CAG aibua ufisadi TPA ya Deus Kakoko, Ni mbaya kuliko wa Kigwangalla

CAG aibua ufisadi TPA ya Deus Kakoko, Ni mbaya kuliko wa Kigwangalla

Kwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.

Sasa kuna manunuzi ya Tsh 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.

Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440
Suluhisho ni katiba mpya haya yote yatakwisha
 
Siyo kweli nenda kaulize kwa watu wa kitengo. Mbarawa alisambaratishwa na Kakoko tu!! Na ndiyo anawatisha hata watumishi wa TPA kuwa akaiwa sambaratisha hawawezi kurudishwa hata waende kukata rufaa kwa JPM.
Chanzo cha habari ni tofauti na cha kwangu ingawa vyote viwili ni vya uhakika.

Huku kwenye mawasiliano kuna watu ambao ni washauri wa karibu sana wa JPM, ndio waliomwambia afanye hayo mabadiliko ya kiufundi.

Miradi ya maji imesogea sana baada ya Mbarawa kupelekwa huko, kwa Mzee wa mawasiliano ni pagumu panahitaji kijana mwenye flexibility kubwa.
 
Chanzo cha habari ni tofauti na cha kwangu ingawa vyote viwili ni vya uhakika.

Huku kwenye mawasiliano kuna watu ambao ni washauri wa karibu sana wa JPM, ndio waliomwambia afanye hayo mabadiliko ya kiufundi.

Miradi ya maji imesogea sana baada ya Mbarawa kupelekwa huko, kwa Mzee wa mawasiliano ni pagumu panahitaji kijana mwenye flexibility kubwa.
Miradi ya madini inakuwaje leseni hazitolewi? Nazo aende Mbarawa?
 
IMG_20200411_195059.jpg
IMG_20200411_195104.jpg
 
Mkuu usipumbazike na ripoti hii kwa maana ilikuwa lazima aibue ufisadi kadhaa kwa sababu zifuatazo:-
1. Jamii ijenge imani kwake(hapa tayari wamefanikiwa) ili wale wote walokuwa wanaona kwa kuwa kawekwa na mkulu anaifeva serikali,ile zana ife.
2. Ili baadae akitoa ripoti ya kuifeva serikali jamii ione sawa,kwa kuwa tayari tulishajenga Imani juu yake.

Tusubiri uozo wa ripoti zijazo
Kwa hiyo jamani huyu CAG si mlisema amewekwa kumlinda mkuu, inakuwaje amemgeuka na kuanza kuibua madudu?

siwaelewi!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uki sahihi
Chanzo cha habari ni tofauti na cha kwangu ingawa vyote viwili ni vya uhakika.

Huku kwenye mawasiliano kuna watu ambao ni washauri wa karibu sana wa JPM, ndio waliomwambia afanye hayo mabadiliko ya kiufundi.

Miradi ya maji imesogea sana baada ya Mbarawa kupelekwa huko, kwa Mzee wa mawasiliano ni pagumu panahitaji kijana mwenye flexibility kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani CAG huteuliwa na nani ? Mamlaka ya utezi ya CAG ni Rais, unasemaje sasa kwamba amewekwa na mkulu na huyo aliyepita aliwekwa na nani ?
Mkuu usipumbazike na ripoti hii kwa maana ilikuwa lazima aibue ufisadi kadhaa kwa sababu zifuatazo:-
1. Jamii ijenge imani kwake(hapa tayari wamefanikiwa) ili wale wote walokuwa wanaona kwa kuwa kawekwa na mkulu anaifeva serikali,ile zana ife.
2. Ili baadae akitoa ripoti ya kuifeva serikali jamii ione sawa,kwa kuwa tayari tulishajenga Imani juu yake.

Tusubiri uozo wa ripoti zijazo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania kila mtu akipata nafasi lazima apige pesa. Hii ndio desturi yetu toka enzi hizo. Ndio maana hatuwezi kuendesha kitu kikafanikiwa. Viwanda vyote viko wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiseme Watanzania, sema wanaCCM wakipewa nafasi lazima wapige.Huo ndiyo mfumo uliopo,ulitaka Kakoko afanye tofauti?
Hauwezi kuwatenganisha hawa jamaa na ufisadi/rushwa.Hiyo ni taasisi inayokaguliwa na CAG,je hali ikoje kwa visivyokagulika kama ATCL?
Mahakama ya Mafisadi imeendelea kusota kwa kukosa wateja.
 
Ila jamaa anakanyaga sana stahiki za watumishi pale TPA ili apeleke gawio kwa Rais then aonekane ni bora.

Watumishi wakitaka kuama taasisi nako anawakatalia akidai wataenda kumchafulia jina huko.
Ki ukweli jamaa anajua kujipendekeza sana huku watumishi wakiumia.
 
CAG anapofanya ukaguzi usidhani yale yote aliyoyaibua kwenye ukaguzi ni ya kweli. Unapokaguliwa kunatakiwa pia mrejesho/majibu kutoka kwa mkaguliwa na hivyo majibu yakiishatolewa yanaweza kumridhisha CAG. Kumhukumu Meneja Mkuu wa TPA bado ni mapema sana. Bwana Kakoko ni mfanyakazi bora na wa kuigwa.
Usilolijua ni kwamba kabla ya kuandaa report hiyo uwa mtuhumiwa anakuwa ashapelekewa taarifa ajibu na asipojibu au kutoa majibu yasiyo ridhisha ndipo madudu yake hutokea kwenye report ya mwisho. Hivyo usitetee ufisadi
 
Ila jamaa anakanyaga sana stahiki za watumishi pale TPA ili apeleke gawio kwa Rais then aonekane ni bora.

Watumishi wakitaka kuama taasisi nako anawakatalia akidai wataenda kumchafulia jina huko.
Ki ukweli jamaa anajua kujipendekeza sana huku watumishi wakiumia.
Mfungieni mlango asiingie ofsini mpaka ajibu hoja za kuichafua TPA kwa CAG
 
Haya majamaa niliwahi kuhudhuria interview yao ya kutafuta manager wa procurement pale utumishi yani ukimtamzama yule kakoko na mzee muhuni hivi Anaitwa sijui Mkinga unagundua kabisa hawakuwa na nia ya kupata mtu mwenye ueledi wa kada hiyo. Kwanza ilibidi mpaka Mkuu wa Ile tume awe anaingilia Kati baadhi ya maswali ya kipumbavu waliyokuwa wanauliza ili kuwa frastrate watahiniwa pale kumbe Wana Wana matakataka yao wameya andaa ili yashinde interview. Siwezi kushangaa
 
Eng.Kakoko ni mtumishi aliyetukuka amejenga miradi mingi ya bandari/jetty karibu sehemu zote muhimu za maziwa yetu ambako usafirishaji wa abiria na Huduma ulikuwa ni mbaya sana.
Hili neno KUTUKUKA inaelekea now days limebadilishwa maana
 
Usiseme Watanzania, sema wanaCCM wakipewa nafasi lazima wapige.Huo ndiyo mfumo uliopo,ulitaka Kakoko afanye tofauti?
Hauwezi kuwatenganisha hawa jamaa na ufisadi/rushwa.Hiyo ni taasisi inayokaguliwa na CAG,je hali ikoje kwa visivyokagulika kama ATCL?
Mahakama ya Mafisadi imeendelea kusota kwa kukosa wateja.
Kwani wana CCM ni watu wa wapi? Hata hao waliopo sasa vyama pinzani awali walikuwa wana CCM.

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom