CAG aibua ufisadi TPA ya Deus Kakoko, Ni mbaya kuliko wa Kigwangalla

CAG aibua ufisadi TPA ya Deus Kakoko, Ni mbaya kuliko wa Kigwangalla

Mbarawa alipelekwa Maji kimkakati, miaka ilikuwa inakwenda na miradi ya maji ilikuwa haina muelekeo mzuri. Mzee aliyekuwa Maji akapelekwa mawasiliano.

Ilipangwa kimkakati sio kweli kwamba kulikuwa na mkwaruzano kati ya Mbarawa na Kakoko, ni kwamba Mzee ambaye yupo mawasiliano ambaye alipewa warning kule Morogoro kasi yake ni ndogo ukizingatia kuwa umri umesogea.
 
Mh. Magufuli kama unaona ujumbe wangu tafadhali mnyonge huyu jamaa haraka sana. Kwanza mfunge akishamaliza kubakwa huko jela, mnyongeni maana huyu anatufanya sie walipa kodi mafala.

Tunafanya kazi na kulipa kodi, yeye anaiba kunufaisha familia yake na hawara zake tu. Pia dogo Kigwangallah asiachwe hivi hivi, lazima naye ashikishwe adabu ili iwe fundisho kwa kila ajaye.
 
Huyo anatafuta pesa za kumalizia Sheli ya Mafuta iliyoko Rulenge-Ngara-Kagera ambayo imeshindwa kukamilika tofauti na Ngaraoil ya juzi tu lakini inapiga kazi.
Wewe utakuwa ni jamaa wa Ngara, wavuye he muhungu. Bavandimwe.
 
Amjapandishwa mshaharaa nn
Deus k endeleeea kuwakaziaa HAOO washazoee slope za maishaaa
Kajifunze kuandika na kusoma kwanza kama wanavyojifunza ngumbaru. Bado huna uwezo wa kushiriki hoja za JF. Mwandiko kama bata amekunya!!
 
CAG anajitambua, anajuwa kuwa kuna maisha baada ya Awamu ya 5. Kwa hiyo yeye anayaandika na kuyabwaga, wasipotekeleza shauri yao. Hongera KICHEERE
Kumbuka kuna maktaba nzuri humu.
 
Ilikuwa ni ushabiki tu wa mambo hakuna CAG wa kulinda madudu.
Tatizo la Assad kwy WIZI alikuwa anakazia kwamba sehemu fulani pesa haionekaniki anakadhia sasa huyu Kichere yeye sehemu yenye WIZI akaziii mpaka wachambuzi wetu wa jamiii forum wapaishe sehemu zenye WIZI ndio watu wajue kwa sababu hatuna desturi ya kusoma soma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wizi, tamaa, uongo, utapeli hatuwezi kuvuka kiuchumi hata miaka 600 ijayo
Wenzetu wamedhibiti hayo ndio maana wana maendeleo
Hakuna uchawi bali sisi ndio wachawi


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Kwa wizi, tamaa, uongo, utapeli hatuwezi kuvuka kiuchumi hata miaka 600 ijayo
Wenzetu wamedhibiti hayo ndio maana wana maendeleo
Hakuna uchawi bali sisi ndio wachawi


Sent from my iPhone using Tapatalk

Nani ametudanganya kufanya kazi ofisi za umma ndio ticket ya kufanya chochote bila madhara yoyote?
Wizi wa mali za umma unakera sana. Sijui watu wanajua hilo
 
Nani ametudanganya kufanya kazi ofisi za umma ndio ticket ya kufanya chochote bila madhara yoyote?
Wizi wa mali za umma unakera sana. Sijui watu wanajua hilo

Inakera sana mpaka unasema bora wangekuwa wanafungwa hata miaka kadhaa
Ila tatizo ni kulindana
Mwizi wa kuku anafungwa ila mwizi wa mabilioni anahamishwa au kufukuzwa tu sio kwetu tu bali nchi zote zisizokuwa na maendeleo na adui ndio hao
Mkuu wanalijua vizuri sana ila wanaofaidi ni wachache


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Huyu ni mpigaji sana wachunguze upigaji wa bandari ya Kigoma. na wachunguze washauri au wapigaji walio karibu naye Mr. Tony aliyekuwa TAFFA na wengine
Bandari ya Kigoma walifanyaje mkuu?

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Mbarawa alipelekwa Maji kimkakati, miaka ilikuwa inakwenda na miradi ya maji ilikuwa haina muelekeo mzuri. Mzee aliyekuwa Maji akapelekwa mawasiliano.

Ilipangwa kimkakati sio kweli kwamba kulikuwa na mkwaruzano kati ya Mbarawa na Kakoko, ni kwamba Mzee ambaye yupo mawasiliano ambaye alipewa warning kule Morogoro kasi yake ni ndogo ukizingatia kuwa umri umesogea.
Siyo kweli nenda kaulize kwa watu wa kitengo. Mbarawa alisambaratishwa na Kakoko tu!! Na ndiyo anawatisha hata watumishi wa TPA kuwa akaiwa sambaratisha hawawezi kurudishwa hata waende kukata rufaa kwa JPM.
 
Back
Top Bottom