Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.
Sasa kuna manunuzi ya Tsh 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.
Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440
Huyo anatafuta pesa za kumalizia Sheli ya Mafuta iliyoko Rulenge-Ngara-Kagera ambayo imeshindwa kukamilika tofauti na Ngaraoil ya juzi tu lakini inapiga kazi.
Hao wote hawajavunja recod ile ya trl 1.5 so ni ufisadi mdogo sana huo kwa hii serikal
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamisi wana m target sana kisiasa. Sio mbaya hivyo. Kuna watu wabaya zaidi. Shida ya Hamisi ni kuongea. Angekuwa anakaa kimya na kuignore baadhi ya mambo yangekuwa yanapita kimya kimya.
Kwa hiyo jamani huyu CAG si mlisema amewekwa kumlinda mkuu, inakuwaje amemgeuka na kuanza kuibua madudu?
siwaelewi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kimenukishwa tayari na Majaliwa, lakini kisiishie kwa Mkurugenzi wa Fedha na Mhasibu wa Matumizi. Lazima Deus Kakoko naye awajibishwe, au la tutaamini kuwa yasemwayo kuwa yeye ni mtu wa Meko ni ya kweliInasemekana huyu wa TPA naye ni mtu wa inner circle kwa hiyo naye ni kama Bashite. Hawezi kutolewa
chagu wa malunde ongeza sauti, maana wewe umekunywa maji ya bendera!! unampinga hata Pm Majaliwa?Kuwa public sio sababu ya kusema tayari kuna ufisadi. Subiri PAC watatoa majibu bungeni kujibu hizo hoja zilizoibuliwa. Hapo ndio tutajua kama ni kweli au sio kweli.
Kati ya watu wasiojua wanataka nini ni huyo Changu wa Malundi.chagu wa malunde ongeza sauti, maana wewe umekunywa maji ya bendera!! unampinga hata Pm Majaliwa?
Siyo jambo la sifa.Tanzania kila mtu akipata nafasi lazima apige pesa. Hii ndio desturi yetu toka enzi hizo. Ndio maana hatuwezi kuendesha kitu kikafanikiwa. Viwanda vyote viko wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
MKUU HIYO NI FINAL AUDIT REPORT.YALE YOOTE YALIYOELEZWA KWENYE DRAFT MANAGEMENT LETTER YALIMALIZWA KWENYE FINAL EXIT MEETING.SO THATS THATCAG anapofanya ukaguzi usidhani yale yote aliyoyaibua kwenye ukaguzi ni ya kweli. Unapokaguliwa kunatakiwa pia mrejesho/majibu kutoka kwa mkaguliwa na hivyo majibu yakiishatolewa yanaweza kumridhisha CAG. Kumhukumu Meneja Mkuu wa TPA bado ni mapema sana. Bwana Kakoko ni mfanyakazi bora na wa kuigwa.
Atang’oka aliyemlipua.Kwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.
Sasa kuna manunuzi ya Tsh 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.
Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440
Tulia kisha usome kwa makini nilichopost.chagu wa malunde ongeza sauti, maana wewe umekunywa maji ya bendera!! unampinga hata Pm Majaliwa?
Labda walipiga dili wote huko TANROADSHuyu kakoko ni mbabe sana na mnyanyasaji wa wafanyakazi wa chini yake!
Aliwaondoa wengi (hadi majembe) aliowakuta TPA eti hawajui kazi sijui yeye alijulia wapi kazi!
Anapenda sana kujisifu na kutishia wengine kuwa 'nitaongea na no.1'
Umenikumbusha Kipande mjomba wake JK!Huyu kakoko ni mbabe sana na mnyanyasaji wa wafanyakazi wa chini yake!
Aliwaondoa wengi (hadi majembe) aliowakuta TPA eti hawajui kazi sijui yeye alijulia wapi kazi!
Anapenda sana kujisifu na kutishia wengine kuwa 'nitaongea na no.1'
Deus Kakoko naye aanze kujaza Mguu sawa. Maana huwa anadai yeye anaongea moja kwa moja na Rais.Kwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh bilioni 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.
Sasa kuna manunuzi ya Tsh bilioni 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.
Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440