client
JF-Expert Member
- Dec 13, 2015
- 667
- 870
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chagu wa malunde, report ya CAG ikishasomwa tu maana yake iko public. Why then unadhani imewekwa public? Ili tufanye nini?Ni vibaya sana kumhukumu mtu, wakati PAC na bunge hawajajibu hiyo hoja ya CAG. Tuwe na subira ili kupata majibu ya uhakika. Isije ikawa kama stori za tril 1.5 na mwenyekiti wa PAC, Naghenjwa Kaboyoka (Chadema M.p) alikuja kusema ukweli.
Ilikuwa ni ushabiki tu wa mambo hakuna CAG wa kulinda madudu.Kwa hiyo jamani huyu CAG si mlisema amewekwa kumlinda mkuu, inakuwaje amemgeuka na kuanza kuibua madudu?
siwaelewi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hio akijenga kote huko ndio kunamfanya asiwe mpigaji sio?Eng.Kakoko ni mtumishi aliyetukuka amejenga miradi mingi ya bandari/jetty karibu sehemu zote muhimu za maziwa yetu ambako usafirishaji wa abiria na Huduma ulikuwa ni mbaya sana.
Kuwa public sio sababu ya kusema tayari kuna ufisadi. Subiri PAC watatoa majibu bungeni kujibu hizo hoja zilizoibuliwa. Hapo ndio tutajua kama ni kweli au sio kweli.chagu wa malunde, report ya CAG ikishasomwa tu maana yake iko public. Why then unadhani imewekwa public? Ili tufanye nini?
Ni wachache watakaoelewa niandika nini.Wewe tetea wakwapuaji kama nayo sifa
Sijui.Kwa hio akijenga kote huko ndio kunamfanya asiwe mpigaji sio?
Kwa akili hizi hutokuja kuelewa kamwe.Kwa hiyo jamani huyu CAG si mlisema amewekwa kumlinda mkuu, inakuwaje amemgeuka na kuanza kuibua madudu?
siwaelewi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe n .....KWELII ANAETUMIA CONDOM MOJA NA TATU WOTE N WAZINZI UJUI HILOKwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.
Sasa kuna manunuzi ya Tsh 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.
Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440
Amjapandishwa mshaharaa nnKwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.
Sasa kuna manunuzi ya Tsh 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.
Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440
Kwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.
Sasa kuna manunuzi ya Tsh 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.
Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440
Mwacheni ndugu yangu naye apate chochote hili ni shamba la bibi unavuna kulingana na urefu wa kamba yakoKwa wiki zima mitandao ya jamii imemshupalia Dr Hamis Kigwangalla kwa ufisadi wa kutumia Tsh 2.58 bila idhini ya Bunge. Pengine Kigwangalla yuko kwenye "spotlight" kwa vile siku zote ni mtu wa majibizano kwenye mtandao ya jamii.
Sasa kuna manunuzi ya Tsh 22.69 yaliyifanywa na TPA ya Deus Kakoko. Katika DHAMBI au makosa makubwa ya manunuzi yanayo mhusisha mnunuzi moja kwa moja na RUSHWA ni kununua kwa SINGLE SOURCE.
Tumpunzishe Dr Kigwangala, tujikite na huyu Deus Kakoko anayejinasibu kuwa ni "home port" na JPM na huwa ana nguvu kuliko mawaziri wa wizara ya mawasiliano. Kumbuka alishindana na Waziri Mbarawa, na Mbarawa akang'oka.
View attachment 1413440
Inaonekana wanaimani kali kama inavyosemekana kwamba mwisho wa dunia upo karibu sana hatuna zaidi ya miaka miwili hapa duniani ndiyo maana hawaogpi kabisaNi kama waliambiana huu ndiyo mwaka wa mwisho huwezi jua kama utarudi mara baada ya uchaguzi kwa hiyo chukua chako mapema kwa hiyo lazima pawe na ukwapuaji kila mahali.
Wote waliobainika kuwa na shida kwenye hesabu zao jambo linaloonyesha matumizi mabaya ya fedha za umma hatua stahiki zichukuliwe.