CAG aibua ufisadi TPA ya Deus Kakoko, Ni mbaya kuliko wa Kigwangalla

CAG aibua ufisadi TPA ya Deus Kakoko, Ni mbaya kuliko wa Kigwangalla

Ni vibaya sana kumhukumu mtu, wakati PAC na bunge hawajajibu hiyo hoja ya CAG. Tuwe na subira ili kupata majibu ya uhakika. Isije ikawa kama stori za tril 1.5 na mwenyekiti wa PAC, Naghenjwa Kaboyoka (Chadema M.p) alikuja kusema ukweli.
chagu wa malunde, report ya CAG ikishasomwa tu maana yake iko public. Why then unadhani imewekwa public? Ili tufanye nini?
 
Huyu ni mpigaji sana wachunguze upigaji wa bandari ya Kigoma. na wachunguze washauri au wapigaji walio karibu naye Mr. Tony aliyekuwa TAFFA na wengine
Tony Swai, funguka mkuu
 
chagu wa malunde, report ya CAG ikishasomwa tu maana yake iko public. Why then unadhani imewekwa public? Ili tufanye nini?
Kuwa public sio sababu ya kusema tayari kuna ufisadi. Subiri PAC watatoa majibu bungeni kujibu hizo hoja zilizoibuliwa. Hapo ndio tutajua kama ni kweli au sio kweli.
 
Hii nchi, wala tusilaumu kwa nini hatuna maendeleo na watu wanaishi kwa ufukara wa hali ya juu. Shida kubwa ni sisi wenyewe, tusiwatupie wengine lawama.
 
Kwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.

Sasa kuna manunuzi ya Tsh 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.

Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440
Wewe n .....KWELII ANAETUMIA CONDOM MOJA NA TATU WOTE N WAZINZI UJUI HILO
AMEKUTUMA MPE POLE YAAN ATUFIKI JULY WATU WANAPANDA LILE GARI LETU PENDWA LA KIJAN STY TUNED
 
Kwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.

Sasa kuna manunuzi ya Tsh 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.

Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440
Amjapandishwa mshaharaa nn
Deus k endeleeea kuwakaziaa HAOO washazoee slope za maishaaa
 
Kwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.

Sasa kuna manunuzi ya Tsh 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.

Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440

Usitutoe katika Mstari tafadhali na tutaanza Kufuatilia hiki ulichokileta hapa pale tu Kigwangala ' atakapotumbuliwa ' na Mteuwaji wake.
 
Ukiona nguvu kubwa inatumika kunyamazisha,Wapinzani,Vyombo vya habari,Bunge kuwa gizani ujue hapo kuna upigaji mkubwa unaendelea.

Alafu sera ya ufisadi ishawekwa pembeni ,kipaumbele chao ni kununua wapinzani,ili waonekane wanaungwa mkono,
Lakini angalia jinsi ufisadi ulivyoibuka kwa kasi kubwa,ripoti ya CAG imeainisha mpaka matumizi mabaya ya pesa huko CCM.
 
Kwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.

Sasa kuna manunuzi ya Tsh 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.

Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440
Mwacheni ndugu yangu naye apate chochote hili ni shamba la bibi unavuna kulingana na urefu wa kamba yako
 
Watalamu wa "procurement" kununua kwa single source sijui kama kuna shida, sijaona kama kuna ufisadi wowote uliolezwa umefanywa na TPA hapo labda mleta mada utupe maelezo zaidi.
 
Ni kama waliambiana huu ndiyo mwaka wa mwisho huwezi jua kama utarudi mara baada ya uchaguzi kwa hiyo chukua chako mapema kwa hiyo lazima pawe na ukwapuaji kila mahali.

Wote waliobainika kuwa na shida kwenye hesabu zao jambo linaloonyesha matumizi mabaya ya fedha za umma hatua stahiki zichukuliwe.
Inaonekana wanaimani kali kama inavyosemekana kwamba mwisho wa dunia upo karibu sana hatuna zaidi ya miaka miwili hapa duniani ndiyo maana hawaogpi kabisa
 
Back
Top Bottom