Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tunajua kakoko katolewa sababu ya contena alizo ziwia za yule first lady wetu yule mjanja mjanjaWale timu JPM kaeni mkao wa kutapika mlivyokula kwa hila na majivuno. Mama kaanza kuonesha makali yake. Huyu Engineer Kakoko alikua rafiki mkubwa sana wa JPM tangu ujanani. Wakati JPM akiwa waziri wa ujenzi alimpigia pande Kakoko akawa Meneja TANROADS mkoa wa Arusha.
Baada ya JPM kuwa Rais, Kakoko akapandishwa ghafla hadi kuwa Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya bandari baada ya menejimenti ya bandari kufumuliwa. Hapa ndipo akaanza kuiendesha bandari kama familia yake. Akajilipa madeni mengi hewa, akatoa zabuni feki kwa makampuni ya ndugu zake, akaandaa semina na warsha hewa ili kupiga hela.
Mwaka 2017 idara ya zabuninya TPA ililalamika mbele ya Rais JPM kuwa Kakoko alichukua milioni 700 kwenye account ya procurement na kumwambia Meneja ugavi atafute namna ya kujustify matumizi ya hiyo hela. Lakini badala ya JPM kufanyia kazi madai hayo akasema bandari waache majungu. Baada ya muda kitengo cha procurement kikafumuliwa na wafanyakazi wakahamishiwa taasisi nyingine za serikali wakaajiriwa wapya.
Unaambiwa wafanyakazi wengi wa bandari wameacha kazi kwa sababu ya Kakoko. Alikua na majivuno (si unajua wahaya) na tambo nyingi akisema hakuna wa kumuondoa bandari. Amewahi kumlaza sero Meneja wa operation baada ya kumpa dokezo la 200 milioni asaini akakataa. Alipouliza za nini akaambiwa wewe saini ni order ya Kakoko. Alipokataa akalazwa central siku tatu.
Alipotoka akahojiwa na gazeti moja akaeleza kuwa amelala rumande kutokana na kukataa kusaini dokezo la Kakoko la 200M. Lakini badala ya Kakoko kuchukuliwa hatua, yule mama akaambiwa ajieleze kwa sababu amekiuka maadili ya utumishi wa umma kwa kuongea na media bila kibali cha mwajiri wake. Baadae akawa demoted akatolewa bandari akatupwa PSSSF huko Songwe.
Kakoko alikua type za kina Bashite na Sabaya. Watoto pendwa wa mzee ambao hata waue mtu hawawezi kufanywa kitu. Walifurahia kuenjoy maisha kupitia machozi na damu za watanzania. Sasa mama amemua kuanza nao. Hizi ni salamu kwa Sabaya na genge lake waliozoea kutesa na kuumiza watu lakini wakatumia jina la Rais kujilinda.
Hongera sana mama Samia kwa kuanza vizuri kusafisha nyumba yako. Tunajua kazi hii ni ngumu na utakumbana na vikwazo vingi lakini tunakuombea.
Bado hujasikia nilichokiweka Jana kuhusu Deus Kakoko?Huu ubuyu mbona upo juu juu tu wazee weka link
Huo ni udhaifu wa kufikiria. Kasome kwanza CAG Report ndiyo uje uandike hapaSisi tunajua kakoko katolewa sababu ya contena alizo ziwia za yule first lady wetu yule mjanja mjanja
DuuhWale timu JPM kaeni mkao wa kutapika mlivyokula kwa hila na majivuno. Mama kaanza kuonesha makali yake. Huyu Engineer Kakoko alikua rafiki mkubwa sana wa JPM tangu ujanani. Wakati JPM akiwa waziri wa ujenzi alimpigia pande Kakoko akawa Meneja TANROADS mkoa wa Arusha.
Baada ya JPM kuwa Rais, Kakoko akapandishwa ghafla hadi kuwa Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya bandari baada ya menejimenti ya bandari kufumuliwa. Hapa ndipo akaanza kuiendesha bandari kama familia yake. Akajilipa madeni mengi hewa, akatoa zabuni feki kwa makampuni ya ndugu zake, akaandaa semina na warsha hewa ili kupiga hela.
Mwaka 2017 idara ya zabuninya TPA ililalamika mbele ya Rais JPM kuwa Kakoko alichukua milioni 700 kwenye account ya procurement na kumwambia Meneja ugavi atafute namna ya kujustify matumizi ya hiyo hela. Lakini badala ya JPM kufanyia kazi madai hayo akasema bandari waache majungu. Baada ya muda kitengo cha procurement kikafumuliwa na wafanyakazi wakahamishiwa taasisi nyingine za serikali wakaajiriwa wapya.
Unaambiwa wafanyakazi wengi wa bandari wameacha kazi kwa sababu ya Kakoko. Alikua na majivuno (si unajua wahaya) na tambo nyingi akisema hakuna wa kumuondoa bandari. Amewahi kumlaza sero Meneja wa operation baada ya kumpa dokezo la 200 milioni asaini akakataa. Alipouliza za nini akaambiwa wewe saini ni order ya Kakoko. Alipokataa akalazwa central siku tatu.
Alipotoka akahojiwa na gazeti moja akaeleza kuwa amelala rumande kutokana na kukataa kusaini dokezo la Kakoko la 200M. Lakini badala ya Kakoko kuchukuliwa hatua, yule mama akaambiwa ajieleze kwa sababu amekiuka maadili ya utumishi wa umma kwa kuongea na media bila kibali cha mwajiri wake. Baadae akawa demoted akatolewa bandari akatupwa PSSSF huko Songwe.
Kakoko alikua type za kina Bashite na Sabaya. Watoto pendwa wa mzee ambao hata waue mtu hawawezi kufanywa kitu. Walifurahia kuenjoy maisha kupitia machozi na damu za watanzania. Sasa mama amemua kuanza nao. Hizi ni salamu kwa Sabaya na genge lake waliozoea kutesa na kuumiza watu lakini wakatumia jina la Rais kujilinda.
Hongera sana mama Samia kwa kuanza vizuri kusafisha nyumba yako. Tunajua kazi hii ni ngumu na utakumbana na vikwazo vingi lakini tunakuombea.
Kwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh bilioni 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.
Sasa kuna manunuzi ya Tsh bilioni 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.
Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440
Nimekupata mkuu 😃Bado hujasikia nilichokiweka Jana kuhusu Deus Kakoko?
Eng Kakoko ni mtu smart sana hawamuwezi.Take my words.CAG anapofanya ukaguzi usidhani yale yote aliyoyaibua kwenye ukaguzi ni ya kweli. Unapokaguliwa kunatakiwa pia mrejesho/majibu kutoka kwa mkaguliwa na hivyo majibu yakiishatolewa yanaweza kumridhisha CAG. Kumhukumu Meneja Mkuu wa TPA bado ni mapema sana. Bwana Kakoko ni mfanyakazi bora na wa kuigwa.
Sawa!Mwangalieni huyu! Sasa huyo Mkuu ndie Mkurugenzi wa Bandari?!
Jibu ni kwamba NDIYO, aliwekwa kumlinda Mkuu na mihamala yake inayopitishwa Ikulu bila hata kujadiliwa Bungeni!!
Jibu ni kwamba NDIYO, aliwekwa kumlinda Mkuu ili aendelee kuficha manunuzi mabovu kama yale ya ndege za ATCL ambazo CAG aliyepita alianza kunusanusa na kusema wazi kwamba ameshindwa kupata data!!
Jibu ni NDIYO, amewekwa kumlinda Mkuu ili tenda za kujuana kama zile za ujenzi wa Chato International Airport aliyopewa swahibu wake Mkuu watu wasifahamu mengi!!
Are you saying what.....?CAG anapofanya ukaguzi usidhani yale yote aliyoyaibua kwenye ukaguzi ni ya kweli. Unapokaguliwa kunatakiwa pia mrejesho/majibu kutoka kwa mkaguliwa na hivyo majibu yakiishatolewa yanaweza kumridhisha CAG. Kumhukumu Meneja Mkuu wa TPA bado ni mapema sana. Bwana Kakoko ni mfanyakazi bora na wa kuigwa.
Hongera kwa kuukwaa Uraisi...Shida ni "Hamisi".
Ndio kama Tushafikia fikia labda Mama awe na huruma kiasi cha kuwasariti Watanzaniahata hamisi sidhani kama atawajibishwa! ufisadi wa awamu hii huenda ukawa wakihistoria ngoja ipite!
Post yangu ya 28 December, 2020. Hatimaye jana mbuyu umekatwaKimenukishwa tayari na Majaliwa, lakini kisiishie kwa Mkurugenzi wa Fedha na Mhasibu wa Matumizi. Lazima Deus Kakoko naye awajibishwe, au la tutaamini kuwa yasemwayo kuwa yeye ni mtu wa Meko ni ya kweli
Kimeumana tayari, heko mkuu Stuxnet, maombi yako yamepokelewaKimenukishwa tayari na Majaliwa, lakini kisiishie kwa Mkurugenzi wa Fedha na Mhasibu wa Matumizi. Lazima Deus Kakoko naye awajibishwe, au la tutaamini kuwa yasemwayo kuwa yeye ni mtu wa Meko ni ya kweli
Rudi hapa tena Fursa Pesa uje usome UHARO wakoEng.Kakoko ni mtumishi aliyetukuka amejenga miradi mingi ya bandari/jetty karibu sehemu zote muhimu za maziwa yetu ambako usafirishaji wa abiria na Huduma ulikuwa ni mbaya sana.
Uharo mwingine ni nzuri, unapunguza maumivu ya tumbo.Rudi hapa tena Fursa Pesa uje usome UHARO wako
Je ana undugu na Dr Deo Kakoko wa muhas