Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Je ana undugu na Dr Deo Kakoko wa muhas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo wana undugu. Na yule wa CMSA pia.Je ana undugu na Dr Deo Kakoko wa muhas
KumbeNdiyo wana undugu. Na yule wa CMSA pia.
Yap.. Ndugu zake wengi amehakikisha amewatafutia sehemu inayoeleweka.Kumbe
Noma sanaYap.. Ndugu zake wengi amehakikisha amewatafutia sehemu inayoeleweka.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Au labda watafutwe warokole tu ndo wafanye kazi bandari
Kumbe wizi wa kigwangala Na kakoko wakwanza zamaniKwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh bilioni 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.
Sasa kuna manunuzi ya Tsh bilioni 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.
Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440
We nae Assad assad assad! Huyo tulishamtema na nafasi yake imezibwa barabara na hatumuhitaji! Aende kwa mabwana zake mabeberu alikokuwa analitukanisha taifa letu!🤔!Mwaka wa mwisho huu kila mmoja huangalia jinsi ya kupiga Kodi zetu.
Ukiona watu wanataka upinzani ufe huku mlinda Kodi zetu kama Assad akifurushwa uhitaji kujua jibu la nia.
Tofauti na awamu iliyopita tulinufaika wote na ufisadi awamu hii wanufaika wa chache na upiga haswaa.
Inasemekana huyu wa TPA naye ni mtu wa inner circle kwa hiyo naye ni kama Bashite. Hawezi kutolewa
Uongo kama huu ndio maana mnakufa vifo vya aibu!We nae Assad assad assad! Huyo tulishamtema na nafasi yake imezibwa barabara na hatumuhitaji! Aende kwa mabwana zake mabeberu alikokuwa analitukanisha taifa letu![emoji848]!
Kuwa makini na unayosema, utakufa kwa aibu mwenyewe na jamaa yako sio mimi!Uongo kama huu ndio maana mnakufa vifo vya aibu!
Sasa inakuaje bavicha wanasema leo ndio cag kawafivhua sababu jpm hayupo?Kwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh bilioni 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.
Sasa kuna manunuzi ya Tsh bilioni 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.
Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440
Upendo wa kinafki huu unaousema , rais wenu mpendwa hayupo , ambae mlitaka atawale milele , mmeimba mitano Tena, aongezewe muda mpaka mkataka kuitisha maandamano wa kumuongezea mda leo hii ukamwite Mh. SSH mpendwa wenu.Kuwa makini na unayosema, utakufa kwa aibu mwenyewe na jamaa yako sio mimi!
Ww Assad, huna nafasi kwenye serikali ya kizalendo inayoongozwa na rais wetu mpendwa SSH! Nenda kafanye kazi na mabeberu wako!