CAG aibua ufisadi TPA ya Deus Kakoko, Ni mbaya kuliko wa Kigwangalla

CAG aibua ufisadi TPA ya Deus Kakoko, Ni mbaya kuliko wa Kigwangalla

Subra,ni kitu kizuri, inabidi CAG afafanue ni kigezo kipi kunatumika kutoa maamuzi kwamba sababu za single sourcing procurement hazikuwa za msingi, TPA wangejuaje kwamba sababu zao so za msingi?Je single sourcing hairuhusiwi?
Ili ifanyike single sourcing mahitaji yake ni yapi?Elimu zaidi inahitajika ili tupate kufahsmu vizuri kabla ya kurukia kwenye tuhuma za kudai kuna wizi,tutende haki ,tusiwe ba mihemko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa umesha sema ni poti! Hapo kuna swali tena?
Kwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.

Sasa kuna manunuzi ya Tsh 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.

Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440

In God we Trust
 
Kumbe Kakoko naye ni booti?
Huyo anatafuta pesa za kumalizia Sheli ya Mafuta iliyoko Rulenge-Ngara-Kagera ambayo imeshindwa kukamilika tofauti na Ngaraoil ya juzi tu lakini inapiga kazi.

In God we Trust
 
Mwizi ni mwizi tu hakuna cha afadhali
Hamisi wana m target sana kisiasa. Sio mbaya hivyo. Kuna watu wabaya zaidi. Shida ya Hamisi ni kuongea. Angekuwa anakaa kimya na kuignore baadhi ya mambo yangekuwa yanapita kimya kimya.

In God we Trust
 
Inasemekana huyu wa TPA naye ni mtu wa inner circle kwa hiyo naye ni kama Bashite. Hawezi kutolewa
Kimenukishwa tayari na Majaliwa, lakini kisiishie kwa Mkurugenzi wa Fedha na Mhasibu wa Matumizi. Lazima Deus Kakoko naye awajibishwe, au la tutaamini kuwa yasemwayo kuwa yeye ni mtu wa Meko ni ya kweli
 
CAG anapofanya ukaguzi usidhani yale yote aliyoyaibua kwenye ukaguzi ni ya kweli. Unapokaguliwa kunatakiwa pia mrejesho/majibu kutoka kwa mkaguliwa na hivyo majibu yakiishatolewa yanaweza kumridhisha CAG. Kumhukumu Meneja Mkuu wa TPA bado ni mapema sana. Bwana Kakoko ni mfanyakazi bora na wa kuigwa.
MKUU HIYO NI FINAL AUDIT REPORT.YALE YOOTE YALIYOELEZWA KWENYE DRAFT MANAGEMENT LETTER YALIMALIZWA KWENYE FINAL EXIT MEETING.SO THATS THAT
 
Kwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.

Sasa kuna manunuzi ya Tsh 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.

Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440
Atang’oka aliyemlipua.
 
Huyu kakoko ni mbabe sana na mnyanyasaji wa wafanyakazi wa chini yake!
Aliwaondoa wengi (hadi majembe) aliowakuta TPA eti hawajui kazi sijui yeye alijulia wapi kazi!
Anapenda sana kujisifu na kutishia wengine kuwa 'nitaongea na no.1'
 
Huyu kakoko ni mbabe sana na mnyanyasaji wa wafanyakazi wa chini yake!
Aliwaondoa wengi (hadi majembe) aliowakuta TPA eti hawajui kazi sijui yeye alijulia wapi kazi!
Anapenda sana kujisifu na kutishia wengine kuwa 'nitaongea na no.1'
Labda walipiga dili wote huko TANROADS
 
Huyu kakoko ni mbabe sana na mnyanyasaji wa wafanyakazi wa chini yake!
Aliwaondoa wengi (hadi majembe) aliowakuta TPA eti hawajui kazi sijui yeye alijulia wapi kazi!
Anapenda sana kujisifu na kutishia wengine kuwa 'nitaongea na no.1'
Umenikumbusha Kipande mjomba wake JK!
 
Kwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh bilioni 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.

Sasa kuna manunuzi ya Tsh bilioni 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.

Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440
Deus Kakoko naye aanze kujaza Mguu sawa. Maana huwa anadai yeye anaongea moja kwa moja na Rais.

Sasa tutaona ukweli
 
Back
Top Bottom