni kuongea. Angekuwa anakaa kimya na kuignore baadhi ya mambo yangekuwa yanapita kimya kimya.
Sidhani kama unajua mada iliyoletwa au ni akili za kuokota ndio zinakutuma kuandika huu utumbo.Eng.Kakoko ni mtumishi aliyetukuka amejenga miradi mingi ya bandari/jetty karibu sehemu zote muhimu za maziwa yetu ambako usafirishaji wa abiria na Huduma ulikuwa ni mbaya sana.
Au twende nao simultaneouslyTukimalizana na kigwangala tutaendelea na hayo .usitutoe kwenye mood
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado anakesha ofisini kama zamani?...Huyu kakoko huwa anatamba sana na kunyanyasa wanyakazi wa chini yake, huwa anasema bila aibu wala kificho kuwa hakuna wa kumtisha bali mmoja tu. Anyway ni mtu wa kanda pendwa tena home boy. Ila yana mwisho!
Narudia: Watu wanatuhumu Ofisi ya Rais kufanya manunuzi ambayo hakuna anayefahamu zaidi ya Magu na Dotto, labda na wengine watu wa karibu! Haya manunuzi yanakiuka Sheria ya Manunuzi ya Umma!!!sasa hapo kipi umekiona kigeni? wewe hujui kuwa yule aliyetoka tetesi ni kwa sbu ya kuibua mambo yaliyoko kwenye serikali zaidi, na mkuu anataka serikali ione hakuna sehemu kuna upigaji?
Sent using Jamii Forums mobile app